Jumanne, 30 Desemba 2025

KWA HERI 2025

MAOMBI YA KUFUNGA MWAKA 2025. MWAKA WA KUTEMBEA KIBABE  (Mathayo;11;12) 

TUINGIE KUTEMBEA MWAKA 2026 MWAKA WA MAMLAKA LUKA:9:1

👇👇👇👇👆👆👆👆👆👈👈👈👉👉👉

   Sifa za Mshiriki Wa Maombi haya.

1:Aliyetayari Kuomba alipo kwa kufata maelekezo.

2.Anayetaka Mwakani Akasitiwi na kuchipua kila eneo.

MAMBO YA KUZINGATIA MAOMBI HAYA 

_____________________________________

1.Uwe na Sadaka ya Kufunga Mwaka na Kushukuru Mungu Kwa Yote aliyokutendea (Zaburi:92;1)

2.Uwe na Imani Katika Kile Unachoomba Kusema 2024 Tunaenda Kusitawi na Mungu.

(Warumi.10;17)

3.Tutaomba Na Kuimba Tenzi au nyimbo za kuabudu ulipo popote Tutaanza Saa.2;00 usiku mpaka Saa.6;00 usiku 

.

4.Moyo Wako uandae Kwa Ajili ya maombi na usifunge ni maombi ya bila Kufunga.

NAMNA YA UTAKAVYOOMBA MAOMBI HAYA.

Unaanza toba omba rehema kwa Mungu omba hivi.

OMBA TOBA

Ee Bwana Yesu nisamehe yote niliyokukosea Kuanzia January mpaka Sasa najua umenivumilia mambo mengi naomba unipe upendeleo tena nikawe miongoni mwa watakaositawi mwaka 2024 Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×3 Omba kwa machozi na uchungu.

UTANITUMIA INBOX WHATSAPP MAOMBI YAKO

OMBA KUFUNGA MWAKA 2025


JINA: RICHARD JULIUS KUSHOKA

NINAFUNGA MWAKA  2025

 Sitaki nikaone magonjwa mwilini mwangu 2026..
Sitaki nikawe Usingo 2026 Nataka ndoa
Sitaki nikaishi maisha kutengemea ndugu 2026
 Sitaki nikaishi.........endelea kuyakataa mambo ambayo hutaki ukayaone yanakufata 2026 ...Nikataa sitaki niyaone yakiingia mwaka 2026 na niliyoyakataa Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia mara 5

NAFUNGULIA MWAKA 2026
 Nikiingia nikiwa ndani ya ndoa nikiwa kwenye kazi nikiwa kwenye uchumi nikiwa kwenye huduma ya uchungaji........(Endelea kutamka unayotaka ukayaishi 2026)   Mwaka 2026 Nikawe na Mamlaka Kiroho na Kimwili Popote ninapotamka au kuishi Nikawe na nguvu ya Kiroho na Mwili

.Rudia ×10

KiSHA IMBA TENZI AU KUABUDU RUDIA TENA KUOMBA Tena ukimaliza unaabudu au kusifi unaomba Tena Maliza maombi kwenye Saa tano usiku au sita kamili.

BAADA YA KUMALIZA. 

Mwambie Mungu ni Mzuri Unamshukuru Tamka mara nyigi maneno Ansate Bwana Ansate Yesu


Tutaomba mtiririko huu Kuanzia Saa mbili USIKU mpaka Saa Sita Usiku

Jumatatu, 29 Desemba 2025

TICKET YA SILVIA

NEW SONGO EXP KYELA MCHANA 
Confirmed 
MOROGORO-MBEYA via IRINGA 
901903523642 
Trav date:2025-12-31 
Report:18:00 PM 
Dep time:18:30 PM 
Bus plate no:T 250 EHL 
Seat:3
Name:SILIVIA MAKISEBYUS MBAWALA 
Boarding point:MSAMVU BUS TERMINAL 
Dropping point:CHIMALA 
Fare:TSH 56,000.00 
BOOK ONLINE NOW
www.newsongo.co.tz

Jumanne, 16 Desemba 2025

SOMO; NGUVU YA KU FATA MAELEKEZO YA BABA WA KIROHO( MADHABAHU YAKO)

SOMO: NGUVU YA KU FATA MAELEKEZO YA BABA YAKO WA KIROHO (MADHABAHU YAKO) 

Kuna Watu Leo Wanatembea na Laana Za Baba Zao Wa Kiroho Au Madhabahu Zao Katika Kitu cha msingi Kwenye Maisha Usiipuuze Madhabahu Yako Mungu Akikupa Baba Wa Kukulea KIROHO na Kukuongoza Kiroho msikilize hata kama yupo mbali Nawewe Lakini anatimiza majukumu Yake kama Baba Anakufundisha anak ushauri na unions Matokeo anakulea Anasimama Nawewe Kipindi Kisumu mpaka unavuka. 

Mfano; Human Kazi baba Anasimama Nawewe mpaka unapata Kazi Kupitia Madhabahu Yake. 

Ukaolewa au ukaowa au Maisha Yako yakabadilika Huyo Baba usimuache. 


Misitari Hii Tusome. 

Kutoka 23:20-22 
 20;  Tazama, mimi namtuma malaika aende mbele yako, ili akulinde njiani na kukupeleka mpaka mahali pale nilipokutengezea.

21: Jitunzeni mbele yake, mwisikize sauti yake; wala msimtie kasirani; maana, hatawasamehe makosa yenu; kwa kuwa jina langu limo ndani yake.

 22:Lakini ukiisikiza sauti yake kweli, na kuyatenda yote ninenayo mimi; ndipo mimi nitakuwa ni adui wa adui zako, na mtesi wa hao wakutesao.


1:Baba Yako Wa Kiroho Mungu ndiye Anakuletea Akuvushe Kwenye mashimo Vipindi Vigumu nyakati Mbalimbali. 

Ukivuka Usianze Kubadilika kama wanaotafuta Ndoa wakiolewa Pastor Richard wanaanza kukudharau wanasahau Masomo yaliwavusha mpaka wengine huacha na Zaka Kutoa. 

2:SIKILIZA Maelekezo Yake Tu Maana Yamewekwa Na Mungu Mwenyewe. 

Kuna wengine unamuelekeza Anza kuwa Mwaminifu Wa Zaka  Ataanza Kweli Lakini Akishajibiwa anachokiomba Anaacha Kutoa Zaka. Tena Anaanza kukuambia natoa Kanisani kwangu Anasahau Madhabahu aliyopewa iwe inamvusha nyigine Anaenda Kutoa kwingine. 


3;Madhabahu Yako Ni Yako Tu inaweza Kuyabadilisha Maisha Yako na Kukunza Kiimami na kukuvusha mengi. 

Baba Wa Kiroho Mungu anakupa Yeye. Anaweza Kukupa akawa karibu Nawewe au mbali mfano upo dar unapata baba yuko kwanza kitakachofanyika Zaka lazima utoe Kwenye Madhabahu Ya Baba Wa Kiroho Sadaka zingine na michango utaitoa Madhabahu unayoabudia. 

Zaka Pekee Haitolewi Ovyo ovyo Hatutoi Kwenye Dini au Dhehebu au Kanisa Tunatoa kwa Baba Wa Kiroho ndio Madhabahu yetu. 

Mtu anaweza Akawa Anaoaga Zaka Sana kumbe anatoa Kwenye Dini au Kanisa au Dhehebu Kumbe hatoi kwa Baba Wa Kiroho 

Maisha Bila kulijua hili ni mbaya mno. 


Nifate WhatsApp inbox niulize nikuelekeze uishi Maisha ya Ushindi Wa Kiroho+255710889892
Naitwa Pastor Richard

Share hii Post Kwenye Na group yako

Jumamosi, 13 Desemba 2025

SOMO:MAMBO YA MSINGI MCHUNGAJI KUTIMIZA JUKUMU ALILOITIWA.

SOMO: MAMBO YA MSINGI MCHUNGAJI. 

Naitwa  Pastor Richard Nipo Morogoro
Kanisa la Holy Spirit Moto Wa Yesu. 

Hapa kuna mambo ya msingi ambayo kila mchungaji anapaswa kuzingatia ili kufanikiwa katika Wito Wake au kwenye huduma Yake. 


1. Uhusiano wa Kibinafsi na Mungu

Vitabu:Zaburi:39:12, Yeremia:31:9, 1Petro:31:9
2Samweli:22:36

Huu ndio msingi wa kila kitu. Mchungaji hawezi kuwapa watu kile ambacho hana.
  • Maisha ya Maombi: Kuwa na muda thabiti wa kuzungumza na Mungu.
  • Kujifunza Neno: Kusoma Biblia si kwa ajili ya kutayarisha mahubiri tu, bali kwa ajili ya kukuza nafsi yake mwenyewe.
  • Unyenyekevu: Kutambua kuwa yeye ni chombo tu na utukufu wote ni wa Mungu.
2. Tabia na Maadili. 
••••••••"""""""""""""""•••••••••"""""""""•••••
Waebrania 13:5
 Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa.
•••••"""""""""""••••••••••""""""""""••••••••

1 Wakorintho 15:33
Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.



Sifa ya mchungaji ni mtaji wake mkubwa zaidi. Akipoteza uaminifu, huduma inakufa.
  • Uaminifu: Kuwa mkweli katika maneno na matendo, hasa katika masuala ya fedha na mahusiano.
  • Kujitawala: Kuwa na kiasi katika mambo yote na kuepuka kashfa.
  • Mfano wa Kuigwa: Maisha yake ya faragha yanapaswa kuakisi mahubiri yake ya hadharani.
3. Upendo na Uhusiano na Watu
•••••°°°°°°°°==========

1 Wakorintho 13:4
Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;

••••••√"""""""•••••••√""""""""
Mchungaji ni mchungaji wa "kondoo." Hawezi kuchunga asiyewajua au asiyewapenda.
  • Huruma: Kuwa na moyo wa kujali wenye uhitaji, wagonjwa, na waliokata tamaa.
  • Ukarimu: Kuwa mtu anayefikika na mwenye kutoa msaada wa kiroho na ushauri.
  • Unyenyekevu katika Huduma: Kuwatumikia wengine badala ya kutaka kutumikiwa.
4. Mafundisho na Elimu
Mithali:8:33 Marko;4:2

Mithali 23:23
Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu..

1 Timotheo 4:16

Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia.

Katika ulimwengu wa sasa wenye habari nyingi (na potofu), mchungaji anapaswa kuwa na maarifa sahihi.
  • Mafundisho ya Kweli: Kuhubiri neno la Mungu bila kulipotosha ili kufurahisha watu.
  • Kujiongeza Maarifa: Kusoma vitabu, kuhudhuria semina, na kuelewa mabadiliko ya kijamii ili kutoa majibu ya kimaandiko kwa changamoto za kisasa.
  • Mawasiliano: Uwezo wa kufundisha kwa lugha inayoeleweka na kugusa maisha ya watu.
5. Uongozi na Utawala

Kutoka:3:3-7 Wakolosai:2:23

   Ayubu 37:12
Nalo hugeuzwa huku na huku kwa uongozi wake, Ili yafanye yote atakayoyaagiza Juu ya uso wa dunia hii ikaayo watu;


Kanisa ni taasisi inayohitaji mpangilio.
  • Maono: Kuwa na mwelekeo wa wapi anaongoza kundi la Mungu.
  • Kujenga Timu: Kutambua vipawa vya wengine na kuwapa nafasi ya kutumika (kugawa madaraka).
  • Usimamizi wa Rasilimali: Kuhakikisha rasilimali za kanisa (muda, fedha, na watu) zinatumika k1. Uhusiano wa Kibinafsi na Mungu

6. Maisha ya Familia. 
            1 Timotheo 3:5

Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?


Biblia inasisitiza kuwa mchungaji lazima auongoze vyema nyumba yake kwanza

  • Muda kwa Familia: Kutokuitelekeza familia kwa kisingizio cha huduma.
  • zi.
Malezi: Kuwa mfano bora wa mume/mke na mza


7. Afya ya Akili na Mwili

Mchungaji ni binadamu. Ili atumike kwa muda mrefu, anapaswa kujijali.
  • Pumziko: Kupata muda wa kupumzika ili kuepuka kuchoka kupitiliza (burnout).

  • Afya ya Mwili: Kula vizuri na kufanya mazoezi.
Hitimisho:

Mchungaji anapaswa kuwa na usawa kati ya "Kiroho" (uhusiano na Mungu) na "Utu" (uhusiano na watu na kujitunza). Huduma yenye nguvu inatokea pale ambapo mchungaji anatembea katika Roho huku akionyesha nidhamu ya hali ya juu katika maisha yake ya kila siku.

Jumatatu, 8 Desemba 2025

MALIPO YA BARAGANZA NYUMBA YA BOMBANI MAJENGO MAPYA.

TAR.8/12/2025 Nimetuma 100,000

Ufafanuzi Tar 8/12/2025 Nilituma 97000/=
Tar. 9/12/2025 Nilituma 10000/=

Umetuma kikamilifu TSh 100,000 kwenda kwa Halopesa HASSANI SHABANI SALUGIZE-255616334322. Jumla ya makato TSh 1,125, VAT TSh 172. Salio jipya ni TSh2,841. Namba ya muamala: 25585077023624. Risiti: 506-3948009588. 08/12/25 15:16. KILA HATUA MIXX


. TAR. 2/2/2025 Nimetuma 54000 Kwa Baragaza

DA25M2JMM03 Imethibitishwa. Tsh54,000.00 imetumwa kwa TIPS-HALOTEL kwenye akaunti namba 255616334322 tarehe 2/1/26 saa 6:25 PM Ada Jumla Tsh495.00 (M-Pesa Ada Tsh495.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako la M-Pesa ni Tsh30


Tar. 04/03/2025 Nimetuma 257000 Ambapo Jumla Imekuwa 400000 (Laki 4) 

Umetuma kikamilifu TSh 257,000 kwenda kwa Halopesa HASSANI SHABANI SALUGIZE-255616334322. Jumla ya makato TSh 1,710, VAT TSh 261. Salio jipya ni TSh8,888. Namba ya muamala: 26994350297898. Risiti: 506-6062481566161538. 04/03/26 13:22. KILA HATUA MIXX

Tar. 10-3-2025 Nimtuma 83 imekuwa 480000

Umetuma kikamilifu TSh 83,000 kwenda kwa Halopesa HASSANI SHABANI SALUGIZE-255616334322. Jumla ya makato TSh 1,125, VAT TSh 172. Salio jipya ni TSh6,436. Namba ya muamala: 26806550626950. Risiti: 506-6068438138492127. 10/03/26 12:10. KILA HATUA MIXX


Jumla mpaka Sasa. 480000/=


Jumamosi, 15 Novemba 2025

MISTARI YA NDOA YA MKE MMOJA


Ndoa ni tendo ambalo Mungu aliliumba kwa makusudi kabisa, ili kumpa mwanadamu picha ya jinsi ndoa yake halisi itakavyokuwa kati ya yeye na watu wake, baada ya ulimwengu huu kuisha. 

Uhusiano walio nao mke na mume, ni mfano mdogo sana wa uhusiano atakaokuwa nao Mungu na watu wake watakaoshinda, katika mbingu mpya na nchi mpya.

Hivyo tutaitazama mistari michache ihusuyo ndoa za kibinadamu, na vilevile tutaitazama mistari michache ihusuyo ndoa ya ki-mbinguni(yaani Kristo na kanisa lake).

NDOA YA MKE NA MUME

1:MWANAUME ANATAKIWA AWE AMEJITENGEMEA

Mwanzo 2:24 “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja”


⌚⌚⌚🥑🥑🥑🍏🍏🍏🍏

2;MWANAUME AMPENDE MKE WAKE


Waefeso 5:25  “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake”;

🥭🥭🥭🍏🍏🍏🍏🥑🥑🥑🥑

Waefeso 5:33  “Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe”🥑


3;MWANAUME MFURAHIE MKEO⌚🍏🍏🍏🥭🥭🥭


Mithali 5:18 “…. Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako”


4;MCHUKULIANE YOTE🥭🥑🥑🥑⌚⌚⌚


Waefeso 4:2  “kwa unyenyekevu wote na upole, kwa uvumilivu, mkichukuliana katika upendo; 3  na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani”.


5;MUUGANIKO WENU UDUMU🥭🥭🥭⌚⌚⌚⌚


Marko 10:9  “Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe”


6:IWE MUHURI MOYONI KUWA UNAMKE NA UNAMKE. 


Wimbo 8:6 “Nitie kama muhuri moyoni mwako, Kama muhuri juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu. 

7 Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo, Wala mito haiwezi kuuzamisha; Kama mtu angetoa badala ya upendo Mali yote ya nyumbani mwake, Angedharauliwa kabisa”.


7;MLIHESHIMU AGANO LA NDOA. 


Waebrania 13:4  “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu”.


8:MTEMBEE MWENDO WA MSHIKAMANO. 


Mithali 30:18 “Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu. 

19 Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana”.


9;MKE MWEMA ANATABIA NJEMA. 


Mithali 31:10 “Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani”.


10:MNYANYUANE PALE MNAPOAGUKA KIMAISHA SIYO MKIBIANE. 


Mhubiri 4:9 “Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao. 

10 Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua! 

11 Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto”?


11:PASIWEPO NA UBINAFSI. 


Mathayo 19:6  “Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe”


12;TUMIENI AKILI  VYEMA


1Petro 3:7  “Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe”


13;HAKUNA KUACHANA. 


Malaki 2:16 “Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli…”


14;POPOTE ATAKAPOISHI MMEO NAWEWE UWEPO. Muabatane wote.


Ruthu 1:16 “Naye Ruthu akasema, Usinisihi nikuache, Nirejee nisifuatane nawe; Maana wewe uendako nitakwenda, Na wewe ukaapo nitakaa. Watu wako watakuwa watu wangu, Na Mungu wako atakuwa Mungu wangu; 

17 Pale utakapokufa nitakufa nami, Na papo hapo nitazikwa; Bwana anitende vivyo na kuzidi, Ila kufa tu kutatutenga wewe nami”

.

15;MPENDANE MSICHOKANE. 


Yohana 13:34  “Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo”.


1Wakorintho 13:4  “Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;

5  haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya”;


16;MSITENDEANE MAMBO YA KUUMIZANA. 

Malaki 2:14 “Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako. 

15 Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana”

Jumanne, 11 Novemba 2025

MPANGO WA MUNGU KATIKA NDOA

SOMO: MPANGO WA MUNGU KATIKA NDOA. 

Mungu alimuumba mke na mme ili Waishi Pamoja na Wakazaene ili  Kuongeza Uzao na Kuifanya Dunia iendelee. Hii Haimanishi Mungu Ndiyo Anamlazimisha mtu kuowa au kuolewa. 

Ndoa Ya Kikristo ni Ya mke Mmoja na Mme Mmoja Imani moja. 

MPANGO WA MUNGU JUU YA NDOA. 

Mpango wa Mungu ni kwamba mume mmoja na mke mmoja waishi
pamoja wakati wote bila Kuachana


1:WASAIDIANE:

Mwanamke Awe msaidizi Katika maisha Yao . 
 Mungu alipomuumba mwanamke awe ‘msaidizi wa kufanana’ na
mume   (Mwanzo   2:18),   alitaka   wasaidiane   kwa   kila   mmoja
kumjali mwenzake kwa kila hali; kiroho, kimwili na kifikra.

2:WAWE WAMOJA.
Mungu Anataka Kuona Wanakuwa Waaminifu Kwenye ndoa Zao. 

 Mungu aliposema ya kuwa wawe ‘mwili mmoja’ (Mwanzo 2:24),
alionesha kuwa walipaswa wawe wamoja, mmoja kwa mwingine:
waaminifu, wanaoelekeana, wakweli na wanaotegemeana wakati
wote.

3:WAZAE WATOTO WAKIKE NA WAKIUME
Huu mpango wa Mungu Kuona Mwanamke anazaa na Mwanaume anazalisha ndio Maana Ya Kuwaumba Mwanamke na Mwanaume

 Mungu alipowabariki Adamu na Hawa na kuwaagiza wazae na
kuongezeka (Mwanzo 1:28) alikuwa akionesha kuwa, ndoa iliyo
imara inatoa fursa nzuri ya watoto kukulia ndani yake. 


NDOA: Inakamilishwa na Familia Yaani Watoto wakike na Wakiume wawe ndani ya Ndoa hiyo wakifurahia na kurukaruka. 

KUHUSU KUJAMILIANA KABLA NDOA. 

Mungu Tendo la Kujamiliana aliliweka Yeye ili Kuendeleza Kizazi alichokiumba lakini  Utofauti
Ni Kulifanya nje ya Utaratibu Wa Makumbaliano ya Patano la ndoa. Nje ya ndoa unakuwa umevunja Sheria aliyoiweka. 
1Wakoritho;6;9-10


KUTAFUTA MUME AU MKE KWA MKRISTO
===========================℅[[[[[[[[[[[
2Wakoritho:6:14

¶=Lazima Mkristo aolewe na Mkristo Mwezake Mungu anamtaka Kijana wa Kikristo na Bint wa Kikristo Anamtaka Atafute Wa Imani yake Yaani Mkristo mwezako. 

¶=Kujua ni Sahihi Uliyempata Utasikia Amani ya moyo na Furaha Uwepo wake hiyo Ndiyo Dalili Kuu inakujulisha Umepata mtu Wa kutoka kwa Mungu. 


KUHUSU WA JANE NA WAGANE

      1Wakoritho;7;39
Mungu anawapa ruhusa ya kuolewa Kama wakiitaji Kutengeneza Familia tena. Wasikae bila kuolewa kushinda dhambi ya Uzinifu. 

Mwanamke hufungwa na Mwanaume Akiwa Yupo Hai lakini Akira Yupo guru kuolewa. 


HITIMISHO. 
Masomo haya Yanaletwa na Pastor Richard Kwa Msaada Wa Roho Mtakatifu Kuhakikisha Yanakuvusha Sehemu na Unaenda Sehemu Kwa hiyo ni Vyema Kujifunza ili kuijenga ndoa Yako vizuri. 


Share hili Somo kwa Rafiki mmoja



Alhamisi, 6 Novemba 2025

MFUNGO WA SIKU 30

MAOMBI YA MFUNGO WA SIKU 30 Tumeanza Tar. 1 Tayari Tunaendelea 

Tunaoweza Tu jiugamanishe na Huu Mfungu siku ya 30 Tutatoa Sadaka Ya Mfungo. 

Tunafunga Masaa 12 

Tunaombea Mahitaji Yetu mbalimbali Tunaombea Taifa Letu na Serial take na Uongozi Wote Tunamuombea Baba Yetu Wa Kiroho Pastor Richard 

Maombi haya Ya siku 30 Tumeyagawanya hivi. 


➖ASUBUHI SAA;11:40-12:30 Tunaombea hayo mahitaji

➖MCHANA SAA:6:30-7:30 MCHANA Tutaombea haya mahitaji

➖JIONI SAA:10:00-12:00 JIONI

Tutaombea hayo mahitaji


Mashart Ya Mfungo huu. 

1;Kaa Patulivu na Usikwazane na watu. 

2:Epuka makwazo

3:Usizini au Kufanya matukio yatakayoharibu Mfungo wako. 

4:Unaruhusiwa Ku Jiconect na Maombi ya hapa madhabahuni Moto Wa Yesu kupitia Sadaka Yako unanitumia inbox mahitaji Yako. 

Pia nitakuwa na post audio za Maombi


Rejea Vitabu hivi kabla ya kuomba

ZABURI. 126:5-6
“Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha.  Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda.


 Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.”



ZABURI. 124:1-3, 6-8


“Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Israeli na aseme sasa,  Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Wanadamu walipotushambulia.    Papo hapo wangalitumeza hai, 

Hasira yao ilipowaka juu yetu  Na ahimidiwe BWANA; Asiyetutoa kuwa mawindo kwa meno yao.  


Nafsi yetu imeokoka kama ndege Katika mtego wa wawindaji, Mtego umevunjika, nasi tumeokoka.    

Msaada wetu u katika jina la BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.”

2. Tumkabidhi Mungu mipango yetu ili aweze kuithibitisha na kuifanikisha sawsawa na mapenzi yake.


MITHALI:16:1, 3


1“Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa BWANA.  Mkabidhi BWANA kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika.”

3. Katika mambo yote tunahitaji neema na rehema za Mungu.


WAEBRANIA. 4:16


16“Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.”






Jumanne, 4 Novemba 2025

SMS MPYA ZA MAPENZI 2025

    SMS ZA Mapenzi Za D Tar. 3-11-2025


1:Wewe ni baba watoto wangu na mume wangu mimi

2:Nataka watoto wawili nataka 2028 niwe na mimba yako

3:Nimetokea kukupenda hata kama mume wa mtu au unaumri mkubwa nakupenda hivyohivyo

4:Ee nataka nizae na wewe mume wangu au hutaki

5:Nakupenda wewe na R wangu siku mmoja nitamunyoya sawa usije kukataa

6:Ni mutamu sana kuzidi asikilimu r mutamu sana napenda anapiga kona zote hadi raha

7:Nakupenda mwezako hakuna wa kutuachanisha sio wazaz au yoyote. 

8.Ndani ya moyo wangu kunanafas ya mtu mmoja tu na ni wewe nakupenda na nimekuchangua uwe wangu wa maisha. 

9:Mume wangu asante sana kwa upendo wako hakika wewe kwangu ni baba bora wa wanangu nakupenda sana sana najivunia kuwa wangu wa maisha hakika ni mtu bora sana kwangu mume wangu mwaaa. 

Tar. 9-11-2025

10:Sitakuacha nitakuwa na wewe labda unichoke wewe mimi nimekupa nafasi kubwa ndani ya moyo wangu wewe hujui tu ninavyo kupenda basi tu

11:Sitakuacha nitakuwa na wewe labda unichoke wewe mimi nimekupa nafasi kubwa ndan ya moyo wangu wewe hujui tu ninavo kupenda basi tu

12:Nakupenda mume wangu hata kama nitanuna bado nakupenda sana kwangu wewe ni mtu wa muhimu maisha yangu yote sita weza bila wewe kwa sababu nakupenda sana sana

Tar.10/11/2025


13.Mimi na wewe nimeaza safari mpya ya upendo hatutaishia jiani paka tufike wote hakuna wa kututenganisha kamwe hayupo yoyote

14:Nitakupenda nakupenda sana sweety dear wangu mwaaa wewe ni wangu hakuna mwingine atakae chukua nafasi yako kwangu hayupo kama wewe. 

15:Paka nawaza kwani mimi sijawahi kupenda kwanin wote sijawahi kuwapenda kama wewe nilivyo kupenda sana kwa nin

16:Nakupenda sana paka nakuwa nakuota usiku nafanya tendo la ndoa na wewe nakuwaza sana

TAR. 11-11_2025
17:Tawala kila kitu kwangu sio moyo tu na akili fingo ini na k.n nimekupa wewe uwaja wako taba. 

18:Nakupenda wala sitaki kuolewa na mwingine haijalishi unamke na watoto nakupenda hivyo hivyo sitaolewa nakutaka wewe tu

19;Nakupenda sana mume wang usiniache nitalia nakupenda mim wako. 

     Tar. 17-12-2025
👇👇👇👇👇👇
20;Nimefurahi kusikia wew ni wangu nakupenda nipo teal hata kufa kwa ajili yako mume wangu

👇👇👇👇👇👇👇👇👇
21:Nakupenda sana wew ni mwanaume wa kwanza nakupenda paka mim najiuliza kwa nin nimekupenda sana wewe. 
👇👇👇👇👇👇👇👇

22:Naogopa tu ukija kuniacha kwa sabab nimekupenda ndo maana nakuwa hivyo sio sikupend wala kukuamin nakuamin sana najikuta nakuwa na wasiwasi tu. 

Tar.20/12/2025

23:Wewe kwangu sio mume tu bali ni mulezi wang baba na mama yangu mie nikikosea nionye hata kuniadhibu niadhibu  nimekukabiz mwil wangu na kila kitu changu chako wewe. 

24:Mwez wa kwaza mbali sana siku zinavyo zidi kwenda ndo na moyo wang unazid kukupenda na kukuwaza kila Muda Sana. 

25:Sawa nakuaminia unanihudumia vizur sana paka napagawa kwa ajili yako mume wangu

26:Asante napenda sms zako nzur sana paka nafurahia atal kupendwa raha jamani unanipa raha mpaka najihisi Mimi nilikuwaga Wapi kukujua mapema. 

27:Nitaitimiza nikirud huko amin hivyo nitamnyonya R

28;Nataka kumukalia r nalala basi mim nakuja kwa juu r anaingia taratibu hadi raha baby tamu yang nipe yote nisungue taratibu

     Tar. 22/12/2025

29:Mara ya kwanza mim sikuwa na hisia za kalibu ilikuwa paka mtu anichokoze ndo nakuwa na hisia lakin saiz kumbukumbu zako hazifutiki kichwan mwangu najitahadi nashida hata sielewi kwa nin nakuwa hivi
👇👇👇👇
30:Nakupenda mume wang nakusubil kwa hamu sana usiku mwema mungu akulide

TAR. 23-12-2025
👇👇👇👇👇
30:Hata sijui nimewanga mara ngap nakumbuka siku ile ulinicheka nimekata moto ulinifikisha kileleni

31:Ni wewe kwa mara ya kwaza umenifikisha kileleni 

32:Kwani nimefika kilelen mara ngapi nambiye wewe na nimewanga mara ngapi


33:Kama nigekuwa nae ugejua au kama nigekuwa nakuchiti ungeona mar ngapi unaniambiya umeona vitu kwangu na inakuwa kwel


     TAR. 24-12-2025
       👇👇👇👇👇

34:Nikoteali kufanya na kufata unavyo nielekeza wewe yote kwa sababu nimekupenda siko teal kukupoteza. 

35:Sawa nitakulea vizuri mume wangu nitakufanyia vitu hujawahi kufanyiwa saizi nilikuwa najibana sana ♥ ngoja niwe wako Rasimi nitakupa mmahaba mpaka hutaamini. 

36:Nakupenda haijalish unafamilia mke na watoto nimekupenda hivyo hivyo wewe ni wangu mume wang mimi

37:Unanipenda mpaka naogopa mimi sijawahi kupendawa kama wewe unavyonipenda paka unatenga muda wa kuogea nami kuchati nami umejilipua sana tu


38:Wewe umenifudisha maana halisi ya mapenzi yalivyo kila nikiwa na wewe nakuwa nafuraha san wala sijutii uamuzi wang wa kuolewa na wewe

39:Nipo teali kuolewa na wew kwa sababu ni mwanaume wa kwanza sitaki nije nisumbuke nimeolewa na mwingine nakuwaza wewe ndo maana nimekubali uniowe nakupenda sana

40:Sijali kuhusu watu kwani hata wakijua wananisaidia nin mungu akijua mim na wewe mke na mume imetosha sio kuwafurahisha wanadamu

41:Kwanza wewe umenifikisha kileleni umenifunza utamu wa mapenz ukoje na k.n

42:Penzi lako tamu sana paka nachanganyikiwa nadata na penzi lako tamu sanaaa unanipa staill paka sielewe umezitoa wapi mgaga wako fundi umeniweza sana

43:Unajua kunipembeleza kama mtoto mguu wako napagawa mwezio ukinipa R nakumbuka kila mara ananikuna kona zote mwili wote nahisi raha hhaaaaa utaniua kwa penzi lako


44;Vitu ninavyopata kwako hakuna mwingine wa kunipa mim wewe fundi paka najilaumu nimechelewa wap kukupata eti

45;Natamani siku ziende haraka uje mume wangu nimemmiss sana R nimutamu sana nataka ukija upige mpaka ichanganyikiwe D

Tar. 3/1/2026

46:Nakupenda sana mume wangu wew kwang ni kila kitu nimekumc san pia nakusubir

Tar. 13-1-2026

47;Mim sijamic ulinipa paka nikalizika kama wew umemic nitakupa mume wang D ni mali ako na unahaki yako kukupa

TAR. 14-1-2026

48:Leo nitamnyonya R Mara mbili nitamla mpaka Aloane 
Leo Unitombe Sana Nakataka Kutombwa nawewe Sana Leo. 

49:Sawa mume wangu natamani paka siku ya kwenda mara umesha tomba d hata nisubua atakuwa kashiba nataka tufurahi wote

50;Nakupenda wew na r wangu nataka leo anitombe sana mwamby R ajue

51:Napenda unaizungusha ndani hadi raha kona zote unapita huniachi jian nafika D ni wako wewe uwe unachapa kisawasawa. 

52:Lala kifuani kwangu nikuimbie nyimbo nzur mume wangu huku namchezea R wangu unacheka nini sasa baby wangu unataka kumuingiza R talatibu kwa D muweka Polepole. 

53:Sawa wewe utamutomba tu mume wangu hubaniwi na mtu yoyot ni wako D:

TAR.15-1-2026

54:Mume wangu unajua kutomba paka raha nimeliza jana umenitomba paka hamu zote zimeisha 

55:D Anawaka Moto Jana Umenitomba Sana Leo Siitaji Nimetosheka Sana. 


TAR. 21/1/2026 

56;Nisamehe sana mume wangu sitaki kuvurunga ndoa yetu Nakupenda sana mume wangu napenda kukutii na kusikiliza unacho nambiya na kuniongoza nimevunja makubaliano yetu Nakupenda sana mume wangu sina jinsi ya kufanya

57; Unavyokaa kimya mimi nakuelewaje sasa tuogee tuyamalize sio unavyo kaa kimya mume wangu hatujengi tunabomoaa ndoa yetu wenyewe nisawa nimekosea huwezi kunisamehe. 

58;Piga mume wangu nikuambiye tuzungumze tuyamalize sina Amani kabisa

59:Mume wangu kwanini Unanifanyia hivyo lakini

60: Hivi mume wangu unavyokaa kimya unamanisha nini au hunitaki tena nambiye unanipa Wakati mungumu sana unajua ulivyo wa muhimu kwangu na wathamani kwangu kama unafikiria kuniacha kwa kosa hili asante kwa kunionesha na kunifundisha upendo sitakulaumu kwa chochote nitajiraumu  mimi kwa kukupenda na kukuamin  ningejua kitatokea hiki nisingekubali kuwa kwenye mahusiano yanayo ishia njiani.


61: Mimi katika hela uliotuma elfu kumi mama aliniomba nikamupa alisema atarudisha bado hajanipa nina elfu ishilini tu. 

   TAR. 22/1/2026

62:Nilikujibu kama mume wangu kuna  nafasi yako na utabaki kuwa mume wang ila upande wandg zangu itabak kuwa hivyo nikienda mbal uwez wa kunifikia weng hawana inabidi mim niangane nao kabla sijaondoka. 


TAR. 23/1/2026

63;Asante umenitumie hela kubwa naenda kununua samaki na mchele tule nyumbani mume wangu. 

TAR. 6/2/2026 ALIENDA KUANZA MAISHA YA UCHUNGAJI MARA (MUSOMA) 
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
64:Saw nitakuambiya nahisi kupungukuw nakupenda san sijazoea kukaa mbal na wew mum wang nitaweza kweli


TAR. 13-2-2026

65:Nakupenda mum wangu pole na uchovu wa siku nzima mwaaaa nakuonea huruma mume wangu Pole Sana na majukumu

66:Mume wangu nakupenda nilikuwa nasoma biblia ndo nalala


Tar.17/2/2025

67:Mume Wangu Mungu Akupe Nguvu ya kupambana kwa siku ya leo nakupenda sana nimekuombea uwe na nguvu mung aachilie baraka mafanikio katika huduma yako akuinue  atimize haja ya moyo wako mwaaa. 


TAREHE: 23-2-2026 MARA SIKU YA KWA KUMWANGA MKEO KWA SMS

68:Nimelala niandae usiweke bado sijaloa

69:Mate yako matamu nipe yote nataka kuilamba R nakulalia juu napitisha mkono mgogoni nakupapasa paka kwenye kifua nashuka chin kwenye tumbo. 

70:Nimepanua ingiza taratibu beby tam unavyo ingiza

71;Chomoa ingiza tena nataka niione inavyoingia tamu hahaa nipe yote nitombe beby bora tamu sana. 

72:Nasikia utamu weka boro yote izame badilisha stair nitombe mwaaa songeza mdomoni kwangu nikunyonye. 

73:Hapohapo chezea kisimi huku unaingiza  boro nahis utamu

74:Niiname ingiza sasa huk unachezea kuma unanimaliz mwezak hoi tambani nataka kumwanga unaisungua vizur nitomb zamisha yote. 

75:Imetosha nimelizika kama tupo wote jaman mwezako nimemwanga nimetosheka umenitomba sana.

76:Nimehis Tupo pamoja unanikuna vizuri sana nahis umenitomba sana tena Sana. 

77:Lakini mim nakupenda sana nakuwa nakumic mwezio hat sielew

78:Kunawakat nataman nikae niogee nilal nawew tule wot tuoge ila nakuwa siko huru sana kwak naumia nakumic san nimekuzoea najikaza san nakuwa nalia kwa ajil yako kweli

79:Nakupenda Sana Mume wangu Pigs Kazi Nakuombea Kwa Mungu. 

TAR. 5-3-2026

80:Mume wang nakuombea kwa mungu upate nguvu mungu akupe miaka ming sana nakupenda uzid kupamban uwe baba bora wa wanang

Jumatatu, 6 Oktoba 2025

SOMO:MAOMBI YA KUOMBEA TAIFA LA TANZANIA🇹🇿

SOMO:MAOMBI YA WIKI MOJA KUOMBEA NCHI YETU YA TANZANIA

Shalom Shalom Mtoto wa Mungu Nasikia Sauti Tutembee Siku Saba Tukomboe NCHI YETU KUOMBA REHEMA NA TOBA KWA AJILi YA TAIFA LETU.


HATUA YA KWANZA TUTATUBU 

2Nyakati:7;14-15

2 Mambo ya Nyakati 7:14

 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.


    OMBA   HIVI:


A) . Baba Nasimama Kwa niamba Ya Taifa langu La Tanzania🇹🇿 Ninaomba ulisamehe Taifa langu Kila lilipomwanga  Damu na Damu ambazo hazina Hatia Zinapaza Sauti mbele zako zikilalamikia uongozi wa nchi yangu na kuendelea kuilaani Nchi yangu Mimi ni Mwanao nikiwa ndani ya hili Taifa la Tanzania Nasimama kwa Niamba Ya Rais Wa Nchi Nikiwabeba na Washauri wake na viongozi wote waliomzunguka Rais wangu baba naomba msamaha Msamehe Msamehe Rudisha Amani Amani Ya Nchi Yangu na Furaha Katika Jina la Yesu. Amen

Rudia×5



MAOMBI YA KUG,OA KILA WANAOTAKA KUHARIBU AMANI YA NCHI YETU YA TANZANIA. 

Soma huuu mstari wa kusimamia

2 Mambo ya Nyakati 7:20
ndipo nitawang'oa katika nchi yangu niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaiondosha itoke mbele zangu, nami nitaifanya kuwa mithali na tukano katikati ya watu wote.


B) Baba Yangu Nasimama Katika Nafasi Yangu Kama Mwanamaombi Nikisimama Kwa Ajili ya Nchi Yangu Kug,oa   Kug,oa  Kila roho inayoingia Kwa Siri ikulu na kutaka kusababisha Uvunjifu wa Amani Kila Mtu anayetaka Watanzania wagonbane au Kukosana Ninatuma malaika wa Ukombozi Kila nguvu Kila mamlaka inayijiinua Naishusha china nakuipandisha Juu mamlaka  Uliyoiandaa wewe na kiongozi uliyekusundia Aongoze Watanzania Suhulisho lipatikane kwa Mazungumzo na Muafaka Upatikane bila Damu Kumwangika Katika Jina La Yesu..... Endeleaa KUOMBA unavyoelekezwa na Roho Mtakatifu Ruhusu kutamka maneno yanayokuja Kinywani Mwako.



Tembea Tembea Unapoombea Nchi yako ibebe Tanzania Kwa Machozi Kila Siku Saa Nane mpaka Saa Kumi Kamili Alfajili. 


Share na muunge Kila mmoja mwenye upendo na Nchi yake Ya Tanzania

. Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro

Kanisa la Holy Spirit Church Tanzania🇹🇿

WhatsApp+255710889892

Jumamosi, 4 Oktoba 2025

SOMO: ZIFAHAMU GROUP ZA DAMU

SOMO:ZIFAHAMU GROUP (KUNDI) ZA DAMU PAMOJA NA AINA YA ULAJI NA TABIA ZAKE.

Vitabu: Mithali:3:8  Mithali;4:22 

Yeremia 33:6
Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

 Kundi lako la damu linaweza kukufanya uwe dhaifu au imara katika kukabiliana na magonjwa fulani.Ni vema kujua kundi lako la damu sawa na ilivyo vema kujua mambo mengine yanayochangia kuwa na afya njema. Kujua kundi lako la damu Kunaweza kukuza uwezo wako wa kufahamu hatari zinazo kukabili kutokana na kundi la damu Ulilo nalo na kuepuka hatari hizo kwa kutumia mtindo wa maisha unaofaa.Hata hivyo, Kama vilivyo viungo vingine vya mwili, damu nayo ina changamoto ya kukumbana na maradhi mbalimbali, magonjwa yanayoathiri utendaji kazi wa damu yanaweza kugawanywa katika makundi kama vile ya kurithi, kuambukiza, mabadiliko ya kimwili na saratani tofauti.

 Damu ya binadamu imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni A, B, AB, na O, binadamu yeyote lazima awe na moja wapo ya makundi hayo. 
Naitwa Pastor Richard  Wa Morogoro
Kanisa la Holy Spirit Church Tanzania

            GROUP- A (A+)
✔Hawa ni vegetarians. Yaani wala mboga mboga hasa za kijani. Pia wanahitaji sana mananasi na zabibu kwa wingi.

✔ Mara nyingi ni wale watu ambao hawaambiliki yaani wakiamua kitu wameamua mpaka wakitekeleze hata kama ni kibaya.

✔ pia ni watu ambao ni wabishi sana au wabishani na hawakubali kushindwa hivi hivi.

✔Watu Wa kundi hili pia huwa wana changamoto ya kuwa na upungufu Wa acid mwilini hivyo hushindwa kuiprocess protini tumboni hasa itokanayo na nyama nyekundu.

✔Ni watu ambao hushambuliwa sana na saratani za mishipa ya fahamu,utumbo,mifuko ya mayai,mfuko wa kizazi na mlango wa uzazi kwa wanawake,kibofu cha mkojo,figo,kongosho na saratani ya kinywa, tezi za mate na umio.

✔Wana hatari pia ya kupatwa na magonjwa ya Moyo,kupata lehemu mbaya mwilini,kwenye Moyo,wako hatarini pia kupata kiharusi na ugonjwa Wa shinikizo la damu Wa Moyo.

✔️Vyakula wanavyotakiwa kula kwa wingi ni mbogamboga za Majani na nyama nyeupe nyama nyekundu sio nzuri sana kwa watu hawa.

☑ ✔️Hawatakiwi kugusa kabisa au kutumia Mara kwa Mara vyakula hivi :-nyama nyekundu,ngano,machungwa,na maziwa

✔️ wakila ndizi,maembe na mapapai huwasababishia waamkapo asubuhi kutokwa na makamasi kwa wingi.

✔️Watu wa kundi hili wanapenda sana wali na Mara nyingi ndio Chakula chao kikuu.
 Hawatakiwi kugusa kabisa ngano na mahindi na endapo wakatumia vyakula hivi hasa kwa wanawake huwasababishia kupata hedhi Mara mbili kwa mwezi.

    Tabia zao ni hizi hapa:-
👉​​​​​ni watu Wa gharama sana hasa wadada au wanawake.

👉​​​​​huishiwa au wanakuwa na upungufu Wa damu sana.. 

👉​​​​​ni wavivu nikiwa na maana hawawezi Kazi ngumu ngumu.

👉​​​​​Ni waongo sana na sio wadanganyifu,ni wakweli (they don't like cheating)

👉​​​​​ni wasiri sana.

👉​​​​​wanapenda kujifichajificha kama ni usiku hupenda kukaa gizani sana.

👉​​​​​ni waaminifu sana na hapa Mara nyingi unawakuta Maafisa utumishi kwani hufuata sheria.

👉Ni watu ambao pia wanaumwa Mara kwa Mara, kutokana na upungufu wa  mwilini.

👉Wanapenda kuwa wao wao.Ni watu ambao wanafanya maamuzi wakiwa pekeyao.    

      👉Sio wazurulaji(Anaweza jifungia ndani asubuh mpaka jioni na ukadhani hamna mtu)

.                   👉Wakipenda wanapenda kweli. 

         👉Wanahitaji handle with care, tunapokuja kuongelea mahusiano. Wanadeka mnoo.


               GROUP _B (B+)

✔Hili ni kundi la watu ambao ni wazungumzaji yaani ukiwapa nafasi ya kuzungumza ni kama vile umekosea na hapa Mara nyingi unawapata watu kama MCs, Wasanii, Radio presenters.

✔Ni watu ambao wana tabia zilizojitosheleza yaan wamekamilika.

✔ Wanapenda kuonekana ,hapa utawakuta waimbaji Na watangazaji.

✔Ni watu ambao husumbuliwa sana au wako hatarini kupata magonjwa kama uvimbe Wa fizi,na pia wanawake walioko katika kundi hili wako hatarini kupata ugonjwa Wa kisukari aina ya pili.


✔ Mara nyingi ni watu ambao wakipata maambukizi ya virusi vya aina yoyote ile huwa machizi au vichaa kutokana na kwamba vinaenda kuharibu mfumo wake Wa fahamu, wana uwezo mkubwa kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

✔Wana hatari kubwa ya kupata saratani ya koo.

✔️Watu Wa kundi hili hawashauriwi sana kula vyakula vya aina ya kuku(Mara nyingi wao wenyewe tu hawapendi kuku ingawa hawaruhusiwi kula),Karanga,korosho,na nyanya, hizi pia hawashautiwi kula.   

     ✔Ni watu ambao wanaamini sana kupitia maamuzi yao binafsi.                   

  ✔Si rahisi kuingia katika project yeyote unless, umempa derails za kutosha kuhusiana na hiyo project.                

   ✔Ni watu wa malengo, yuko radio kupambana kuhakikisha anapata matokeo.

            GROUP- AB(AB+)
✔Hawa ni watu ambao Mara nyingi hawaeleweki yaani wana tabia za A na pia tabia za B wakati mwingine.


✔Kundi hili la Damu husadikika ni kundi linalopenda sana dini. Na mara nyingi washehe, mapadre, wachungaji utakuta wengi wapo kundi hili.      

  ✔Ni wakarimu sana na wanapenda sana watu. 

✔Hujitolea kwa ajili ya wengine. Mtu wa jamii hii anaweza kukupa kila kitu akabaki hana yeye.     

   ✔Ni watu ambao wanaweza akaanzisha kitu asikimalizie ukakuta kaishia katikati halafu kaanzisha kingine.


✔Ni watu ambao wako hatarini Kupata magonjwa kama kiharusi,dengue,magonjwa ya Moyo,shinikizo la Moyo,na lehemu kujaa kwenye mishipa ya damu.


✔Watu Wa kundi hili Mara nyingi wakifikia uzeeni uwezo wao Wa kufikiri hupungua kwa haraka.Lakini Mara nyingi kupungua kwa uwezo Wa kufikiri hutokana na magonjwa kama shinikizo la Moyo,kisukari na lehemu kuwa nyingi sana mwilini.


✔ ni watu ambao wana uwezo mkubwa sana Wa kukabiliana na magonjwa yaani kinga yao ya mwili ni imara ukifananisha na makundi mengine yote ya damu.     

    ✔Ni watu ambao wako na hasira za ndani kwa ndani  sio rahisi kuexpose hasira zake ukamtambua kirahisi.

  ✔Hubadilika kulingana na mazngira(Hawana tofauti na vinyonga).    

✔Wanasifa ya uongozi.

 GROUP -O(0+)

✔Hawa ni watu ambao ni jeuri na kiburi na wanajiamini sana.

✔Wanasifa ya uongozi. Wanapenda kuongoza watu(They're Leaders). 

✔Wazurulaji mono.    

✔Wako very much Open minded. Yaani ni watu wa Kureason mambo. 

✔Watu ambao ni wababe,wagumu, na wanafanya maamuzi yao pale wanapoamua na sio kulazimishwa.                   

    ✔watu ambao wana roho nzuri sana ila hawapendi uongo hivyo usije ukajaribu kuwadanganya hata siku moja.

✔Ni watu ambao wanaweza jihusisha na mahusiano zaidi ya moja na wakaona wako sawa.

 ✔Ni Watu ambao sio rahisi sana kupata shambulio la ghafla la Moyo kama ilivyo kwa watu wenye makundi mengine ya damu. 

✔Hawana kinga ya kutosha dhidi ya kipindupindu lakini wana kiasi fulani cha kinga dhidi ya Kifua Kikuu (TB), Malaria isiyo kali, saratani za kongosho, tumbo, matiti na mlango wa kizazi. 


✔Ni rahisi kupata magonjwa ya maambukizi ya ngozi,na vidonda vya tumbo.Wanapata sana maumivu ya kiuno,magoti pamoja na mgongo.


✔Ni watu wasiopenda vitu vichachu kutokana na uwepo Wa acid kwa wingi mwilini mwao hivyo wanasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo na huwa wanasumbuliwa sana na tatizo la choo (constipation) pamoja na kisukari.


✔Kundi hili pia hutokewa na mvi za mapema sana. 
✔Kwa wanaume hapa ndipo unawakuta ambao wana mapaja yasiyolingana yaani moja kubwa lingine Dogo.

✔️Hawatakiwi kula ngano na mahindi Mara kwa Mara au kutokula kabisa.

✔️Hawapaswi kabisa kugusa au kula machungwa,passions,ukwaju,maembe mabichi, zabibu nk na vyote vyenye acid.

✔️Hawatakiwi kabisa kula ugali au wali,mahindi ya kuchoma au kukaanga au kupika hayawafai kabisa.

✔️Wanaume walioko katika kundi hili wanahitaji protein kwa wingi kuliko wanawake kutokana na kuhitaji nguvu kwa sana katika shughuli zao na miili yao kwa ujumla.

✔️Kwa wanaume wanatakiwa kula matunda sana kama maembe,mananasi,ndizi,matikiti maji (ule na mbegu zake) hapa pia kama ni tunda unakula lote mfano nanasi unalimaliza,papai unalimaliza,na pia matunda ya rangi moja kula kwa pamoja.


✔️Ukitengeneza kitu kama juice ya matunda unywe yote kwa wakati huo na sio kutengeneza ya wiki au siku kadhaa.

✔️Vyakula vinavyowasaidia au wanavyohitaji sana mwilini ni matunda ,mboga za Majani,protein kwa wingi yaani nyama,maharage,mayai na maziwa.

    
                  " HITIMISHO"
::::::::::::::::;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;:::::;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;
 Magonjwa mengi yanaweza kuepukwa kwa kuzingatia usafi wa mwili na mazingira, mlo kamili(kula kilingana na Uhitaji wa group lako la damu), kufanya mazoezi, kupunguza uzito uliozidi na kuepuka matumizi ya tumbaku, pombe pamoja na madawa..*


Naitwa Pastor Richard wa Morogoro
Kanisa la Holy Spirit Church Tanzania
Morogoro Veta Dakawa

Jumatatu, 29 Septemba 2025

Somo: Hedhi


           Somo: Hedhi

Dalili za HEDHI Mwanamke Kabla Hajaingia

  • Kuongezeka kwa hamu ya kula, 
  • Matiti kuuma yakiguswa, 
  • Mabadiliko ya hisia mara kwa mara, 
  • Kukasirika kirahisi,
  • Hamu ya vyakula maalumu,
  • Matatizo ya kupata usingizi, 
  • Kichefuchefu,
  • Kuishiwa nguvu,
  • Maumivu ya tumbo,
  • Maumivu ya mgongo, na 
  • Chunusi

        Visababishi VYA HEDHI KUKOMA

Kuchelewa kwa hedhi kunaweza kusababishwa na mabadiliko ya kiasili, matatizo ya homoni, magonjwa, au mitindo ya maisha. Sababu ni pamoja na:

  1. Ujauzito – Sababu ya kawaida kabisa kwa wanawake wa umri wa kuzaa.

  2. Kunyonyesha – Homoni ya prolaktini huchelewesha ovulation na hedhi.

  3. Mabadiliko ya homoni

    • Matatizo ya tezi (Upungufu au wingi wa homoni thairoidi)

    • PCOS (Sindromu ya ovari yenye vifuko maji vingi)

    • Kiwango kikubwa cha homoni prolaktini (Homoni maziwa)

  4. Matatizo ya ubongo – Uharibifu au matatizo kwenye tezi pituitari au hypothalamus.

  5. Magonjwa ya mfumo wa uzazi

    • Uvimbe au makovu kwenye kizazi (Sindromu ya Asherman)

    • Matatizo ya kuzaliwa kama kukosa uke au uterasi.

  6. Matumizi ya dawa

    • Vidonge vya kupanga uzazi (baadhi ya aina)

    • Dawa za homoni, kemotherapi, dawa za magonjwa ya akili.

  7. Mitindo ya maisha

    • Msongo wa mawazo

    • Kupungua sana au kuongezeka sana uzito

    • Mazoezi ya kupita kiasi (athlete’s amenorrhea).

  8. Kukoma kwa hedhi mapema – Komahedhi kabla ya miaka 40.


Dalili zianzoambatana na kuchelewa hedhi


Mbali na kukosa hedhi, dalili zinaweza kujumuisha:

  • Maumivu ya nyonga au tumbo

  • Matiti kujaa au kutoa maziwa bila ujauzito

  • Kubadilika kwa uzito bila sababu

  • Nywele nyingi usoni au mwilini (hirsutism)

  • Chunusi nyingi

  • Kichefuchefu, uchovu (hasa ujauzito)

  • Dalili za kukoma hedhi: moto moto mwilini, kukosa usingizi, jasho usiku

Jumatano, 17 Septemba 2025

SOMO:DALILI ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA

     "DARASA LA UCHUMBA"

SOMO:DALILI ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA

Mithali:1:7 Mithali:12:1_5

           Zaburi 86:11 

 Ee Bwana, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako; anayekupenda kwa dhati ataonyesha ishara mbalimbali zinazodhihirisha kuwa ana hisia za kweli kwako.. 


Wanaume wengi hujikuta wakijiuliza kama mwanamke anayempenda ana hisia za dhati au la.

Katika makala hii tutajadili dalili muhimu zinazoweza kukusaidia kugundua kama mwanamke anakupenda.

Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro

Veta Dakawa

Kanisa la Holy Spirit Church


1. Anakujali na Kukuthamini


Mwanamke anayekupenda atakuwa na shauku ya kujua maendeleo yako na kukuhakikisha kuwa uko sawa.

Atakujali katika hali zote, iwe una furaha au una huzuni.

Dalili:

  • Anakufuatilia ili kujua hali yako.
  • Anahakikisha unajisikia vizuri kila mara.
  • Anaonyesha wasiwasi ukiwa na huzuni au matatizo.

2. Anajitahidi Kuwa Karibu na Wewe


Ikiwa mwanamke anakupenda, atataka kutumia muda mwingi akiwa na wewe.

Atapanga mipango ya kuwa karibu nawe, hata kama ni kwa muda mfupi.

Dalili:

  • Anatafuta sababu za kukutana na wewe mara kwa mara.
  • Anafurahia kuwa na wewe hata kama hamna shughuli maalum.
  • Anakufuatilia kwenye mitandao ya kijamii na kujihusisha na machapisho yako.

3. Anaonyesha Wivu wa Kiasi


Mwanamke anayekupenda hatapenda kukuona ukivutiwa na wanawake wengine.

Ingawa hatakuwa na wivu uliopitiliza, ataonyesha dalili za kutokufurahia unapoongea sana na wanawake wengine.

Dalili:

  • Anabadilika kimtazamo au kitabia unapokuwa karibu na wanawake wengine.
  • Anauliza maswali kuhusu marafiki zako wa kike.
  • Anaonyesha ishara za kukosa furaha unapomzungumzia mwanamke mwingine.

4. Anakutambulisha kwa Watu Muhimu Katika Maisha Yake


Mwanamke anayekupenda kwa dhati atataka ujulikane kwa watu wake wa karibu, kama vile familia na marafiki.

Dalili:

  • Anakutambulisha kwa marafiki na ndugu zake.
  • Anazungumza kuhusu wewe kwa familia yake.
  • Anapenda kuwa na wewe hadharani bila kujificha.

5. Anakutazama kwa Mapenzi na Tabasamu


Macho ya mwanamke yanaweza kusema mengi kuhusu hisia zake.

Mwanamke anayekupenda atakutazama kwa macho yenye upendo na mara nyingi atakutabasamia bila sababu yoyote maalum.

Dalili:

  • Anakutazama moja kwa moja machoni kwa muda mrefu.
  • Anatabasamu mara kwa mara unapozungumza naye.
  • Macho yake huangaza anapokuona.

6. Anakupa Kipaumbele

Ikiwa mwanamke anakupenda, atakufanya kuwa mmoja wa watu wa muhimu katika maisha yake.

Dalili:

  • Anapunguza shughuli zake ili kuwa na muda wa kuwa na wewe.
  • Anakusikiliza kwa makini unapozungumza.
  • Anahakikisha mahitaji yako yanapewa uzito.

7. Anafurahia Mafanikio Yako


Mwanamke anayekupenda atajivunia mafanikio yako na atakutia moyo katika juhudi zako za maisha.

Dalili:

  • Anashangilia unapofanikiwa.
  • Anakutia moyo unapokutana na changamoto.
  • Anakupa ushauri wa kujenga unapokuwa na mipango.

8. Anakugusa Eneo lolote la mwili wako. 


Mwili wa mwanamke unaweza kutoa ishara zisizo za maneno kuhusu hisia zake.

Ikiwa anakupenda, mara nyingi atakugusa kwa upole bila kujitambua.

Dalili:

  • Anapenda kushika mkono wako au bega lako.
  • Anajisogeza karibu na wewe mnapokaa pamoja.
  • Anakutania kwa kugusa au kusukuma kwa upole.

9. Anajali Maisha Yako


Mwanamke anayekupenda atapenda kujua kila kitu kinachohusu maisha yako ndoto zako, changamoto zako, na mambo unayopenda kufanya.

Dalili:

  • Anauliza maswali mengi kuhusu maisha yako.
  • Anajali malengo yako ya baadaye.
  • Anakutafuta ili kujua hali yako hata kama hamjaonana kwa muda.
  • Atakupigia au Kutuma sms

10. Anaweka Mipango ya Baadaye na Wewe


Ikiwa mwanamke anakupenda kwa dhati, atazungumza kuhusu mipango ya baadaye ambayo inakuhusisha.

Dalili:

  • Anazungumzia ndoa au maisha ya baadaye pamoja na wewe.
  • Anataka kujua mipango yako ya muda mrefu.
  • Anaonyesha dalili za kutaka kuwa na wewe kwa muda mrefu.
11:MWANAMKE ANAYEKUPENDA ATA KUWA WAZI KWAKO. 


Mwanamke Anayekupenda Atakuwa my WAZI. 

DALILI:
•Atakueleza Kila kitu na changamoto zake. 
•Atakueleza Wanaomsumbua Kimahusiano. 
•Atakuwa Yupo huru nawewe. 


12:MWANAMKE ANAYEKUPENDA ATAKUSIKILIZA NA KUACHA USICHOPENDA. 


Mwanamke Anayekupenda Hukusikiliza nakuacha usiyopenda wewe

DALILI:
•Yupo Tayari Kubadilika kwa ajili yako. 
•Ataacha Yote Usiyoyapenda Wewe. 
•Atakuwa Makini kukusikiliza wewe kwa Umakini. 
•Hatakudharau au Kukatisha mazungumzo ukiwa unaongea hatadakia kabla hujamaliza. 


. 13:MWANAMKE ANAYEKUPENDA ATAKUOMBEA SANA.
 
Mwanamke Anayekupenda lazima atakuombea katika Maombi Yake. 

DALILI. 
•Anakuwa anakukumbuka kulitaja Jina lako. Anapoomba. 
•Atakushauri juu ya Maombi na kukuongoza umpende Mungu upende kuombea kazi zako. 


14:HISIA ZA UPENDO HUWAKA MKIWA WAWILI


Mwanamke Anayekupenda Atakuwa na HISIA za Kimapenzi nawewe Akiwa Anaibu ataleta Ishara mbalimbali akiona humwelewi Huongea kwa vitendo. 


DALILI. 
•Atatamani Ashiriki Tendo la ndoa nawewe. 
•Atatamani Umuowe umuweke ndani. 
•Atatamani Akuguse mwili wako kiugo chochote 
•Macho Yake yatakuwa ya mahaba
•Sauti Yake itakuwa ya mahaba. 

Hitimisho

Mwanamke anayekupenda kweli haya niliyoyaandika huambatana naye kwa kuwa Moyo wake umekupenda. 



Share masomo haya kwa watu

SOMO: DALILI ZA MWANAUME ANAEKUPENDA


SOMO:DALILI ZA MWANAUME ANAEKUPENDA KUTOKA MOYO NI. 

Vitabu: Mithali:1:7 Mithali:12:1-5

Zaburi 86:11
Ee Bwana, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako;

Mwanaume anayekupenda kwa dhati ataonyesha ishara mbalimbali zinazoonesha hisia zake kwako.

Ingawa baadhi ya wanaume wanaweza kuwa na aibu kueleza hisia zao kwa maneno, tabia zao zinaweza kuwa kiashiria tosha cha mapenzi yao ya kweli.

Katika makala hii tutaangazia dalili muhimu zinazoweza kukuonyesha kama mwanaume anakupenda kwa dhati.

Karibu Sana Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro

Kanisa LA Holy Spirit Church

Morogoro Veta Dakawa

1. Anakupa Kipaumbele Katika Maisha Yake

Mwanaume anayekupenda atahakikisha kuwa unakuwa sehemu ya maisha yake.

Atatenga muda wa kuwa na wewe bila kujali jinsi alivyo na shughuli nyingi.

Dalili:

  • Anakutafuta mara kwa mara bila kusubiri umtafute kwanza.
  • Anapanga muda wa kuwa na wewe hata kama ana ratiba yenye shughuli nyingi.
  • Anakupa nafasi muhimu katika mipango yake ya baadaye.

2. Anakusikiliza kwa Makini

Ikiwa mwanaume anakupenda, atakuwa na hamu ya kujua unachozungumza na atakupa usikivu wa hali ya juu.

Dalili:

  • Anakumbuka mambo madogo unayomwambia, hata yale uliyojisahau.
  • Anaonyesha shauku ya kujua kuhusu maisha yako, familia, na marafiki zako.
  • Hakati mazungumzo unapozungumza naye, bali anasikiliza kwa makini.

3. Anaonyesha Wasiwasi na Kujali Hali Yako

Mwanaume anayekupenda atakuwa na shauku ya kujua hali yako kila siku.

Atajali furaha yako, afya yako, na maendeleo yako kwa ujumla.

Dalili:

  • Anapenda kujua hali yako ya afya na maendeleo yako kazini au shuleni.
  • Anahakikisha uko sawa unapopitia changamoto au matatizo.
  • Anakutia moyo unapohisi kushindwa na anakupa suluhisho la matatizo yako.

4. Anajitahidi Kukuona Unafurahi

Mwanaume anayekupenda atafanya kila awezalo kuhakikisha kuwa unakuwa na furaha.

Dalili:

  • Anakushangaza na vitu vidogo unavyovipenda, kama vile zawadi au ujumbe wa kukutia moyo.
  • Anapenda kukuchekesha na kukufurahisha kwa njia mbalimbali.
  • Anajitahidi kuepuka mambo yanayoweza kukukasirisha au kukufanya uhisi vibaya.

5. Anakutambulisha kwa Watu Muhimu Katika Maisha Yake

Ikiwa mwanaume anakupenda, hatakuwa na tatizo kukuonyesha kwa marafiki zake na familia.

Dalili:

  • Anakutambulisha kwa marafiki zake na ndugu zake kwa furaha.
  • Anataka ujulikane kwa watu wake wa karibu kama mpenzi wake.
  • Anakushirikisha katika matukio ya kifamilia au ya marafiki.

6. Anaonyesha Wivu wa Kiasi

Wivu wa kiasi ni kawaida kwa mtu anayekupenda, lakini usiwe wa kupitiliza hadi kufikia kuwa sumu katika mahusiano.

Dalili:

  • Anapenda kujua marafiki wa kiume ulionao na uhusiano wako nao.
  • Anaonyesha hali ya kutokufurahia unapomzungumzia mwanaume mwingine kwa furaha nyingi.
  • Anataka kujua unachokifanya unapokuwa mbali naye kwa muda mrefu.

7. Anajitahidi Kukusaidia Katika Mambo Mbalimbali

Mwanaume anayekupenda hatakuacha upambane peke yako katika changamoto zako za maisha.

Dalili:

  • Anakusaidia kutatua matatizo yako kwa vitendo, si maneno tu.
  • Anakuunga mkono kwenye miradi yako na ndoto zako za maisha.
  • Anahakikisha kuwa hupungukiwi na msaada wa kimawazo, kifedha, au kihisia unapouhitaji.

8. Anaonyesha Heshima Kwako

Heshima ni sehemu muhimu ya upendo wa kweli.

Mwanaume anayekupenda hatakudhalilisha au kukudharau kwa njia yoyote.

Dalili:

  • Anaheshimu maamuzi yako na maoni yako hata kama hayafanani na yake.
  • Hatakuweka kwenye mazingira ya aibu au kukufanya ujisikie vibaya mbele ya watu wengine.
  • Hatakuumiza kimwili au kihisia kwa makusudi.

9. Anaonyesha Mapenzi Kwa Vitendo

Upendo si maneno tu, bali vitendo vina nafasi kubwa.

Mwanaume anayekupenda atafanya vitendo vinavyodhihirisha hisia zake.

Dalili:

  • Anakutumia ujumbe wa asubuhi au usiku wa heri bila sababu maalum.
  • Anakufanyia mambo madogo yanayokuonyesha kuwa anakujali, kama vile kushikilia mlango au kukuletea zawadi ndogo.
  • Anakutazama kwa macho ya mapenzi na kutabasamu mara kwa mara unapokuwa naye.

10. Anafikiria Mipango ya Baadaye na Wewe

Ikiwa mwanaume anakupenda kwa dhati, hatakuona kama sehemu ya muda mfupi katika maisha yake bali atakufikiria kama sehemu ya maisha yake ya baadaye.

Dalili:

  • Anazungumza kuhusu maisha ya baadaye na wewe.
  • Anakushirikisha katika mipango yake ya muda mrefu.
  • Anazungumzia ndoa na maisha ya kifamilia akiwa na wewe.

Hitimisho

Mwanaume anayekupenda kweli ataonyesha kwa vitendo, si kwa maneno matupu.

Atakujali, atakuheshimu, na atajitahidi kuhakikisha kuwa unafurahia uhusiano wenu.

Ikiwa mwanaume unayempenda anaonyesha dalili hizi, basi ni wazi kuwa anakupenda kwa dhati.

Kama bado una mashaka, ni vyema kuzungumza naye moja kwa moja ili kufahamu hisia zake kwa uwazi.

Upendo wa kweli unapaswa kuwa wazi, wa dhati, na wenye heshima kwa pande zote 



Share haya masomo na watu waunge kwenye Group

Jumanne, 16 Septemba 2025

SOMO; AINA ZA MABUSU(Kiss💋) NA MAANA YAKE.

           "DARASA LA UCHUMBA"
======={{{{{====={{{{{{{==========
SOMO: AINA ZA MABUSU (KISS) NA MAANA ZAKE. 

Mabusu Yalianza Toka Kipindi cha Adam
Na Eva Vitabu vinaelezea Busu ni Hisia ya Upendo

Rejea Vitabu.Mwanzo;27;26-27  2Samweli:20:9
Mithali;7;13 Wimbo:1:2


Mabusu huwa ishara ya upendo na heshima kubwa mno siyo kila busu utakalopewa linamaana moja kuna busu mtu akikubusu linaongea kwa habari ya kuhitaji Penzi lako jingine la kuonesha anakujali mno lakini anaongopa Jigine LA upendo tu Ni Vizuri kujua na ukaweza kutofautisha means kila Busu linaongea juu ya hisia Kali za Upendo Kati yenu wawili. 

Naitwa Pastor Richard wa Morogoro
Kutoka Kanisa LA Moto wa Yesu
Karibu Ujifunze nami


1.BUSU LA KWENYE PAJI LA USO. 

Busu hili maana yake nakujali nakupenda, na nakuthamini, ila hutumika kirafiki kindungu au hata kwa wapenzi pia.

JINSI YA KULITUMIA

Utambusu mtu kwenye paji lake la USO kuonesha Unampenda na Kumjali

Litumie kubusu mtu wa karibu ndugu mototo mzazi rafiki unaowajali. 


2.BUSU LA KWENYE SHAVU. 

Hutumika kwa watu wote, ndugu, marafiki hata wapenzi pia, ni ishara ya upendo kwa mtu wako wa karibu.

JINSI YA KULITUMIA BUSU HILI. 

Mbusu mtu kwenye shavu lake kuonesha Upendo wa Kawainda wa Kindugu 

Litumie kwa  watu wote hii inaongea Upendo wa Kindugu. 

3.BUSU LA MDOMONI

Linaweza kutumika kwa wapenzi, marafiki hata wazazi ni busu kavu lisilo husisha ulimi, ni ishara ya mapenzi mazito na heshima kwa yule mtu.

JINSI YA KULITUMIA BUSU HILI. 
Unatakiwa umbusu kwa mdomo wote wawili mkutanishe mdomo ukiwa mkavu mbusu mtu kwa ajili ya kuonesha Umempenda Sana. 

Litumie Kwa Mtu umpendaye kimahusiano na unamheshimu mno.

4.BUSU LA MDOMO NA ULIMI.

Busu hili huusisha ulimi na ulimi baina ya watu wawili hutumika zaidi kwa wanandoa, huitwa deep kiss 

JINSI YA KULITUMIA BUSU HILI

Busu hili mbusu mmeo au mkeo anayekubusu anakuwa anakuambia anaomba Tendo la ndoa mfanye hii huusisha mdomo na ulimi Kati ya hawa watu wawili Hali Ambayo huimbua Hisia za Kimahamba. 

Litumie kwa mweza wako mkiwa faragha wawili

5.BUSU LA SHINGONI. 

Ni busu la kuomba kitu zaidi, yaani anaekupa busu la shingo ni mtu anaekupenda. 
JINSI YA KULITUMIA BUSU HILI

Simama nyuma ya mweza wako mbusu shingoni linakuwa linamanisha mtu anaitaiji Tendo La ndoa anahisia nawewe za  Penzi lako

Litumie kwa mweza wako

6.BUSU LA SIKIO.

Linaweza kuanzia kwenye mdomo, likahamia shingoni hadi sikioni hii pia ni aina ya busu baina ya wanandoa

JINSI Ya KULITUMIA BUSU HILI

Anza kumsongelea mweza wako Anza kumbusu mdomoni taratibu shuka kwenye sikio hamia shingoni hili busu ni kwa Wanandoa tu. 

Litumie Kwa Mweza wako mkiwa wawili Tu 

7.BUSU LA BENGA

Busu hili halina tofauti sana na busu la shingo, ni ishara ya kuhitaji zaidi kutoka kwa meanandoa

JINSI YA KULITUMIA BUSU HILI

Nikama nilivyoelekeza ya sita hili huwa BUSU LA wanandoa kuhitaji Tendo LA ndoa. 


MABUSU Huongea Kwa hiyo mtu anaweza akaongea nawewe kupitia Busu halafu usimwelewe kumbe mwezako anakuambia kitu hasa kwa wanandoa ndani ya ndoa. 

Watu wengi mabusu huchukulia kama Kawainda lakini yanaongea kwa habari ya Upendo wa Juu Sana Hisia Kali Sana. 

Jifunze Kila Mara kuongea na mweza wako kwa mabusu mfundishe ajue. 

Share SOMO hili. 

Limeandaliwa Na Mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Wa Morogoro

Jumapili, 7 Septemba 2025

Link za Magroup WhatsApp

LINK ZA MAGROUP 

1👉Groups Namba 1

Naitwa Pastor Richard Nachukua Nafasi hii kukaribisha katika group la Maombi na Mafundisho 
Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania 
Lipo Morogoro Wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni 
 
       •°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.Kila Ijumaa Kila Mwanagroup Anafunga maombi masaa 12 au 6 Kama Anashida Somo na utaratibu hutolewa na misitari ya kusoma na Jumanne Group nzima ni siku ya Wamama Wanamaombi  Kukesha wakiliombea Kanisa na Watoto wote wa Pastor Richard. 

2.Siku Zingine Zote ni Za Maombi na Mafundisho ya Maombi na Darasa la Wanandoa na Uchumba Post utaona Kila Post ya Maombi unatakiwa Uombe na Ufate ulivyoelekezwa Kuomba hii ni kila mwanagroup lazima Asimame mwenyewe apende kujifunza kufata Post za maombi nakuyaomba hayo maombi hata kama hana Sadaka. Fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara utakuwa vizuri zaidi kuliko kuleft uchukie Maombi.

2024 Kauli mbiu 

Ni Mwaka Wa Kusitawi 
Mwanzo:26;13
Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme

Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft

Bonyeza hapa👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
https://chat.whatsapp.com/FJj9rcj75YTGeP6ZZMYJTy



2👉Groups Namba 2

NAITWA PASTOR RICHARD NI Askofu na mwanzilishi wa makanisa Ya Holy Spirit church Tanzania( Moto wa Yesu)
Nipo Morogoro Wiliya ya Kilosa Kata Ya mbigiri Kijiji cha mateteni (Dumila)

•°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.Kila Ijumaa Kila Mwanagroup Anafunga maombi masaa 12 au 6 Kama Anashida Somo na utaratibu hutolewa na misitari ya kusoma na Jumanne Group nzima ni siku ya Wamama Wanamaombi  Kukesha wakiliombea Kanisa na Watoto wote wa Pastor Richard. 

2.Siku Zingine Zote ni Za Maombi na Mafundisho ya Maombi na Darasa la Wanandoa na Uchumba Post utaona Kila Post ya Maombi unatakiwa Uombe na Ufate ulivyoelekezwa Kuomba hii ni kila mwanagroup lazima Asimame mwenyewe apende kujifunza kufata Post za maombi nakuyaomba hayo maombi hata kama hana Sadaka. Fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara utakuwa vizuri zaidi kuliko kuleft uchukie Maombi.

2024 Kauli mbiu 

Ni Mwaka Wa Kusitawi 
Mwanzo:26;13
Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme

Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft

👇👇👇Bonyeza hapa👇👇

https://chat.whatsapp.com/KGQn5aH8CiwKNuGI8NgFgq




3.👉Group namba 3

Naitwa Pastor Richard Ni Askofu na Muasisi wa Makanisa ya Holy Spirit church Tanzania (Moto wa Yesu)
Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni (Dumila)

Nawakaribisha Group namba 3 Ikiwa Group namba 1 na 2 Yamejaa Sasa Tupo namba 3. Ukiingia Add rafiki zako

•°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.Kila Ijumaa Kila Mwanagroup Anafunga maombi masaa 12 au 6 Kama Anashida Somo na utaratibu hutolewa na misitari ya kusoma na Jumanne Group nzima ni siku ya Wamama Wanamaombi  Kukesha wakiliombea Kanisa na Watoto wote wa Pastor Richard. 

2.Siku Zingine Zote ni Za Maombi na Mafundisho ya Maombi na Darasa la Wanandoa na Uchumba Post utaona Kila Post ya Maombi unatakiwa Uombe na Ufate ulivyoelekezwa Kuomba hii ni kila mwanagroup lazima Asimame mwenyewe apende kujifunza kufata Post za maombi nakuyaomba hayo maombi hata kama hana Sadaka. Fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara utakuwa vizuri zaidi kuliko kuleft uchukie Maombi.

2024 Kauli mbiu 

Ni Mwaka Wa Kusitawi 
Mwanzo:26;13
Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme

Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft


👉🏾👉🏾Watumie Link Uwaunge Watu wengine

 Bonya hapa ninaposota ujiuge👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

https://chat.whatsapp.com/L4PQijdjZqQ2P1sYKYYPqe

Jumamosi, 30 Agosti 2025

SOMO: UPENDO NI NII..?

Upendo ni kitendo cha kuonyesha hisia za tofauti za ndani kwa mtu mwingine, Ni hisia zinazoonyesha pengine umeridhishwa na mtu huyo, au umemkubali, au umemuhurumia, au unataka kumkaribia uwe karibu naye n.k.

Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro

Holy Spirit Church Tanzania

Kibiblia kuna upendo wa aina tatu:

1:UPENDO WA KWANZA NI UPENDO UNAOTOKANA NA HISIA:

Upendo huu unajulikana kama “EROS” Ni upendo unaozaliwa na hisia, Upendo huu ni maarufu sana kwa mke na mume, katika biblia Sulemani alijaribu kuuleza upendo ya namna hii:

Wimbo 1:13 “Mpendwa wangu ni kama mfuko wa manemane Ukilazwa usiku maziwani mwangu.

14 Mpendwa wangu ni kama kishada cha hina, Katika mizabibu huko Engedi.

15 Tazama, u mzuri, mpenzi wangu, U mzuri, macho yako ni kama ya hua.

16 Tazama, u mzuri, mpendwa wangu, Wapendeza, na kitanda chetu ni majani;

17 Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, Na viguzo vyetu ni miberoshi”.

Huu ni Upendo ambao hauwezi kufananishwa na upendo kama wa mtu na ndugu yake au Rafiki yake.

2:AINA YA PILI YA UPENDO NI UPENDO UNAOZALIWA KWA VITU VINAVYOENDANA:

Unajulikana kama “PHILEO”. Upendo huu unazuka kutokana na mahusiano Fulani mtu mmoja alionao na mwenzake, anaweza akawa ni ndugu, au rafiki, au mchezaji mwenzake, au mfanyakazi mwenzake. Ni upendo ambao kusipokuwa na mahusiano Fulani ya karibu au faida Fulani ambayo mtu anaweza kuipata kwa mwenzake, hauwezi kuzaliwa.

Tunapaswa tupendane sisi kwa sisi, biblia inatuambia hivyo katika (1Yohana 2:9-10), vilevile inatuambia tupendane sisi tulio ndugu katika Bwana, lakini upendo wa namna hii haupo tu kwa waaminio bali hata kwa watu waovu pia wanao..Bwana Yesu alisema:

Mathayo 5:46 “Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?

47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo”?

Unaona kwahiyo upendo huu bado hujafikia vile viwango vyenyewe.

3:AINA YA TATU YA UPENDO NI UPENDO USIO NA MASHARTI. UNAOJULIKANA KAMA “AGAPE” (UPENDO WA KI-MUNGU).

Huu ndio upendo Yesu Kristo aliokuwa anauzungumzia, ni upendo unaompenda mtu bila ya sababu yoyote, Ni upendo wa kiwango cha juu sana, unampenda mtu kwa kutokujali kama na yeye anakupenda au hakupendi, kama anakuchukia au hakuchukii, kama anakusema vibaya au hakusemi vibaya, kama anafaida yoyote kwako au hana faida yoyote kwako.

Upendo huu ndio YESU alikuwa nao kwetu, biblia pale inaposema “alitupenda Upeo”(Yohana 13:1),  ilimaanisha kusema hivyo Alitupenda upeo kweli kweli, sio kwasababu tulikuwa ni watakatifu, au kwasababu tulikuwa waovu…au kwasababu alikuwa anatafuta ukubwa kwetu hapana, alitupenda tu, tena ile wa kutoka moyoni hadi kufikia hatua ya kuutoa uhai wake kwa ajili yetu.

Kama ilivyoelezwa katika makala haya, https://www.swisswatch.is/product-category/tag-heuer/grand-carrera/ unaweza kuvinjari chaguo lako la ofa zinazopatikana kwenye simu mahiri na chapa maarufu na uchunguze mipango ya huduma inayokidhi mahitaji yako.

Na upendo wa aina hii ndio Bwana anataka kila mmoja wetu awe nao, Ni ngumu kuufikia, hususani pale tunapoona mtu Fulani anayetuchukia au anatuzungumzia vibaya halafu huyo huyo ndio tunapaswa tumpende, kuna kama ugumu fulani..Lakini Huo ndio Mungu anataka kuuona kwetu haijalishi tutawapenda wake zetu na waume zetu kiasi gani, au ndugu zetu wengi kiasi gani au rafiki zetu wengi kiasi gani kama hatujaweza bado kuufikia huu upendo wa AGAPE, mbele za Mungu bado hatuna upendo..

Hizi ndizo tabia za upendo wa AGAPE.

1Wakorintho 13:4 “Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;

5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;

6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;

7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.

8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika”.

Hivyo ili mimi na wewe tuweze kuufikia Upendo wa namna hii hatupaswi kuungojea kama hizo aina mbili juu, bali tunapaswa tuupalilie kwa kuvumilia, kwa kutokurudisha baya kwa baya, kwa kutokusengenya, kwa kutokuhesabu mabaya ya mtu tu sikuzote, kuwaelewa watu ..n.k.

Tuombe Mungu atusaidie sote tufike hapo, kwasababu hapo ndipo Mungu mwenyewe alipo, na hiyo ndio inayojulikana kama karama iliyo kuu kuliko zote. Ukiwa nayo hiyo wewe ni zaidi ya nabii yoyote, au mwalimu yoyote, au mwinjilisti yoyote, au mtume yoyote duniani. Mungu anakuwa karibu sana na wewe.


       FAIDA 10 ZA UPENDO

1] Ni kwasababu ya Upendo tumeokolewa dhambini.

“Lakini wema wake Mwokozi wetu Mungu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa;” Tito 3 :4

2] Ni kwasababu ya Upendo tumemjua Mungu.

“Wapenzi, na mpendane; kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu. Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.” 1 Yohana 4:7-8


3] Upendo umetusitiri wingi wa dhambi.

“Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.” 1 Petro 4 :8

4] Ni kwasababu ya Upendo tuna ujasiri hata siku ya hukumu.

“Katika hili pendo limekamilishwa kwetu, ili tuwe na ujasiri katika siku ya hukumu; kwa kuwa, kama yeye alivyo, ndivyo tulivyo na sisi ulimwenguni humu.” 1 Yohana 4 :17

5] Upendo hufadhili.

“Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?” 1 Yohana 3 :17

6] Upendo husamehe.

“Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.” Wakolosai 3 :13

7] Kwasababu ya Upemdo tunaweza kuvumiliana.

“Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;… huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.” 1 Wakorintho 13 :4, 7

8] Upendo una nguvu ya kuvuta watu kwa Mungu.

“katika mambo yote ukijionyesha wewe mwenyewe kuwa kielelezo cha matendo mema, na katika mafundisho yako ukionyesha usahihi na ustahivu, na maneno yenye uzima yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.” Tito 2:7-8

9] Upendo hutupilia mbali hofu na woga.

“Katika pendo hamna hofu; lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa maana hofu ina adhabu; na mwenye hofu hakukamilishwa katika pendo.” 1 Yohana 4 :18

10] Upendo ni tunda la kwanza la roho.

“Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,” Wagalatia 5: 22

 


Ubarikiwe Mwana Wa Mungu

Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro

Alhamisi, 21 Agosti 2025

DALILI ZA MTU MWENYE WITO WA KUTUMIKA

SOMO: DALILI 10 ZINAZOKUJULISHA UMEITWA NA MUNGU UKAWE MTUMISHI WA WATU WAKE. 

Rejea Yona:1 Sura yote. Yeremia:1 Sura yote. Kutoka:3 Sura yote. Isaya. 6 Sura yote. 

Watu wengi Leo Wanapitia Matatizo kwa Sababu Waliitwa wakafanye kazi ya MUNGU wakaenda kufanya vitu vingine Sasha kila wafanyacho hakiendi Audi Ameruhusiwa awatese nakuwashinda Sababu Wamekimbia Wito.
Naitwa Askofu Richard Julius Kushoka Nipo Morogoro Makao Makuu ya Makanisa Ya Holy Spirit Church Tanzania. 

1:Kuwa na Visingizio Visivyoisha Kwenye Wito wake. Yaani Unapopewa ratiba ya kufanya huduma kanisani una Sababu kibao kila siku Udhuru.


2:Kufatwa na Watu wengi Wanakuambia Neno lile like La Wito wa Kumtumikia MUNGU. 

3:Kuota Ndoto Unahubiri au upo kanisani Ndoto za kanisani Kanisani tu mara unaombea watu unawafungua watu unawaombea. 

4:Kila Kitu Kinaanza Kufa Chochote Unachofanya Kinakufa yaani unaanza kupitia majanga Yasiyoisha Yaani unajikuta unateseka KWELI KWELI. 

5:Malengo Yako Yanakufa Unakuwa upo unaishi bila malengo Heshima inaondolewa Unakuwa unadharaulika na kuchekwa. 

6:Adui Zako Wanaanza Kukushambulia na Watakushida Yaani zitaimbuka kesi ambazo hukutengemea zitakurudisha nyuma Sana. 

7:Unaanza Kukosa Amani Moyoni Sauti inakuwa inajirudia Nitumikie Nitumikie Mimi. 

8:Watu Wanaanza Kukuita Mchungaji MTUMISHI wa MUNGU Wanakuomba unaombea na ukiwaombea Mambo Yao yanaenda vizuri 

9:Unaanza Kubadilika Tabia Za Kimwili unaanza Kuchukia dhambi unaanza kutamani watu waache dhambi Wamrudie MUNGU. 

10:Unaanza Kujiona Unanguvu Fulani ya kuwasaindia watu lakini hujui unaitumiaje. 


HIZI NI ISHARA KUU 10 ZINAZOKUJULISHA UMEITWA NA UKIENDELEA KUWA NA SHINGO GUMU Utajikuta kila utakapoenda kukaa unasababisha Matatizo nyumba Kukosa Amani Utajikuta hupendwi Na kila MTU kila atakayekusaindia Maisha yake au ndoa yake itaharibika. 

Unaweza Ukawa Unasababisha Matatizo Kwenye kampuni au Kazi Za Watu Kisa Umekataa Wito MUNGU Anakuadhibu. 

TUNAFANYA NINI KAMA HIZI DALILI NINAZO. 

Kwanza Hongera Ukijigudua Hizi Dalili unazo Sauti itaanza kujirudia Kusema na Wewe Juu Ya Somo Hili. 

. Fanya Haya . 
Kanisa LA Holy Spirit Church Tanzania Moto Wa Yesu Tunachuo Cha Thiolonjia Tumejitoa Kuinua Vijana Wa Kike na Wakiume Wenye Wito Wa Kwenda Kumtumikia Mungu. 

Utatakiwa Ufike chuoni ujaze fomu na uanze masomo ya uchungaji na ukimaliza ni Jukumu letu kukupeleka mkoa ulioitiwa Ukafanyie Kazi Ya Mungu Utatumika china Ya Holy Spirit Church Tanzania lakini ukisema unakuja kusoma tu unadhehebu lako litakalokubemba haina shida. 

UTARATIBU WA CHUONI HAPA. 
Ukija hapa Nidhamu na Heshima na utii ndivyo vitakavyokufanya ufunzu Uchungaji. 

Kula Utajigharamia. Kulala Hosteli Bureee Maji Bureee Umeme Bureee Masomo Bureee English Course Bureee Cheti Bureee Kwa Wanaotumika Na Kanisa Hili nje ya Kanisa Hili Chet Utachangia 50000 tu. 

MUDA WA KUKAA DARASANI. 

Kuna ngazi mbili za Masomo
. Wanaokuja kusomea Chet. 
Miezi sita watakaa chuoni

Wanao Somea Diploma
Ni Mwaka Mmoja Ukiwa chuoni na umetulia na Kwa Wanao taka KUWA Wachungaji Wa Holy Spirit Church Tanzania Tuna chukua wanaokuja kukaa Mwaka Mmoja ili kuwasoma na kuwajua vizuri nao kupata elimu kubwa juu ya Utumishi wao. 

JINSI YA KUFIKA CHUONI KWETU. 

Chuo hiki Kipo Morogoro Dakawa High School nyuma ya hii shule ya waschana Dakika 45 Kutoka Morogoro mjini. 

Panda Gari Zinazokuja Morogoro Ukishuka Msamvu Sted chukua Gari Za Kuja Dumila 4000 Waambie Nashukia Veta Dakawa Chukua Pikipiki Waambie naenda Moto Wa Yesu au Kwa Pastor Richard. 

Ukija chuoni hurusiwi Kutoka bila ruhusa ya uongozi Wa chuo. 

MAWASILIANO. 

.Mwenyekiti Bishop Richard 0759861768
Katibu:Pastor Felix:0659498191

Ukiwa Unakuja Tumia hizo Namba Katibu Tukutengeneze UKAWE Pastor aliye Moto moto ukaokoe roho za watu. 

WhatsApp inbox +255710889892 Tunapokea watu nchi zote imladi Uwe na Wito na utayari Wa kutumika. 

Jumanne, 29 Julai 2025

Maneno ya kiswahili na kigerenza

English👉Swahili

Yawn 👉Miayo
Snore 👉Kukoroma
Sneeze👉Chafya
Hiccup👉Kwikwi
Cough👉Kikohozi
Folding 👉Kukuja nguo
Crumple👉Kukuja karatasi
Break👉Kuvunja
Shake👉Kutikisa 
Press👉Bonyeza
Drop👉Shusha
Changer 👉Imekamilika yote
Cable👉yuesibi
Plug👉Kichwa cha chanja

Jumamosi, 26 Julai 2025

NDOTO ZA MAGARI

NDOTO ZA KUOTA MAGARI. 

Zekaria 6:1
Nikainua macho yangu tena, nikaona, na tazama, yanatokea magari ya vita manne, yanatoka kati ya milima miwili, na milima hiyo ilikuwa ni milima ya shaba.

Auburn:33:14-15.
NDOTO ni Taarifa Ya Jambo linalokuja au liliopo au lilishapita
Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro
Kanisa LA Holy Spirit church Tanzania

NDOTO za Kuota MAGARI humani Mambo yafatayo Kwenye Ulimwengu wa roho.

1:Gari au Usafiri humanisha Baraka za kimwili na rohoni. 

2:Humanisha Huduma au Kazi Mtu Anayokuwa Anaifanya. 


NDOTO NA TAFSIRI SAKE. 

1:Ukiota upo sted gari limekuacha👉 Unajulishwa Maendeleo uliyonayo yatacheleweshwa kiroho na kimwili. 
Omba kukataa Kucheleweshwa

2:Ukiota Unaendesha gari👉Unajulishwa Huduma au Kazi Yako itaenda Vizuri mno.
Omba bariki NDOTO hii
3:Ukiota Umeharibikiwa Gari👉Unajulishwa Kazi Yako inaenda kuingia shida ya kuyumba. 
Omba Kukataa ndoto hii. Nakataa kuhabika kwa Kazi kwa Jina LA Yesu. Ameen

4:Ukiota Upo Kwenye rami MAGARI yanakuja mengi uliposimama👉Unajulishwa Kuna Baraka Zitafuguka kwako. 
Ombea Hii NDOTO Kusema Mungu Timiza ndoto hii. 

5:Ukiota Unaendesha Gari Kwenye Milima👉Unajulishwa Maendeleo ya Kazi Yako itapita Kwenye misukosuko. 
Omba Kukataa ndoto hii. 

6:Ukiota Gari limepaki sted nawewe umekaa Kwenye Gari haliendi👉Unajulishwa Huduma au Kazi Zako Zitasimama hazitaendelea Vizuri Kama Mwanzo. 
Omba hii taarifa kataa.

7:Ukiota Unajifunza Kuendesha Gari👉Unajulishwa Unapaswa ujifunze kufanya huduma uliyonayo. 
Tafuta wachungaji wakusaindie kukuombea. 

8:Ukiota Upo Kwenye Gari LA Rais👉Unajulishwa Unaenda Kufanya Kazi na Viongozi wakubwa. 
Ibariki ndoto hii ukiota Mwambie Bwana iwe kweli. . 

9:Ukiota Gari Kubwa👉Unajulishwa Una huduma  Kubwa Sana ndani Yako. 

10:Ukiota Gari ndogo👉Unajulishwa huduma ndogo uliyonayo

Unatakiwa ichochee nakuiombea

11:Ukiota Magari ya Vita Yanakuja uliposimama 👉Unajulishwa unaenda Kushida Vita Yako ya maendeleo uliyonayo. 

Ombea utimilifu wa ndoto hii. 

12:Ukiota Ndoto Magari au Gari La Police linakuja kwako upande uliposimama👉 Unajulishwa Malaika Wa Ulizi Wa Kazi Yako au Huduma Yako. 

Ombea Utimilifu hii ndoto iwe. 

13:Ukiota Gari Mbovu Unaendesha👉Unajulishwa roho ya uharibifu Wa Kazi Zako imo ndani Yako ulishavishwa. 

14:Ukiota Unaendesha Gari barabara nzuri👉Unajulishwa Kazi Yako au huduma itasitawi. 


15;Ukiota Unaendesha Gari Umepakia Mtu👉Unajulishwa Kazi Yako unatakiwa uwasaindie na wegine. 

16:Ukiota Unajifunza Gari Kuendesha👉Unajulishwa Jifunze Kufanya Vizuri hiyo Kazi unayoifanya. 

Ombea Sana hii ndoto

17:Ukiota Gari limekuzimikia mafuta ya Yamekuishia👉Unajulishwa Kazi au Huduma Yako itaishia njiani haitafika kule unataka ifike. 

18:Ukiota Gari Lina ragi Jeusi Gari la bei Kubwa👉Unajulishwa Utafanya Kazi Kubwa na yenye kipato kiKubwa. 

Ombea Sana hii ndoto itimie. 

19:Ukiota Gari la Kijeshi👉Unajulishwa Unahuduma Kubwa ya Ukombozi. 
Hata Gari la Hospital huwa maana moja.
Ombea huduma Yako. 


20:Ukiota gari la Abiria Unaendesha mfano Basi au Kosta nk👉Unajulishwa huduma Yako au Kazi Yako itawasaindia Wengi Sana. 


Nitumie Inbox Kwenye WhatsApp Ndoto ya MAGARI +255710889892