SOMO🔥 SALA YA KURUDISHA KILICHO CHAKO 🔥
Mlengwa: Hii ni kwa ajili ya kila mmoja ambaye anahisi maisha yake yameibiwa (kwa namna ya kiroho, kiuchumi, au kimaendeleo).
📖 NAMNA YA KUOMBA
Tamka maneno haya kwa imani:
"Bwana, nayarudisha maisha yangu, pesa zangu, malengo yangu, mipango yangu, na hatua zangu sawasawa na neno lako."
MSTARI WA IMANI:
📌 Yoeli 2:25-26
(Usome na kuukiri kwa sauti mara tatu (3))
Yoeli 2:25-26
25:Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu.
26:Nanyi mtakula chakula tele na kushiba, na kulihimidi jina la Bwana, Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya ajabu; na watu wangu hawatatahayari kamwe.
🎁 SADAKA YA KUUNGANISHWA
Maombi haya yaambatane na Sadaka yoyote kama ishara ya imani na uaminifu mbele za Mungu.
Namba Za Kutoa Sadaka
M-PESA +255759861768
Airtel Money+255780508066
HaloPesa +255628355985
CRDB BANK: 0152361572400
Jina : Richard Julius Kushoka
📞 WASILIANA NASI
Ili kuuliza swali au kupata mwongozo zaidi, tumia njia zifuatazo:
- WhatsApp: +255 710 889 892
- Facebook: [Bishop Richard Tz]
- Instagram: [@Moto_Wa_Yesu]
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni