Jumanne, 3 Machi 2026

SOMO:MAISHA YA NDOA YA KIKRISTO

DARASA LA NDOA

​SOMO: MAISHA YA NDOA YA KIKRISTO

​Sifa Muhimu za Ndoa Imara ya Kikristo:


1:​Kujitengemea: "Mwanamume atamwacha babaye na mamaye..." - Mwanzo 2:24

2:​Upendo wa Kweli: "Waume, wapendeni wake zenu..." - Waefeso 5:25


3:​Kufurahi Pamoja: "Furahi pamoja na mke wa ujana wako." - Mithali 5:18

4:​Kuvumiliana: "Mkichukuliana katika upendo..." - Waefeso 4:2-3


5:Umoja Usiovunjika: "Alichokiunga Mungu, mwanadamu asikitenganishe." - Marko 10:9


​6;Kujitolea Kamili: "Nitie kama muhuri juu ya moyo wako..." - Wimbo 8:6-7


7;;​Kuheshimu Agano: "Ndoa na iheshimiwe na watu wote..." - Waebrania 13:4


8;;​Ushirikiano: "Njia ya mwanamume pamoja na msichana." - Mithali 30:18-19


9:​Tabia Njema: "Mke mwema...thamani yake yapita kima cha marijani." - Mithali 31:10


10;​Kusaidiana: "Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja..." - Mhubiri 4:9-11


11;​Kutokuwa na Ubinafsi: "Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja." - Mathayo 19:6


12;​Busara: "Vivyo hivyo, ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili..." - 1 Petro 3:7


13;​Kudumu Katika Ndoa: "Maana mimi nachukia kuachana..." - Malaki 2:16


14;​Uaminifu: "Popote utakakokwenda nitakwenda..." - Ruthu 1:16-17


15:​Upendo Usio na Masharti: "Amri mpya nawapa, Mpendane..." - Yohana 13:34


16:​Kutunza Agano: "Nawe ulimtenda mkeo kwa hila..." - Malaki 2:14-15


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni