MAJINA YA LIKE NA MAANA YAKE.
Chunguza Jina lako Yamkini lipo ambaye Yupo Muunge Kwenye Group letu la Maombi na Mafundisho lilopo chini Ya Pastor Richard Wa Morogoro
1. Majina ya Kiswahili (Yenye Maana Nzuri)
Majina haya yanatokana Na Wahega waliita kutokana na Msingi Wa Tukio
- Amani – Utulivu na usalama.
- Baraka – Zawadi kutoka kwa Mungu.
- Faraja – Tulizo la moyo.
- Lulu – Kitu cha thamani kubwa (vito).
- Neema – Upendeleo usio na malipo.
- Sifa – Shukrani au utukufu.
- Tumaini – Matarajio mema.
- Zawadi – Kitu kilichotolewa kwa upendo.
2. Majina ya Kibiblia (Kiroho)
Majina Haya Yalitokana Msingi Wa Imani Ya Kikristo Katika Biblia
- Abigaeli (Abigail) – Furaha ya baba.
- Bethania (Bethany) – Nyumba ya tini (mahali ambapo Yesu alipenda kupumzika).
- Daniela (Daniela) – Mungu ni mwamuzi wangu.
- Edeni (Eden) – Bustani ya furaha na anasa.
- Elisheba (Elizabeth) – Mungu ni kiapo changu.
- Hadassa (Hadassah) – Jina la Kiyahudi la malkia Esta (mti wa mirtoli).
- Sela (Selah) – Pumzika na utafakari.
- Talitha – Msichana mdogo (kutoka maneno ya Yesu: "Talitha kumi").
3. Majina ya Kisasa na ya Kipekee
Haya ni Majina Msingi Wake Ulitokana na Upekee Wa Mzazi Kumpata mtoto huyo
- Brianna – Mwenye nguvu na heshima.
- Clara – Mwenye kung'ara au mwangaza.
- Eliana – Mungu amejibu.
- Gianna – Mungu ni mwenye neema.
- Ivanna – Zawadi ya Mungu.
- Melody – Wimbo mtamu.
- Naila – Mwenye kufanikiwa au kufika mbali.
4. Majina ya Maua
Haya msingi wake ulitokana na Maua yanayovutia Wakatoa Majina
- Dahlia – Aina ya ua zuri.
- Jasmine – Ua lenye harufu nzuri sana.
- Rose / Rozina – Ua la waridi.
- Zuri – Mzuri (kwa sura na tabia).
Kama Umebarikiwa Na Somo hili Waunge na Wengine wazidi kupata Vitu Vizuri Ndani Ya Group
Bonyeza Link hii Ujiunge na Group la Mafundisho na Maombi
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏ
https://chat.whatsapp.com/L4PQijdjZqQ2P1sYKYYPqe?mode=gi_t
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni