1๐Groups Namba 1
Naitwa Pastor Richard Nachukua Nafasi hii kukaribisha katika group la Maombi na Mafundisho
Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania
Lipo Morogoro Wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni
•°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.Kila Ijumaa Kila Mwanagroup Anafunga maombi masaa 12 au 6 Kama Anashida Somo na utaratibu hutolewa na misitari ya kusoma na Jumanne Group nzima ni siku ya Wamama Wanamaombi Kukesha wakiliombea Kanisa na Watoto wote wa Pastor Richard.
2.Siku Zingine Zote ni Za Maombi na Mafundisho ya Maombi na Darasa la Wanandoa na Uchumba Post utaona Kila Post ya Maombi unatakiwa Uombe na Ufate ulivyoelekezwa Kuomba hii ni kila mwanagroup lazima Asimame mwenyewe apende kujifunza kufata Post za maombi nakuyaomba hayo maombi hata kama hana Sadaka. Fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara utakuwa vizuri zaidi kuliko kuleft uchukie Maombi.
2024 Kauli mbiu
Ni Mwaka Wa Kusitawi
Mwanzo:26;13
Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme
Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft
Bonyeza hapa๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
https://chat.whatsapp.com/FJj9rcj75YTGeP6ZZMYJTy
2๐Groups Namba 2
NAITWA PASTOR RICHARD NI Askofu na mwanzilishi wa makanisa Ya Holy Spirit church Tanzania( Moto wa Yesu)
Nipo Morogoro Wiliya ya Kilosa Kata Ya mbigiri Kijiji cha mateteni (Dumila)
•°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.Kila Ijumaa Kila Mwanagroup Anafunga maombi masaa 12 au 6 Kama Anashida Somo na utaratibu hutolewa na misitari ya kusoma na Jumanne Group nzima ni siku ya Wamama Wanamaombi Kukesha wakiliombea Kanisa na Watoto wote wa Pastor Richard.
2.Siku Zingine Zote ni Za Maombi na Mafundisho ya Maombi na Darasa la Wanandoa na Uchumba Post utaona Kila Post ya Maombi unatakiwa Uombe na Ufate ulivyoelekezwa Kuomba hii ni kila mwanagroup lazima Asimame mwenyewe apende kujifunza kufata Post za maombi nakuyaomba hayo maombi hata kama hana Sadaka. Fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara utakuwa vizuri zaidi kuliko kuleft uchukie Maombi.
2024 Kauli mbiu
Ni Mwaka Wa Kusitawi
Mwanzo:26;13
Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme
Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft
๐๐๐Bonyeza hapa๐๐
https://chat.whatsapp.com/KGQn5aH8CiwKNuGI8NgFgq
3.๐Group namba 3
Naitwa Pastor Richard Ni Askofu na Muasisi wa Makanisa ya Holy Spirit church Tanzania (Moto wa Yesu)
Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni (Dumila)
Nawakaribisha Group namba 3 Ikiwa Group namba 1 na 2 Yamejaa Sasa Tupo namba 3. Ukiingia Add rafiki zako
•°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.Kila Ijumaa Kila Mwanagroup Anafunga maombi masaa 12 au 6 Kama Anashida Somo na utaratibu hutolewa na misitari ya kusoma na Jumanne Group nzima ni siku ya Wamama Wanamaombi Kukesha wakiliombea Kanisa na Watoto wote wa Pastor Richard.
2.Siku Zingine Zote ni Za Maombi na Mafundisho ya Maombi na Darasa la Wanandoa na Uchumba Post utaona Kila Post ya Maombi unatakiwa Uombe na Ufate ulivyoelekezwa Kuomba hii ni kila mwanagroup lazima Asimame mwenyewe apende kujifunza kufata Post za maombi nakuyaomba hayo maombi hata kama hana Sadaka. Fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara utakuwa vizuri zaidi kuliko kuleft uchukie Maombi.
2024 Kauli mbiu
Ni Mwaka Wa Kusitawi
Mwanzo:26;13
Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme
Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft
๐๐พ๐๐พWatumie Link Uwaunge Watu wengine
Bonya hapa ninaposota ujiuge๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
https://chat.whatsapp.com/L4PQijdjZqQ2P1sYKYYPqe
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni