Jumamosi, 14 Juni 2025

SOMO;MALAIKA MKUU RANGUEL

SOMO:MALAIKA MKUU RAGUELI.

Karibuni Tena Mwendelezo Wa Somo letu hili la MALAIKA SABA WASIMAMAO MBELE ZA MUNGU. Ufunuo;8;2-4.

Admin; Bishop Richard Tz
Group la Maombi na Mafundisho
WhatsApp +255710889892
Join ujipatie masomo mbalimbali 

Tumetoka kujifunza Malaika wanne  
URIELI MALAIKA WA WOKOVU NA UJUZI

 RAPHAEL MALAIKA WA AFYA NA UPONYAJI

 METATRONI MALAIKA WA WATOTO 

NA MIKAEL MALAIKA WA ULINZI NA USALAMA(Hushughulika na Vita vita)

LEO TUNAENDELEA......
Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro 
Ninakuletea Somo hili  litakusaindia kujua namna ya kuwatumia Malaika Hawa.


LEO TUNAENDA KUMUONA MALAIKA WA TANO ASIMAMAE MBELE ZA BWANA.

MALAIKA MKUU RAGUEL Ndiyo Jina lake huyu ni Malaika Mkuu Wa MOTO.

Huyu Malaika Amefanya kazi na Musa 
Kutoka:3:3-5 Alitokea kwa umbo la kijiti

Huyu Amefanya kazi na Elia ukisoma 1wafalme 18: Alishuka akalamba Sadaka na maji

Ufunuo 20:9 Anaoneshwa hapa akishuka kuwateketeza waovu.

Huyu alifanya kazi na Sulemani Ndani ya hekalu la Sulemani Rejea 2Nyakati;7:1

Ndiye huyu alimtenganisha Eliya na Elisha alionekana kama Gari la Moto Rejea 2WAFALME:2:10-13

KAZI ZAKE HUYU MALAIKA RAGUEL.

1;Husimamia na Kuteketeza Waovu kwa Moto.

2;Humdhihirisha Mungu kwa umbo la Moto mfano shadrack na Abnego kwenye Tanuru huyu Malaika alikuwa nao.

3;Hutokea Kwa umbo la Moto kwa muonekano mbalimbali kuligana na Vita ilivyo.

4:Husimamia watu wanaotupwa kwenye ziwa la Moto huyu Malaika huwachukua kuwatupa kule kila hukumu ikisomwa.

5:Huagamiza Miungu Huharibu Madhabahu za Shetani kwa Kuzichoma moto.

6:Yeye ni Malaika Anayeshambulia na kutetea watoto wa Mungu walio katika kipindi cha kuteswa na falme za ngiza.


NAMNA YA KUMTUMIA MALAIKA MKUU RAGUEL.

1:Naangiza Malaika Mkuu Raguel Ashuke Ashuke Akaharibu Kila madhabahu za nyumbani kwetu Ashuke na Moto wake Akaunguze Akachome Akachome katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4


2;Moto Moto Ushuke Kutoka Mbiguni Uwateketeze Kila watesi wangu kila wanaozuia maisha yangu yasibadilike Moto moto wa Malaika Mkuu Raguel ashushe Ashushe Uokoe katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia× 4


3:Nilipo hapa hapa Nataka Leo Nimuone Raguel Malaika Mkuu Wa Moto Anashusha Moto Anaharibu Ufalme wa shetani na Wachawi wote wa mtaa huu Raguel Shuka Uwapinge Uwapinge Kwa Moto moto moto katka Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×5

4:Majeshi ya kikosi cha Moto wakiongozwa na Malaika mkuu Raguel Washuke waje wazunguke zunguke kwenye nyumba yangu katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×7


HITIMISHO 

Tunapaswa kuwajua Malaika na Tuwatumie katika Vita vyetu waje watusaindie Tumia Malaika.

Nikuombe Share masomo haya yaliyokuja na nguvu ya kufungua watu kupitia Malaika wakuu wasimamao mbele za Bwana.


Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro 
Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania 
Makao Makuu Morogoro 


Jumamosi, 7 Juni 2025

MALAIKA MKUU MIKAELI

    SOMO; MALAIKA MKUU MIKAELI.


KIUMBE wa roho anayeitwa Mikaeli hatajwi mara nyingi katika Biblia. Hata hivyo, kila mara anatajwa akitenda jambo fulani. Katika kitabu cha Danieli, Mikaeli anapigana na malaika waovu; katika barua ya Yuda, anabishana na Shetani; na katika Ufunuo, anapigana na Ibilisi na malaika wake waovu. Anapoutetea utawala wa Yehova na kupigana na adui za Mungu, Mikaeli anatenda kupatana na maana ya jina lake—“Ni Nani Aliye Kama Mungu?” Lakini Mikaeli ni nani?

Nyakati nyingine, watu huitwa majina mbalimbali. Kwa mfano, mzee wa ukoo Yakobo aliitwa pia Israeli, na mtume Petro aliitwa Simoni. (Mwanzo 49:1, 2; Mathayo 10:2) Vivyo hivyo, Biblia inaonyesha kwamba Mikaeli ni jina lingine la Yesu Kristo, kabla na baada ya maisha yake duniani. Hebu tuone sababu za Kimaandiko zinazotufanya tukate kauli hiyo.

Malaika Mkuu. Neno la Mungu linamwita Mikaeli “yule malaika mkuu.” (Yuda 9) Ona kwamba Mikaeli anaitwa yule malaika mkuu. Hilo linaonyesha kwamba kuna malaika mmoja tu aliye mkuu. Isitoshe katika Biblia, jina “malaika mkuu” linatumiwa katika hali ya umoja tu, wala si kwa wingi. Zaidi ya hayo, Yesu anahusianishwa na wadhifa wa malaika mkuu. Kuhusu Bwana Yesu Kristo aliyefufuliwa, andiko la 1 Wathesalonike 4:16 linasema: “Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu.” Kwa hiyo sauti ya Yesu inafafanuliwa kuwa sauti ya malaika mkuu. Basi, andiko hilo linadokeza kwamba Yesu mwenyewe ndiye Mikaeli yule malaika mkuu.

Kiongozi wa Jeshi. Biblia inasema kwamba ‘Mikaeli na malaika zake walipigana na yule joka mkubwa na malaika zake.’ (Ufunuo 12:7) Kwa hiyo, Mikaeli ni Kiongozi wa jeshi la malaika waaminifu. Pia kitabu cha Ufunuo kinamtaja Yesu akiwa Kiongozi wa jeshi la malaika waaminifu. (Ufunuo 19:14-16) Naye mtume Paulo anamtaja kihususa “Bwana Yesu” na “malaika zake wenye nguvu.” (2 Wathesalonike 1:7) Kwa hiyo, Biblia inataja Mikaeli na “malaika zake” na Yesu na “malaika zake.” (Mathayo 13:41; 16:27; 24:31; 1 Petro 3:22) Kwa kuwa Neno la Mungu halionyeshi popote kwamba kuna majeshi mawili ya malaika waaminifu mbinguni—moja likiongozwa na Mikaeli na lingine likiongozwa na Yesu—ni wazi kwamba Mikaeli si mwingine ila ni Yesu Kristo akiwa katika wadhifa wake mbinguni. *

MASWALI NA MAJIBU YA BIBLIA

Shetani Alitoka Wapi..?

Swali: Je shetani yule audanganyaye ulimwengu alitoka wapi?


Jibu: shetani kwa asili aliumbwa na Mungu, na kabla ya kuwa shetani alikuwa akiitwa “Kerubi afunikaye”

Ezekieli 28:14 ” Wewe ulikuwa KERUBI MWENYE KUTIWA MAFUTA AFUNIKAYE; nami nalikuweka hata ukawa juu ya mlima mtakatifu wa Mungu, umetembea huko na huko kati ya mawe ya moto”.

Na MUNGU alimwumba akiwa mkamilifu (asiye na dosari) kama tu MAKERUBI wengine, lakini baadaye moyo wake uliinuka akajidanganya mwenyewe kuwa anaweza kuwa kama MUNGU (aabudiwe kama MUNGU) Na ndipo Uovu huo ukaonekana ndani yake, na hakutaka kubadilika.

Ezekieli 28:15 “Ulikuwa mkamilifu katika njia zako tangu siku ile ulipoumbwa, hata uovu ulipoonekana ndani yako”

Na baadaye alipoasi ndipo akawa shetani, na maana ya shetani ni Mshitaki/Mchongezi, maana yake anawashitaki wanadamu mbele za MUNGU mchana na usiku.

Ufunuo 12:9 “Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.

10  Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana AMETUPWA CHINI MSHITAKI WA NDUGU ZETU, YEYE AWASHITAKIYE MBELE ZA MUNGU WETU, MCHANA NA USIKU”.



Swali la 2


SWALI LA PILI

. Tukio la Yesu kupaa kwenda mbinguni lilitukia eneo gani?. N.b weka andiko ku sapoti jibu lako


JIBU:    Mlima wa mzeituni. Matendo ya Mitume 1:12 [12]Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.


Mlima wa mizeituni..ambayo inapatika kati eneo la Bethania


Luka 24:50-51 [50]Akawaongoza *mpaka Bethania*, akainua mikono yake akawabariki. [51]Ikawa katika kuwabariki, *alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni*



Swali la 3

Swali: Tunasoma Simeoni alipomwona mtoto YESU, Alikiri kuuona Wokovu wa MUNGU, sasa swali ni Wokovu gani huo alioupata?


Jibu: Tuanzie ule mstari wa 25 ili tuweze kuelewa vyema…

Luka 2:25 “Na tazama, pale Yerusalemu palikuwa na mtu, jina lake Simeoni, naye ni mtu mwenye haki, mcha Mungu, akiitarajia faraja ya Israeli; na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.

26  Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana.

27  Basi akaja hekaluni ameongozwa na Roho; na wale wazazi walipomleta mtoto Yesu ndani, ili wamfanyie kama ilivyokuwa desturi ya sheria,

28  yeye mwenyewe alimpokea mikononi mwake, akamshukuru Mungu, akisema,

29  Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako, Kwa amani, kama ulivyosema;

30  KWA KUWA MACHO YANGU YAMEUONA WOKOVU WAKO,

31  Uliouweka tayari machoni pa watu wote;

32  Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako Israeli”

Sasa hapo hajasema AMEUPATA WOKOVU..La! bali anasema “MACHO YANGU YAMEUONA WOKOVU”.. kuuona wokovu na kuupata wokovu ni vitu viwili tofauti…

Wokovu wa Mungu unapatikana kupitia mmoja tu, naye ni YESU KRISTO (Matendo 4:12),..Baada ya YESU kusulibiwa ndipo watu wakaanza kuupata wokovu, lakini kabla ya hapo waliusikia na kuuona tu,…waliousikia ni manabii wa kale na watu wote wa agano la kale, na waliouona ni watu waliokuwepo kipindi BWANA YESU anazaliwa, na walioupata ni wote waliomwamini baada ya kufufuka kw

Je Kuna Haja gani Ya Kuamini Biblia Iliyoandikwa Na Watu?

Je kuna haja gani ya kuamini biblia iliyoandikwa na watu?

Swali: Biblia imeandikwa na watu, (kama Paulo, Petro, Musa, Daudi na wengineo) je tutaamini vipi kitu kilichoandikwa na wanadamu kuwa ni kweli,? vipi kama wametoa tu kwenye akili zao, kwanini tukiamini kitabu cha namna hiyo, chenye mikono ya wanadamu?

Jibu: Kabla ya kujibu swali hili, tusome kwanza maandiko yafuatayo…

Yohana 14:11 “Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, SADIKINI KWA SABABU YA KAZI ZENYEWE”

Hapa Bwana YESU anatoa njia za sisi kumwamini yeye, kwamba kama hatutamwamini kwa yeye kutuambia kwa mdomo wake mwenyewe, basi tumwamini kupitia zile kazi anazozifanya ambazo ni ishara na miujiza.

Hiyo hakika ni hekima kuu sana!… kwamba kama sisi ni kazi sana kumwamini yeye kwa maneno ya kinywa chake, basi tuzipime zile kazi anazozifanya ikiwa ni halisi na za kweli, basi tumwamini kwahizo pasipo hata maneno yake.

Vile vile na hata kuhusiana na waandishi wa Biblia, kama hatuwaamini kuwa wameandika mambo waliyovuviwa na MUNGU, basi kupitia matokeo ya kazi hizo, (jinsi yanavyobadilisha watu wengi leo, na kuponya watu wengi) basi tuamin


Ijumaa, 16 Mei 2025

SOMO; MALAIKA MKUU URIELI.

     SOMO: MALAIKA MKUU URIELI.

Karibuni Katika Elimu hii Mfahamu huyu Malaika Na Ujue Majukumu yake ili leo umtumie kwenye Maombi yako. SOMO HILI LINALETWA NA PASTOR RICHARD 

     URIELI ni malaika mkuu mwenye hekima nyingi ambaye aliwapa watu ujuzi wa alkemikali . Anaitwa Malaika Mkuu wa Wokovu katika vitabu vya Kiyahudi-Kikristo. Mtu anaweza kupata utambuzi wa kiakili, masuluhisho ya vitendo na uwezo wa ubunifu kwa kuongea naye kwa njia ya maombi.

    MALAIKA URIELI:NI Malaika Wa ngazi ya Juu kama kina Gabriel Michael nk

Kitabu;Waebrania 1:6-14 Ufunuo;7;11 Mathร yo:25:31

MALAIKA URIELI ni Malaika Mkuu wa Ujuzi yaani Vipawa na Karama na Wokovu

KAZI ZAKE HUYU MALAIKA:

1;Kuwaleta Watu Kwenye Wokovu.
Huwafungua ufahamu watu nakusema nao Kuwaweka wazi Wanayoyafanya ni chukizo kwa Mungu huacha na kutubu.

2:Kuweka Hekima na Ukweli ndani ya Watu.
Ndiyo maana unaweza kukuta mtu mkweli kila kitu kipo kinachomsimamia awe hivyo mkweli huyu ni Urieli. Ukiwa muongo muongo ipo roho inakufanya uwe muongo.


3:Malaika Wa Moto Huweka Kiu au Shauku yaani Moto wa kutumika ndani yetu na humsukuma mtu aingie kwa Mungu amtumikie katika karama aliyonayo.

Kama hutakuwa nakiu huwezi kufanya kazi yake Mungu

.4:Malaika Wa Karama Mbalimbali.
Huyu Malaika huvisimamia vipawa ndani ya mtu vifanye Kazi unaweza ukawa na kipawa pasipo Malaika huyu kipawa chako hufa.

5;Hushughulikia Watu Wanaochanganyikiwa Akili au Kuvurungwa Akili kuzituliza Akili zao Wasichukue maamuzi mabaya mfano.Kujiua au kufanya maamuzi yatakayowafanya wajute.


6;Huweka Mwanga Kwa Waliongizani.
Kazi ya huyu Malaika huwatoa watu walio ngizani Waliofungwa kiufahamu au kifikira yeye huzifungua fikira zao nakujua wanapokosana na Mungu.

7;Huyu ndiye alishuka kwa kipindi cha Elisha wakaona Jeshi kubwa Malaika lilikuwa kundi la Malaika URIELI..


JINSI YA KUMTUMIA.
.
Muite aje katika kipindi ukiwa unavurungwa na kuchanganywa na Vitu mfano upo unayumbayumba huna utulivu mara akili inavurungwa upo kipindi kisichoelezeka huyu Malaika Anadili na Mfumo mzima wa ufahamu wako akiingia ataweka vitu Sawa.


OMBA HIVI.

Anza na Kuimba Tenzi au Kuabudu.
Hakikisha umekaa uweponi.

ANZA KUMWAMBIA.

Malaika mkuu URIELI Nakuita uje utilize akili yangu moyo wangu bado sioni mbele yangu nakabiliwa na mambo mengi mpaka yananichanganya akili yangu katika Jina la Yesu.Amen ×4


Malaika Wa Moto URIELI Shuka uteketeze taka zote zilizokamata Ndani yangu shambulia kwa Jina la Yesu.Amen ×4


Malaika URIELI Malaika wa Vipawa Inua vipawa ndani yangu inua huduma ndani yangu katika Jana la Yesu.Amen ×4


Mtumรฌe huyu Malaika AJE ASHUGHULIKIE ufahamu Akili yako iliposhindwa.


Share Somo hili Nzuri.

Alhamisi, 3 Aprili 2025

SOMO MITENGO MITATU MIKUBWA

SOMO; MITENGO MATATU MIKUBWA SHETANI ANAYOTUMIA KUTESA WATEULE WA BWANA:

Hili Somo naletewa nikufundishe ujifunze kitu wakati  mwingine ili uwe  mshindi wa maisha yako jitaidi  kumjua adui yako mbinu mbalimbali anazozitumia kukushambulia wakati upo na Yesu. Itakusaindia hii.

1:MITENGO MKUBWA SHETANI HUTUMIA MANENO UJITAMKIE UDHAIFU au UTAMKIWE UDHAIFU. HESABU;30

Mfano: Hivi mawasiliano yako na mpenzi wako yanaendaje..? HUU NI MTENGO WEWE pasipo kujua unasema.

Mawasiliano saivi ananitafuta mara moja moja kikweli haya mahusiano siyaelewi.

Adui Anakunasa MAHUSIANO SIYAELEWI Hakika hutakuja kuyaelewa .

Mfano: Unatoaga zaka ?
Yaani Mwezi huu sikutoa na madeni na mama mgonjwa 

Adui anakamatia hapohapo kuongeza shida ili usitoe.

IPO HIVI KILA  MANENO UKIONGEA MABAYA  YANA Roho nyuma yake hufanya iwe hivyo ukijinasua kwenye mtengo huu ujue unielewe kweli.

2:MITENGO WA PILI NIKUZIMA MOYO WA UTOAJI WA ZAKA AU KUTOA KWA KUDANGANYA KIASI SAHIHI. 
Malaki:3:8-11 Matendo 5.

Shetani anajua wapi akikushikia huwezi kuona matokeo kama atakuacha uwe mwaminifu wa zaka atakamata kinywa chako kiwe kinajifunga nakujinenea matatizo.

Shetani anajua Mungu hupenda watu wanaomheshimu kwa zaka na Mali zao zinapeleka injili mbele ya Bwana Yesu.

NINI HUKiFANYA.

1:Kuhakikisha Anakupa mawazo unatoa zaka kwa ajili ya jambo fulani Bwana atende siyo unatoa kama sheria na upendo kwa Mungu wako.


2:Kuweka Uvivu na Upuuziaji usitowe zaka.

3:Kuleta matatizo upatapo hela ya Kutoa zaka matatizo ndiyo yanatokea kumbe linaitaji limiriki ufahamu wako na moyo wako.

4:Utaongiwa roho ya wizi wa zaka hata kama ulikuwaga mwaminifu wa zaka.
Lengo Afirisi biashara aharibu kazi yako watoto familia mke au mme nk

Uonapo haya ujuwe umeshakamatwa na shetani.

Hakikisha unainga mfano wa Matendo:10



3:MTENGO WA MWISHO KUUA KIU YA KUOMBA UTARUDI NYUMA KIMAOMBI

Wapo Watu walikuwa fire ๐Ÿ”ฅ fire katika maombi lakini saivi wamepoa kumbe katika roho wamekamatwa wanatumikishwa adui ili aviharibu vitu vyao.


TUFANYE NINI SASA SISI

Kama Mtoto Wa Mungu chochea Maombi usikubali kuimba Fungu la Kumi  Pia Usijitamkie matatizo jitabirie mazuri usijinenee uchawi kuwa umelongwa usiseme mapepo yamezuia nisiowe au kuolewa kinywani mwako toa panda mbengu njema kwa kutamka mazuri.

Kwa kufanya hivi utajinasua kwenye mitengo ya shetani mingi Lakini yaitaji umakini mno na unaweza kuniuliza inbox kama unaswali.

Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro 
Kanisa la Holy Spirit church Tanzania 

Jumamosi, 29 Machi 2025

UCHUMBA MASWALI NA MAJIBU

UCHUMBA MASWALI NA MAJIBU 

=======:::::::::=====+++++++====
1:Baba shalom Naitwa Farinda,,, samahani naomba kuuliza ivi nikitaka kufanya maombi nijue mtu sahihi wa kuolewa naye inabidi nifanyaje?

MAJIBU YAKE

Kwanza Futa Akilini Mwako Usiwe na mtu.
Omba mwambie Mungu Naomba umlete mume wangu umri wangu wa kuolewa/Kuowa umefika popote alipo namcharaza fimbo fimbo Aje haraka wiki hili Nionane naye Awe Amenyoka awe Na hofu ya Mungu kama mimi ninavyokupenda Katika Jina la Yesu.Amen 
Simamia Mithali;31:10


2;UCHUMBA MASWALI NA MAJIBU.
==========:::::::::::=======
Bwana Yesu Asifiwe Naitwa Tute Baba Yangu Pole kwakweli mabint unatusaindia mno..
Baba kwe hili swala LA kuomba MTU sahh kwakwel nichangamoto mno   mm wakat fulan nilikutana nakijan flan ambae nimtumishi wa Mungu  hyu kijan  Kna wakat alikuw anatembelea  nyumba hadi nyumba kjua washirik wake cku hyo alinikta nyumbn  wengne walikuw hawapo  wakat pale wanauliza mambo yakuombea nilitaka baadh bt aliniuliza una mchumb elim yako  nakadhalik ukwel nilijiuliza kwann ananiuliza maswal hayo  na hata nilipokuw nakutana naye alikuw ananichangamkia xna na ata wakat mwengne akiniona ananiangalia xna    nikimuangalia anakuw anaangalia then anaangalia pemben  lakn cku ambayo piah nilishangaa  ni cku ambayo tulikuw na ckukuu yavibanda(makambi) Ka ilivyo kwa kila mwaka wasabato yy alikuw anatufundisha somo la uchumba  kwa vijan nilivyokja nilikuw nimechelewa nikakta wapo kwe Yale maombi ya minyoror ingawa bado walikuw hawajaanza kuomba alivyonionat  alini niita yan ww ndo una kja njo hapa  nikaenda  akawa amemuachia MTU mkono nikaingia pale akanishik mkono   hudum ikaendelea  lakn wakat huo wakaw wa nakja wengne akawa anawaambia ingien kwe  mraba   namengne mengi ukwel  nimchungaj ambae niliamin  huenda ndiye mungu alieniandalia ingawa hajanitongoza bado tpo Ka marafiki mana cku zilivyoenda alihamishwa nakupangwa mtaa mwengne  cz pale nikam alikuw filid cz ndo alikuw amehitim chuo ?

swali baba ang iv nnavyoomba kwa ajil ya MTU hyu nakosea ?

 Maan mm naona Ka Kuna vikwanzo flan  shetani anavizuia  Coz ata mwaka Jana alikuja huku moshi kulikuw na maazimisho ya miak hamsin ya dini  na huku  sa walikuja wachungaj mbalimbali nayeye alikuwepo   yan nilishangaa yupo nyum yang wakat anasalimia watu wengne anaojuana nao mm alikuw  ananipga macho  But Kama mchungaj halafu kijana  inakuwa nichangamoto  eti kaja na kunisalimia halafu mbele zawatu wengi alikuja akasimama akaniangalia then akaondoka nihistoria ndefu BUT  ukwel Mungu angeruhusu  hili litokee  nafurahishwa Sana jinsi anavyotumika shambani mwa Bwana.

MAJIBU YA SWALI HILI.
Ansate Sana Kwa Swali Nzuri Na Mabint Wengi Wamekuwa Natabia hii wakimuona kijana au mtu anawaonesha Upendo anawachangamkia au Kuwasalimia kwa bashasha Akili zao na mioyo yao inaanza kuvutiwa taratibu Mwisho Wa Siku Wanaingia Maombi Kumuomba Mungu Awape Mume Lakini Akili zao Zinamtaka yule wa kanisani kwa kuwa humchangamkia nakumsaindia Akija Kuomba ataomba Akiwa Anatengemea Atakuja Kumtongoza ndiyo akutane na Mchungaji Asiye elewa Protoko za Mungu kukupa mume atakuambia huyo ni mumeo kumbe siyo ukimpata wa hivyo huyo unakuwa umejipa kwa Akili Zako.

MADHARA YAKE.
1;Mtazini kabla ya kusudi la ndoa kutimia.

2;Ukiingia ndani ya ndoa  utapitia maumivu na machungu ndani ya ndoa utachukia kwanini uliolewa.


3;Kiuchumi utashuka Mungu huwa habariki palipo na uchungu palipo na maumivu ya moyo palipo na manug'uniko Haya maisha itakuwa sehemu yako.


UFANYE NINI SASA..?

Subiri Mungu akupe hata kama atachelewa atakuja tu Acha Kijana Kuwa na Harakaraka. Unatazama Umri Mungu anajua hilo.

Bora ndoa yenye Furaha milele Kuliko yenye machozi milele.


JIUNGE Kwenye Group la Maombi na Mafundisho upate masomo yakuponye +255710889892
Pastor Richard Wa Morogoro

Jumanne, 25 Machi 2025

NDOTO ZA SHULENI

NDOTO  ZA SHULENI NA MAANA ZAKE.

Karibuni Sana LEO Tuone Ndoto za Kuota Shuleni Na Maana Zake.

Ndoto huwa ni Taarifa Unayojulishwa jambo linalokuja au lilopita au lilopo

Ayubu;33:14-15 

1:Ukiota Upo mazingira ya shule ya msingi na Unifom

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Umefungwa Usifanikiwe waitajika uombe kukemea hiyo roho.


2:Ukiota Upo shuleni unamwagilia mimea

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Watu Utakuwa unawafanyia kazi wezako wanafanikiwa kwa ulicho nacho wewe hutafanikiwa.


3;Ukiota Upo Palendi(Mstarini

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa umeuganishwa na roho ya Kusimama katika hatua zako zisisonge mbele uombe uikatae hiyo roho.


4:Ukiota Upo Unacheza na Wanafunzi wezako shuleni

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Utateseka kwa Kuwa mpuuziaji wa vitu katika maisha yako.


5:Ukiota Upo shuleni Mwalimu anafundisha wewe huna daftari au Kalamu

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ Unajulishwa Huwezi Kuweka Kumbukumbu Ya Vitu unavyoelekezwa au Kushauriwa ndiyo sababu hufanikiwi


6:Ukiota Unalia Upo maeneo ya shuleni

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ Unajulishwa Unauchungu Kwakuwa Mambo hayaendi mbele kama utakavyo


7:Ukiota Upo shuleni mnafanya Mtihani wezako wanakusanya wewe Upo TU 

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Huwezi kutatua changamoto unazopitia mpaka usaidiwe ndio utavuka kataa hiyo roho.


8: Ukiota Upo Kwenye chumba Cha Mtihani hujagawiwa Karatasi Wezako wamegawiwa

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Karibuni Utakutana na changamoto kabla haijakukuta Omba Kemea


9:Ukiota Upo Darasani unafundishwa somo la Hisabati

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Huwezi kufanikiwa Sababu huna malengo wala mikakati.


10:Ukiota Upo Darasani mnapiga Kelele Mwalimu anaingia

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa wewe unamaneno mengi SI mtendaji wa unachokiongea ndiyo maana huendelei. Omba kemea ndoto hiyo.


11:Ukiota Upo Shule ya O,level

 ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Unamwaga wa Kufanikiwa lakini Waitaji mtu mwenye hekima akuongoze kufikia mafanikio yako


12;Ukiota Upo High School mpaka chuo

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Unamafanikio lakini jishughulishe na kitu Mungu atakibariki.


13: Ukiota Upo unasoma na Wanafunzi wa chuo lakini wewe hujawahi Kufika au Kusoma chuo

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Mafanikio yako yaitaji ukae na watu waliokuwa kiroho na kielemu utafanikiwa


14: Ukiota Upo shuleni unakula

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa matatizo yako Yanayokutesa uliyapata ukiwa shuleni.


15;Ukiota Upo shuleni lakini maeneo ya chooni au Bafuni Ndoto ikaja hivyo

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Ulikanyaga Dawa ukiwa shuleni Mungu Akakukinga nazo hazijakuzuru lakini Waitaji uombee kukemea roho hizo.


16:Ukiota Upo Darasani unawafundisha wezako Mwalimu nae amekaa

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Utafanikiwa Kile ufanyacho Kupitia kuwasaidia watu wegine.


17:Ukiota Upo O,olevo au High school Unafundishwa na Mwalimu Wa chuo

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Upo unakwama kusonga mbele Kwakuwa unaitajika ukae na mtu aliyekuwa kiroho au aliyefanikiwa Kimwili ndipo utatoka kwenye pito Hilo.


18:Ukiota Upo shuleni umevaa nguo za nyumbani

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa Unapenda Kujifunza na Kutafuta mafanikio lakini Tabia hubadiliki Unapaswa ubadilike Tabia yako Utafanikiwa


19:Ukiota wewe Ni Mwalimu Upo unafundisha shuleni kwako

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa roho ya kutumikishwa hutaendelea kwa Kuwa unatumikishwa kila utakalokufanya. Uombe kemea


20:Ukiota wewe Mwalimu umeitwa na mkuu wako akakufokea

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Unajulishwa utaitwa na mkuu wako atakuonya 


NDOTO ZA SHULENI WALIZOOTA WATU ZA MASHULENI


1:Bwana Yesu asifiwe baba.Naitwa Happy Nipo Njombe Samahani naomba kujua maana ya hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia Leo. Nimeota tulikuwa kwenye shule ya msingi niliyosoma tulikuwa Mimi na rafiki yangu, tumeenda kufundisha darasa la kwanza lakini tulipofika darasani tukamkuta mwalimu mwingine anafundisha na zilikuwa zimebaki dakika kumi na Tano tu muda wa mapumziko ufike basi tukawa tunaondoka. Lakini wakati tunaondoka tukapita nyuma ya majengo ya shule tukawa tunaona Kuna uchafu mwingi karibu kila sehemu tuliyopita kulikuwa na kinyesi Cha binadamu. Je hii ndoto Ina maana gani baba?? Inaninyima raha kabisa.


MAANA YAKE

Unajulishwa unarundishwa nyuma kiroho na hatua za maisha yako kupitia kukosa marafiki sahihi.


Tengeneza list ya watu unaoongozana nao Muombe Mungu akupe.

Jumanne, 18 Machi 2025

MALIPO YA KIWANJA CHA LWANDA

Mke wangu alituma Laki kupitia wakala Rama aliendakutoa Laki Moja sh.100000


TAR.18/3/2025 Saa Tatu na Dakika 49
Nimemtumia Lwanda hela ya Kiwanja

CCI5H6QIBB1 Confirmed. TADEOS DAMIAN ABDALA has received Tsh 200000 on 18-MAR-25 21:50:03.007.

Tarehe 10/4/2025

KUMB:1961ef6762c78b0c Muamala umefanikiwa TZS70000 YAS/ZANTEL kwenda TADEOS DAMIAN A 255772271485 Risiti:003-1961ef6762c78b0c 2025-04-10 12:09:50 CRDB SIMBANKING APP


JUMLA LAKI TATU SABINI sh.370000

Jumapili, 9 Machi 2025

Utaratibu Wa Group Letu

๐Ÿคฒ๐ŸคฒUTARATIBU WA GROUP LETU LA MAOMBI ๐Ÿคฒ๐Ÿคฒ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿคฒ๐Ÿคฒ๐Ÿคฒ

ADMIN;

Admin; Ni Mmoja tu Bishop Richard Tz Namba ya WhatsApp ya Admin +255710889892

Hii Namba Bishop Richard Atatumia kuwasiliana nawewe WhatsApp Kwenye inbox Yako na Kwenye Group itapost Masomo, Shuhuda, Ukiona Namba Tofauti na Hii Ujue Matapeli.


EPUKA MATAPELI WATAKAO KUFATA INBOX KWA NAMBA TOFAUTI NA ADMIN BISHOP RICHARD TZ


HATUPOSIT LINK ZAIDI YA MASOMO NA MAOMBI SHUHUDA.
UKIONA LINK ZA MAGROUP AU PROMOTION AU MIKOPO NK UJUE SIYO PASTOR RICHARD.


Nijulishe INBOX Uwapo na changamoto Na Unieleze Mimi Changamoto yako Kupitia Namba Ya WhatsApp +255710889892


1;Tunapenda Kila Mwanagroup Kwa hiari yake Afate UTARATIBU huu ili afunguliwe USILAZIMISHWE UFATE UTARATIBU WA GROUP LETU. 


A.)Awe Tayari Kuamka Usiku wa manane Maombi kila siku na Ijumaa afunge na mahitaji anitumie inbox na majina  na Sadaka ya Maombi ya kufunga Kama anakuwa hajaelewa anifate inbox.


B)Kila Somo na Audio awe tayari kusoma na kupitia mistari ya Biblia katika somo hilo litakalo Postiwa.


C) Awe Mtoto wa Kiroho wa Madhabahu ya Moto wa Yesu.na Awe tayari kujifunza kujisimamia mwenyewe kwa kufanya mazoezi ya kuomba Kupitia maombi mbalimbali yanayokuwa yanatumwa kwenye Group.


D).Awe Mwaminifu kutuma fungu la Kumi na akituma anipingie Kila Mwezi Hii ndiyo itamjulisha Yeye kuwa ni mtoto wa Madhabahu hii.


KAMA HUNA KAZI UNIPIGIE SIMU SAA.12;00 Jioni 
NITAMUOMBEA NA ATAPATA KAZI ATAKUWA AKITOA ZAKA(FUNGU LA KUMI)

Simu +255759861768 Piga ukiwa huna kazi Nitakuombea Amini Utapata Kazi.


Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro(BISHOP RICHARD TZ)

Jumatatu, 3 Machi 2025

SOMO: MAOMBI YA KWENDA KINYUME NA UTARATIBU WA MATESO YA SHETANI.

SOMO; MAOMBI YA KWENDA KINYUME NA UTARATIBU WA SHETANI NA MATESO YAKE.

     ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Soma hii mpaka mwisho ipo nguvu unapoenda kinyume na kinachosumbua akili yako kwanza kwanini kikusumbue wewe Mwamba Ni Mbabe wa kiroho(Mathayo;11;12) Soma mstari huo

Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Kanisa la Holy Spirit church Tanzania Moto Wa Yesu
WhatsApp +255710889892

"Nakuletea Hili Somo lipo Kiroho inaitaji utulie unielewe namanisha nini ukinielewa ujue umepona..

PiTIA VITABU HIVI KWANZA 
  WARUMI;10:17 Isaya:3:8-10 Zaburi:34:15-22 ESTHER:Sura ya 4 

UFAFANUZI WA KINA KIROHO USICHOKIJUA.
✍✍✍✍✍✍๐Ÿ‡๐Ÿ‡๐Ÿ‡๐Ÿ‡✍✍✍✍✍
    Huwa ipo hivi ili Adui Yako Atawale nafsi yako akili yako mawazo yako fikira zako Anahakikisha Anaweka Tatizo lile Tatizo haliwezi kukutesa au Kukusumbua Endapo hataliwekea Utaratibu WA Namna litawale ndani yako.

MFANO; AYUBU:Sura ya.1
Utaona Shetani Anampa majibu Ayubu hatua ya pili Anaweka Utaratibu akumbaliane na Hiyo Hali Akaweka Utaratibu wa kujikuna na kutoka Juani maana vilikuwa vinamuwasha Lakini ILI APONE AYUBU ILIMlAZIMU HUO UTARATIBU ASIENDELEE KUITII NA KUUMBALI KWENYE AKILI YAKE MAWAZO YAKE FIKIRA ZAKE.


MFANO 2; SARA MKE WA IBRAHIM; Mwanzo sura ya 21

ALIFUNGWA TUMBO ASIZAE NA SHETANI AKATAKA AISHI HIVYO AJIONE YEYE TASA LAKINI UFAHAMU ULIFUNGUKA PALE IBRAHIMU ALIPOZAA NA MJAKAZI WAKE AKASEMA HIVI MUNGU UMERUHUSU KWELI AKASEMA NAENDA KINYUME NA UTARATIBU HUU WA SHETANI. Akazaa isaka.

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰✅Mwanzo:21:2●●●
 2 Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale ya Mungu aliomwahidi

Hata wewe Unateseka Kwa Kuwa umekubali kwenye akili yako fikira zako mawazo yako Utaratibu wa SHETANI 

ESTHER ALIENDA KINYUME NA UTARATIBU  Point hapa"NENDA KINYUME " uone kama hutapona au Kufunguliwa. UKISOMA SURA YA 4.

Yaani Ipo hivi Kubali Usikubali Unapofata Utaratibu wa Tatizo lilowekwa ndani

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUOMBA HAYA MAOMBI. 

1:Tutaomba Siku 7 Tunafunga Masaa 12 Hakuna Kula Au Kunywa.

2:Tutadiri Na Kwenda Kinyume na Matatizo yetu Yanayotutesa Iwe huzai Iwe ni kiziwi Iwe kichwa kinakuumaga Iwe huolewagi au huowagi "CHOCHOTE KILICHOTESA MAISHA YAKO" 

3;Tutayaomba Mfululizo Siku Saba Kwa Muda huo huo utakaoupanga wewe hakikisha unaweka muda ambao hautaingiliana na Majukumu yako ya utafutaji.

4:Omba Maombi Kwa Hasira na Kwa Mamlaka Shetani Asikuzoee Kukuwekea Utaratibu na mateso yake LAZIMA TUENDE KINYUME NA MADHABAHU ZA MAGONJWA MADHABAHU ZA UKOO MADHABAHU ZA KUDHARAULIKA Nk.

5:SIKU YA MWISHO WA UTAANDAA SADAKA YAKO UTAIOMBEA 

Hivi Utaombea Sadaka Yako.
KUPITIA HAYA MAOMBI UTARATIBU WA SHETANI NA MATESO YAKE MAGONJWA YAKE NA KILA NILICHOOMBA HAITARUDIA KUENDESHWA NA UTARATIBU WA SHETENA KWENYE AKILI YANGU MAWAZO YANGU FIKIRA ZANGU MIMI RICHARD NIPO HURU KUPITIA SADAKA HII IKANENE KWENYE MADHABAHU YANGU YA MOTO WA YESU IPOKEE BWANA UKATENDE NA KULETA UDHIBITISHO KATIKA MWILI KWA JINA LA YESU.AMEN 

KISHA UTATOA KUPITIA 

TIGO PESA +255710889892

M-PESA +255759861768

HALO PESA +255628355985

CRDB BANK;0152361572400

JINA; RICHARD JULIUS KUSHOKA 

Utanipigia Ukituma Hii Sadaka


Nakuambia Ukiyaomba Vyema Haya Maombi unaenda Kupona na Kuvuka changamoto Yako.

MSTARI WA KUSIMAMIA;
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
ESTHER;4;15-16
15 Kisha Esta alituma jibu hili kwa Mordekai:

 16 “Nenda, kusanya pamoja Wayahudi wote walioko Shushani, nanyi mfunge kwa ajili yangu. Msile wala kunywa kwa siku tatu, usiku na mchana. Mimi na wajakazi wangu tutafunga kama mnavyofanya. Baada ya kufanyika hili, nitakwenda kwa mfalme, hata ingawa ni kinyume cha sheria. Ikiwa ni kuangamia na niangamie.”

OMBA KWA MFUMO HUU.

KAMA CHANGOMO ZA OFSINI AU UTAWALA

UTAKAA KWENYE KITI Yaani Utaomba Umekaa Kwenye Kiti chochote kile Imladi kiwe na Jina Kiti.

UNAONGEA KWA MAMLAKA
Mfano nikupendekezwa upande cheo.

Kila utaratibu Ambao Shetani Umeuweka na Unataka niufate au umekuwa ukinitumikisha niishi kwenye Hali ya Nafasi hapa kazini ambayo siyo yangu sikiliza nakuja KINYUME cha Utaratibu wako Nakuja Kinyume cha Sheria Zako Katika Jina la Yesu.Amen 

Kila Kazi Ambazo nilitakiwa nizipate Utaratibu wako wa kuzuia ninakuambia kuanzia Sasa  Uachie Utaratibu wako wa kuzuia kwangu siutaki katika Jina la Yesu.Amen 

KWA WENYE CHANGAMOTO ZA KIAFYA NA ZINGINE ISIPOKUWA YA UJAUZITO YAANI WANAOTAKA MTOTO WA WATASHIKA TUMBO.
WENGINE TUTATEMBEA TEMBEA

MAGONJWA; Kila Utaratibu wa kuumwa mgogo uti wa mgogo Kuumwa mwili huu utaratibu siyo wa Mungu wangu ni wako shetani kuanzia Sasa magonjwa yako yaondoe mwilini Mwanagu Yaondoe Siutaki utaratibu wako wa kunipa magonjwa magonjwa katika Jina la Yesu.Amen 

KIZIWI: Shika Masikio Semesha masikio yaambie Hivi nyinyi masikio yangu Mungu si aliwaumba mniongoze Kusikia siyo nisisikie Sasa nawaambia Yule aliyewafunga na akaweka Utaratibu nisiwe nasikia huo utaratibu ninauvunja siutaki kabisa katika Jina la Yesu.Amen 

Endelea kuomba maneno yataendelea kuja.

KUOWA/KUOLEWA: Utaratibu wa Kuwa Singo si utaki kuanzia Sasa kila nguvu ya ngiza au utumwa wowote au nguvu za kichawi au Tabia Za Shetani Zinazoweka Utaratibu ndani yangu nisiowe au nisiolewe ninaukataa huo utaratibu namtaka mke wangu namtaka mume wangu katika Jina la Yesu.Amen. 

BIASHARA; Wewe Uliyezuia Wateja Wasije hivi nani kakupa amri uweke utaratibu huu kwangu nasema hebu achia wateja wangu wanted kunipigia simu sitaki utaratibu wa kuzuiliwa wateja uniwekee nasimama kinyume nawewe shetani katika Jina la Yesu.Amen 

Endelea Kuomba Maneno yatakuja lakini omba kwa mtindo wa kuongea na kitu.

Unajua Ni Utaratibu upi shetani ameuweka kwako Simama Kinyume nao.


HITIMISHO 

Tuombe Kwa Uaminifu Kadiri unavyosoma ufahamu wako utanielewa namanisha nini kisha hata kuomba utaomba vizuri Sana.

Kama Utakuwa Unaswali Tafadhali niulize WhatsApp inbox yangu +255710889892 Natumia Tigo Saivi.

"POINT HAPA "NI KWENDA KINYUME NA
UTARATIBU WA SHETANI"
Hii point ukinielewa Esta alitumia Neno hili Kujipatia ushindi nawewe unaweza kutumia Neno hili kujipatia ushindi.

Shirikisha maombi haya na wegine

Ijumaa, 28 Februari 2025

SOMO; MAHUSIANO YANA LUGHA MBILI TU.

           "DARASA la UCHUMBA" 

SOMO:MAHUSIANO YANA LUGHA MBILI TU.

Karibu Mdau Wa Elimu Ya Mahusiano Mimi Mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Nakukaribisha Katika Somo hili Kichwa Chetu Kinasomeka Mapenzi Yana Lugha mbili Tu. Ambazo ndiyo Zinaweza Kuharibu mahusiano na kuyafunga au Kufugulua mahusiano.
Tujifunze Pamoja.


1:LUGHA YA KWANZA NI KUSEMA "HAPANA" Hii Lugha humanisha Kukataa mtu kukukataa na mahusiano kukukataa Unapokuwa Unamahusiano yaliyogoma yatakusumbua hata kama wewe ukisema ndiyo menyewe Yakisema Hapana ni Hapana Usilazimishe.


2;LUGHA YA PILI NI KUSEMA "NDIYO"
Hii Lugha humanisha Kukubali mtu kukubali uwe naye kwenye mahusiano kwa ajili ya malengo fulani Kwa Hiyo Hii Lugha Ikikubali Ujue mahusiano utayatawala na Kuyaendesha Unavyotaka 


Chunguza upo kwenye Lugha ipi ya mahusiano kwako.

     YAKOBO;5:12
12 Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, iwe kwa mbingu au kwa dunia, au kwa kitu kingine chochote. “Ndiyo” yenu na iwe ndiyo, na “Hapana” yenu iwe hapana, la sivyo mtahukumiwa.


Somo hili linakupa mwanga ujue Mahusiano hayana  Lugha Moja.


Kama unaswali uliza inbox 

Alhamisi, 27 Februari 2025

SOMO: NI BORA UCHUMBA ULIOVUNJIKA KULIKO NDOA ISIYO NAAMANI MILELE.

        "DARASA LA UCHUMBA"

SOMO; NI BORA UCHUMBA ULIOVUNJIKA KULIKO NDOA ISIYO NA AMANI MILELE.
Tusome Mithali;12:1-5 Mithali;18;15 
▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎°▪︎
Tunapojifunza hivi Tunapata Maarifa na ipo inakusaindia wewe unayefikiria kujiua kwa sababu ya mapenzi ni Suruhisho au Kug;ag,Ania Usipopendwa ndio upendo Acha nikuambia Mahusiano ni Darasa Pana Sana Kama ukiwa hupendi kujifunza masomo ya uchumba kutoka kwa waalimu mbalimbali ya Mahusiano yatakuliza kila Siku Sababu hayaitaji uzame rohoni yanaitaji Elimu ujifunze.

Mfano Somo la leo nafundisha ni Bora uchumba ukauvunja kama hueleweki kuliko kuingia kwenye ndoa itakayokufanya utamani kutoka Usiweze Kutoka. Kumbe Mungu alianza kusema nawewe huku mwanzo hukusikia Karibu Mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Wa Morogoro. 


MAMBO MATATU KWANINI TUSEME VUNJA MAHUSIANO YASIYOELEWEKA.

1: Picha Nzima Ya Mtu Kama Mtawezana ndani ya ndoa hupimwa huku mwanzo je mnasikilizana Je Hamsumbuani Je Mnawasiliana Vizuri Kama Huku mwanzo tu mawasiliano yenu ya manati Hamsikilizani wala hakuna amani na mwezake kila mmoja Mnablock mwezi hamtafutani.

HAYA MAHUSIANO VUNJA SABABU YATAKAPOENDELEA YAKAINGIA KWENYE NDOA YATAKUTESA.


2:Kama Mahusiano Yako Hayaeleweki Maana Yake Kati Yenu Hayupo Tayari Kuingia Kwenye Maisha Ya ndoa Na ukilazimisha Mahusiano Hayo Ujue Ndoa ndani haitakuwa na Amani.

3:Ni Bora Ukavunja Uchumba Kama Hueleweki Kuliko Kuja Kuishi na ndoa itakayokutesa milele eti kisa ulikuwa umri umeenda ukaona uwafurahishe wazazi uolewe.

4: Tambua Usiingie Kwenye Uchumba na Mtu uliyetafutiwa au Kuuganishwa na mtu wewe hukumpenda ukaamua umpende kwa Sababu ya Heshima ya Huyo Mtu.

5: Jinsi Utakavyokuwa Strong Kwenye Uchumba ndivyo utakavyokuwa Imara Kwenye Ndoa.

              TAHADHALI;
Uchumba Siyo Ndoa na Hakuna Kifungo Kitakachokutesa Ukivunja Kuliko Agano la ndoa uje uhagaike kulivunja Kiroho Husumbua Sana.


Shirikisha ujumbe huu ukiwa unaswali Uliza inbox

Jumanne, 25 Februari 2025

SOMO: SHUKURU KWA KIDOGO

SOMO: SHUKURU KWA KIDOGO.

Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro  Kanisa la Holy Spirit church Tanzania. 
Karibu Tujifunze kitu

Jifunze Kuwa Unamshukuru Mungu Vitu vidogo Mungu Anavyokutendea Ipo nguvu mwana wa Mungu Kuthamini hatua mbalimbali za ukuaji wa kiroho kwako na utendaji wa ukuu wa Mungu kwako.

Zaburi;50:14-15
14 Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,
timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,
15 na uniite siku ya taabu;
nami nitakuokoa, nawe utanitukuza

HATUWEZI TUKAWA TUNASUBIRIA MPAKA MAKUBWA TUTENDEWE NDIYO TUSHUKRU.

Tupo watu hata kuomba tulikuwa hatujui Ametufunza kuomba lakini bado hatuoni kama ametenda.

Tupo Watu Tulikuwa hatuna hata wachumba Tumepata Wachumba lakini bado hatuoni hilo kama Ametenda.

Tupo Tuliokuwa Kazini Tumekosa Kibali Sasa Tunakibali bado hatuoni hilo kama Ametenda.

Tupo watu Tulikuwa Hatupendi Neno la Mungu hata kujifunza Sasa hivi mioyo yetu inapenda kujifunza lakini bado hatuoni kama Ametenda.

Tupo watu familia Zetu Zilikuwa Zinateseka Lakini Sasa hivi familia zetu zimefunguliwa lakini bado tunamanug,uniko hatuoni hilo.

HVI VIDOGO TUSIPOSEMA ANSATE BWANA TUNAZUIA MIUJIZA YETU MIGINE.

Mwanangu Hebu Badili Mtazamo Wako Uwe Unashukuru Mungu.
.Soma hili Neno.

1TIMOTHEO:4:4-5
4 Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani, 

5 kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba

KILA MABADILIKO YAKO YANAITAJI MUNGU AFANYE UNAPOONA RUDI MAGOTINI NA SADAKA YA KUSHUKURU SEMA BWANA

 Nashukuru Kwa hatua hii Uliyoitenda Kwangu nilikuwa siombi saivi naomba nilikuwa sipati kazi nimepata kazi mtu mwigine akipata kazi privet Bado Anamlalamikia Mungu.

Acha Kuwa Unanug.unika na Kulia Lia Wewe ni mtoto wa Mungu ifikie hatua utambue wewe ni nani katika ulimwengu huu wa damu na nyama. 
Mungu Anasema Mwanangu nijue Vizuri Baba Yako.

Moja ya jambo mhimu ni wewe kujua kushukuru katika kila hatua.

WAKOLOSAI:4:2-3

2 Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru. 

3 Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.

TUSIPOTENGENEZA ENEO HILI TUTAKWAMISHA VITU VINGI.

Pia acha kulalamika na kunug,unika Tambua Kazi ya Mungu Kwako anayokufanyia ni kubwa Sana Siyo Jambo la wewe mwanae unayemjua vyema kukata tamaa au kumuacha hili Lichukue litakusaindia 

Mapito na changamoto zisiwe Sababu Za Kufuta mazuri yote uliyofanyiwa na Mungu

Huu mstari hebu urudie rudie utafakari kwa kina maana nasikia sauti inaniambia waambie watu wangu ulionipa uwaongoze kwa Neno la Langu Wawe na Moyo Wa Kunishukuru na Kutambua Najishughulisha na maisha yao kuliko nguvu zao na akili zao na Elimu zao Japo hawaoni wananilalamikia Sitendi kwao.

AYUBU;22;21-22

.21 “Mjue sana Mungu ili uwe na amani,
ndipo mema yatakapokujia.
22 Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake,
na maneno yake uyaweke moyoni mwako

Jumatano, 19 Februari 2025

MAOMBI YA USIKU WA MANANE 2025

MAOMBI YA USIKU WA MANANE LEO.2025
SAA;6;00Usiku mpaka

Saa;10:00Alfajiri

Ukiamka Huu Muda ingia Vitani Ombea kila Jambo unaloona haliendi Waunge na rafiki zako Kwenye Group wanaopenda masomo na Maombi unawapa utaratibu kabla hujawaunga

Karibu Sana Tambua Usiku huwa ndiyo muda mzuri Wa Mungu Kuwashughulikia Adui Zako na Matatizo yako kuyashughulikia.

HAKIKISHA UMEOMBA TOBA KABLA HATUJAANZA KUPINGA NA KUSHAMBULIA

MSTARI WA KUSIMAMIA Kutoka;11;4

4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.

Rudia kusoma chukua point hii Mungu Apite kwako

TUTAOMBEA MAMBO  MATATU

1;Roho Ya Uzuizi Kwenye Wokovu Wako.

Ulishawahi Kujiuliza Kwanini mliokoka wengi wezako walishaacha Wokovu wakawa watumwa wa dhambi wewe unaendelea vizuri nakujitakasa mara kwa mara.

Ipo hivi Unapookoka Shetani huandaa roho chafu mbalimbali za kuhakikisha Huendelei Mbele Na hutumwa vitu mbalimbali vya kukatisha tamaa na kupelekea uache wokovu.

OMBEA WOKOVU WAKO UWE IMARA USIJE UKAWA MSINDIKAJI.

2;Roho ya Kuzuia Kutenda Matendo Mema.

Ipo roho hupandikizwa ndani yako unapokuwa umeamua kutembea na Mungu Ambayo itakufanya tu njia zako zisiwe Sahihi hata kama umeokakaje Matendo yako yatakuwa na udhaifu Tu.

Ombea Matendo yako Yawe na Kibali Kwa Mungu.

3:Roho za Mafatilizi ya Hatua Unazokuwa Unachukua

Mtoto wa Mungu Zipo roho Hufatilia Kila steji unayotaka uifanye omba shugulikia.

Ndio Maana Unaweza ukaanzisha Jambo unaamua kuliacha au Uchumi unapigwa kiasi kwamba hata hela ya Kula Unaanza Kukopa ule.

Jitaidi Kuwa Siriazi Na Upende Kuongezeka Kiimani Sikiliza Muongozo wa Maneno Roho Mtakatifu anayokupa wakati ukiomba usiku.

FAIDA ZA KUOMBA USIKU WA MANANE
Matendo;16;25-26

1;Maombi ya Usiku wa Manane Yana nguvu yakukufungua Matatizo yako Mengi.

2:Maombi Ya Usiku Ni Tulivu unakuwa husumbuliwi upo uweponi.

3:Mungu hupita kuwatandika adui zako vibaya mno.

4;Unapata mume au mke kupitia kuomba usiku wa manane.
Samsoni na Delila walipatana Usiku wa manane.

5;Unajimarisha kiroho na Kimwili katika Vita za Kiroho.

6:Unakuwa na nguvu ya kuomba Sana..

Taja nawewe unazozijua

Omba nasi Usiku wa Manane kila Siku.
.
HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA ILIPO NASISI TUPO HAPO.

Moto Wa Yesu Uwake Zaidi ya Jana.

2025 Tunatembea Kibabe
Mathayo;11;12

Shirikisha na wengine muombe Pamoja na rafiki zako.

.Mawasiliano na Bishop Richard Mwenyewe 0759861768 au Tigo 0710889892

Jumatatu, 17 Februari 2025

OMBA UKIWA UNAHITAJI KUPAKATA MTOTO

OMBA UKIWA UNAHITAJi KUPAKATA WATOTO WATATU MAPACHA KAMA HANNA

Tumia Baraka Ya Hanna na Mfano Wa Maombi Yake.

          1SAMWELI:2:21
21 Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.

TAMKA MANENO HAYA UKIWA UMESHIKA TUMBO.
Omba haya maombi kisha tafuteni mtoto na mumeo utapokea muujiza huu.

Sema hivi: Bwana Kuwa Mwenye Neema Kwangu Nibariki Tumbo langu Kama Hana ulivyomkumbuka ukampa Mapacha watatu mara 2 Nami Nipe Watoto mapacha watatu maana moyo wangu nimekuwa mwaminifu katika maombi kukumbusha nimekuwa mwaminifu wa zaka katika madhabahu yangu kwa Baba yangu wa kiroho uliyenipa Pastor Richard kama Hanna alivyokuwa mwaminifu kwa Baba Yake Wa Kiroho Elly  Nami Sitaacha Kukusifu na kukutolea shukurani kama Hanna.Ninaomba Nikiamini  Kwa nguvu ya Jina la Yesu.Amen 
Rudia ×4 Tamka kwa kuikaza sauti yako na kwa mamlaka.


JIANDAE KULEA MAPACHA

Nifate inbox ukiwa hujanielewa Mwanangu

Jumatano, 29 Januari 2025

MATUMIZI YA UJENZI WA KANISA (NYAKAHAMBA DAR)

      MATUMIZI NA UFAFANUZI WA PESA ZA UJENZI WA KANISA LA HOLY SPIRIT CHURCH  TANZANIA HAPA NYAKAHAMBA๐Ÿ‘‰KIBOSHA 
    
            Tar.20/1/2025
Matumizi ya Mbao (2×2)=300×50=150000 Nauli 20000/

           Tarehe 25/1/2025
Matumizi Ya Mbao (2×4); 80=6000×80=480000
Nauli 20000

              Tar.30/1/2025
Matumizi ya Mabango  Ya Kanisa ya Kuweka Barabarani Kuonyesha Kanisa Lilipo Sh.200000


    TAR.2/2/2025 

Matumizi ya Mirunda 30 Sh.180000 Usafiri Sh.20000
Jumla sh.200000/=


MATUMIZI YA MISUMARI  SH.170000/=



TAR.6-2-2025

Matumizi Siment na Kokoto Sh.80000/=

TAR.8-2-2025
MATUMIZI YA MBAO 2×2;55×3500=192500
Misumari Kilo 5=20000 MBAO 2×4:15×6500=97500
Nauli Bajaji=20000

Jumla 330000/=


TAR.12-2-2025
MATUMIZI YA BATI 8=200000/=

Tar  4/3/2025 Matumizi Ya Bati 520000/=

MPAKA SASA TUMETUMIA  JUMLA YA MILIONI MOJA NA LAKI TATU ISHIRINI =1850000/=


NAOMBENI AMBAO TUMEAHINDI TUANZE KUPUNGUZA ILI KUSAINDIA KAZI YA MUNGU HAPA TULISEMA MWISHO TAR.25/2/2025 KUPOKEA HARAMBEE HII.

.NAMBA ZA KUTUMA HARAMBEE YAKO.

TIGO PESA +255710889892

HALO PESA +255628355985

AKAUNT NAMBA CRDB: 0152361572400

JINA: RICHARD JULIUS KUSHOKA..



Jumamosi, 25 Januari 2025

SOMO; MAOMBI YA KUJIKOMBOA NA LAANA ZA KIKABILA.

SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WAKUJITOA KWENYE MIKATABA YA KIKABILA

Vitabu Rejea;Kutoka:31:1-11,  HESABU;7;30-40, ZABURI:78;67-72 WARUMI;11;1-10,
WAEBRANIA;7;11-28

Karibu
Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Kanisa la Holy Spirit church Tanzania 


KABILA NI NINI..?
Kabila Ni Umoja Wa Jamii Fulani Yenye Desturi na Utamaduni Mmoja Lugha moja Wanokuwa wapo ndani ya Taifa fulani au nchi moja..?

Mfano Tanzania Kuna Kabila la Wasukuma,Wachanga.Wangoni,Wanyakyusa nk Jumla kuna Kabila 120

Hizi Kabila Kila Kabila inatamanduni yake na Lugha yake ya utambulisho wa hilo Kabila.

MAOMBI YA KUJITOA KWENYE MIKATABA YA KIKABILA.
Hii ni hatua ya mtu aliyepata Neema ya juu kumjua Mungu akatambua kabila lake kuna vitu linafanya inakuwa chukizo kwa Mungu inamfanya Mungu alitese kabila hilo naye anakuwa ni wa kabila hilo lazima Avenue hiyo mikataba ajiondoe kwenye laana hizo.
Yoshua:7:1-18 


Wapo Watu Hawaolewi au Kuowa Sababu ya Sifa mbaya ya Kabila lao.

Wapo Watu Wanaolewa au Kuowa Kupitia Sifa Nzuri za Kabila Lao.

KWA UFUPI KABILA LAKO LINANGUVU YA KUKUTAWALA NA KUKUTAMBULISHA VIZURI AU VIBAYA HAIJALISHI UMEOKOKA UMESOMA HUJASOMA Kabila linanguvu.

Mfano Kabila La Wafipa Wachawi hii inamtambulisha hivyo kila mfipa.

Kabila la Wasukuma Wapenda Uganga na udikiteta hii sifa inakufunga kila Msukuma.

Mfano: Wachanga Ni Wanapenda Pesa Matambiko Ulevi  Kila mchanga ukisema tu kabila lako watu wanakuja kutazama sifa.

Wakinga Wanapenda Biashara na Mali Za Madawa Ukiwa tu Mkinga hata kama umeokoka unabembwa na sifa hiyo.

Wahaya Wanapenda Majivuno Hata Kama Umeokoka ukisema tu mhaya wanajua 

Wahehe Hasira na Kujinyoga Ukisema tu mimi mhehe wanajua unatabia hiyo.

Wagongo Ulevi na Kuachika kwenye ndoa na Kuomba omba 

HIZI NI BAADHI YA TABIA MBALIMBALI ZA MAKABILA.

MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOOMBA 

1;Lijue Kabila lako Watu wanalitambua Kwa Sifa za Tabia ngani ..?

2:Utakayeomba mlengwa mwenye kabila hilo..?

3:Utafata Hatua ninazoenda Kukuongoza.


HATUA ZA KUFUATA UNAPOOMBA. 

1:OMBA KUSHUGHULIKIA KUJIONDOA KWENYE TABIA ZA KABILA LAKO.

Ninajiondoa kwenye Tabia Za Kikabila Zilizouganishwa Ndani Yangu Kuniharibia sifa yangu ya Wokovu Katika Jina la Yesu.Amen ×3

Endelea kuomba Tamka maneno unayoona yanakuja kinywani.


2:OMBA TOBA KWA AJILI  YA KABILA  LAKO:

Baba Yangu Nakuja Mbele Zako Nalibeba Kabila Langu Naomba Unisamehe mimi na Kabila langu limekuwa like-minded nakutembea katika Imani Inayokuudhi Katika Jina la Yesu.Amen 

Endelea Kuomba Toba Kwa Ajili ya Kabila lako


3:OMBA KUVUNJA MIKATABA  MBALIMBALI NA MAPOKEO YA WATU WANAOTUMIA KABILA LAKO KUZUIA BARAKA ZAKO.

Hapa utashughulikia kila utambulisho ulio mbaya wa kabila lako weka Utambulisho mzuri

Ninakataa kabila langu kuwa na utambulisho ulio mbaya utambulisho usiofaa kwenye Jamii hali inayonifanya hata mimi nikose mke wa kumuowa Nikose Mume wa Kuniowa Navunja Kila Mikataba Makubaliano yaliyowekwanga na Waazilishi wa Kabila langu Kila uhalali adui ambao aliupata kwenye kabila langu achia achia mimi ni mtoto wa Mungu Kabila wa Simba wa Yuda Katika Jina la Yesu.Amen 

Endelea kuomba huku unatembeatembea Tamka Maneno Tamka huku Unaomba Kadiri Roho Mtakatifu Anavyokuongoza.


Mwanangu Mungu akupe Kunielewa Zaidi Maombi Haya Yanaitaji Uelewe Kuna nguvu inayowafanya Watu Wasiolewe au Kuowa iliyo ndani ya Kabila lao.

Kuna nguvu kubwa kwenye Kabila lako.

Jumatatu, 13 Januari 2025

MCHANGO MCHANGO

HARAMBEE YA UJENZI WA MADHABAHU YA BWANA HAPA NYAKAHAMBA ๐Ÿ‘‰KIBOSHA 

DAR ES SALAAM 

UJENZI TUNAANZA TAR.1/2/2025

MWISHO  WA KUPOKEA TAR.25/2/2025  

Gharama za Vifaa Tazama Hapo Juu ya post inaeleza.


✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍➿➿➿➿



MSTARI WA KUSOMA; HAGAI;1;4-9

===========================


NAMBA ZA KUTUMA HARAMBEE 




TIGO PESA 0710889892


HALO PESA 0628355985


CRDB BANK AKAUNT NAMBA: 0152361572400


JINA: RICHARD JULIUS KUSHOKA 




✅AMETOA YOTE



☑AMEAHIDI



✔KAPUNGUZA AHADI




Mwisho Wa Harambee Tar.25/2/2025




Namba..... Jina ........   Kiasi




1;Richard Kushoka   sh.200000✅




2: Diana Nzingu       sh.30,000✅




3: Mourice Adolf    sh. 10,000✅




4: Athanas kwilasa  sh.10,000✅




5;Neema Faraji     sh.50000✅




6;Monica Mgute   sh.50000✅




7:Felix Patrick     Sh.50000✅




8:Mwezetu mmoja Ameomba Asitajwe Ameahidi Hela Ya Fundi Atalipa Yote.

Sh.500000-500000✅



9;Debora Laurent  Sh.50000☑



10:Kuna Mwezetu Kaahidi  Sh.100000✅



11;Irene Lenganya   Sh.10000✅



12:Asha Sweya   sh.20000☑



13;Roda Richard  Sh.150000✅


14; Nizani Simon  Sh. 20000✅


15; Roda Kikuti    Sh.20000☑


16;Kuna Mwezetu Kaahidi  Sh.50000✅


17:Veronica Tobias  sh.40000✅


18:Fatuma  Bughe  Sh.50000✅


19: Advera  Bwoma Sh.60000✅


20: Jestina Kabisa  Sh.50000☑


21.Selina Maganza  sh.50000✅


22: Gestida  Edison Sh.100000✅


23;Christina John  Sh.5000✅


24: Mwezetu Kaahidi Sh. 100000✅


25: Doricas Mwacha  Sh.100000✅


26: Anna Loy      Sh.20000✅


27:Neema Johola Sh.10000✅


28:Kiano Kirei     Sh.30000☑


29;Rehema Ndogo   Sh.15000☑


30:Mery Kennedy   Sh.40000✅

31: Kuna Mwezetu Kaahidi  Sh.50000✅

32: Josephine Komba  Sh.10000✅

33: Lucy Nzingu   sh.50000✅

34:Silivia   Pazza  Sh.30000✅

35: Regina Joseph Sh.10000✅

36; Neema Ndolele  Sh.10000✅

37; Neema Ngowi  sh.10000✅

38: Kuna Mwezetu Katoa Sh.60000✅

39;Faraja  Mpalale Sh.15000✅

40;Happy Simon  Sh.10000☑

41:Adeline Nicodemus Sh.10000✅

42: Halima Nyarusi Sh.10000✅

45;Magreth Chacha Sh.20000✅

46;Blandina Tupa Sh.50000✅

47:Mariam Kijanga  Sh.15000✅



                                                    


TUENDELEE KUTOA HARAMBEE YETU TUMJENGEE MUNGU HAPA DAR WAPATE WEZETU PA KUABUDIA.    


Tuma inbox Jina lako na Ahadi kama pia hupendi kuandikwa unaniambia Inbox


Jumla ya Gharama Milioni 4 Inaitajika.

              "2 Wakorintho 9:7 

Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa  Furaha.



DAR TANGAZO

     DAR NA PWANI 2025 TUMEIPOKEA HOLY SPIRIT CHURCH 

KWA WOTE MLIOPO DAR KIBAHA NA BANGAMOYO 2025 NEEMA IMEANZA NANYI MUNGU KAWAKUMBUKA.
NAITWA ASKOFU RICHARD JULIUS KUSHOKA NAWATANGAZIA

SHUKURANI;
==========
WATOTO WA DAR ES SALAAM  MUNGU AWABARIKI KWA KUJITOA KIWANJA CHA KANISA NA KUWA MALI YA KANISA LA HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA KWA AJILI YA MUNGU NAWASHUKURU SANA MLIOFANYA TUKIO HILI. KUMRUNDISHIA BWANA KILICHO CHAKE NI SIFA KWAKE.

ANDIKO LINASEMA. 
ZABURI:24:1
1 Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake,
ulimwengu, na wote waishio ndani yake,

KIKAO TAR.19 HAPA DAR/BANGAMOYO 
=====================
NAOMBA JUMAPILI YA TAR.19-1-2025
WATOTO WOTE NA MNAOBARIKIWA NA HUDUMA HII YA MAFUNDISHO NA MAOMBI TULIOPO DAR ,KIBAHA,NA BANGAMOYO TUTAKUWA NA KIKAO CHA PAMOJA HAPA BANGAMOYO KWA KIBOSHA ENEO LA KIWANJA CHA KANISA TULIPOPATA .

KIKAO KITAANZA BAADA YA IBADA INAYOANZA SAA.MBILI KAMILI ASUBUHI NI VYEMA UKAWAHI NA IBADA.

TUTAKAYOZUNGUMZIA KWENYE KIKAO.
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1;KUWASHUKURU SANA KWA MLIVYOTOA ENEO LA KANISA.

2:KUPANGA UJENZI WA MUDA WATU WAPATE PAKUABUDIA 

3:MCHAKATO WA UPATIKANAJI WA HELA YA KUMJENGEA BWANA 
Ambayo hesabu ya Fundi kwa ujezi wetu wa awali unagharimu. Million 2 Na ndani ya Miezi 2 Tunatamani Tumjengee Mungu nyumba ya ibada maana saivi watu wanapingwa jua wananyeshewa mvua ndiyo maana nimefika Hapa Dar Mwenyewe niendeshe kikao hiki.

4:KUMBUKA HIZI BARAKA NI ZA KUGOMBANIA.

5:MREJESHO WA KIKAO NITAKILETA HAPA.

NIMESHAFIKA DAR LAKINI NIPO MAOMBI KWANZA MPAKA JUMAPILI NA KUENDELEA MIEZI MIWILI NITAKUWEPO KUSIMAMIA ZOEZI HILI NA KUWAFUNGUA WATU WENYE MATATIZO MBALIMBALI. 


JINSI YA KUFIKA 
➖➖➖➖➖➖➖➖
PANDA MAGARI YANAYOENDA BANGAMOYO KUPITIA NJIA YA TEGETA, BUJU, WAAMBIE WAKUSHUSHE KIBOSHA UKISHUKA CHUKUA PIKIPIKI MPAKA NYAKAHABA NIPINGIE SIMU  +255759861768 Nitaangiza Vijana Watakupokea  

2O25 TUMEANZA NA DAR KIBABE TUMESHAINGIA DAR TUTAMTUMIKIA MUNGU KIBABE TUTEMBEA KIBABE 

 POPOTE TUTAKAPOPATA ENEO NDIPO HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA ITAKAPOKUWEPO NIZIDI KUKARIBISHA WENYE KIU YA KANISA LETU KUENEA TOA KIWANJA TUILETE HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ UNAPOISHI IWAFUNGUE NA WENGINE KUPITIA MASOMO.

Kama Maelekezo hutaelewa nipigie Simu Wiki hili nipo Maombi Tu Kuwaombea Mliopo Dar na Pwani Ili Nipate Maelekezo ya Mkoa huu JUMAPILI mnapofika Mungu atakuwa amesema nami Tunafanyaje..

Nakadhia mahudhurio tujitokeze.
WAZO LAKO NI MHIMU KWETU WANA HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA NA KUHUDHURIA KIKAO HIKI NI MUHIMU KWA AJILI YA UFALME WA MUNGU NA KUTOHUDHURIA NI KUKOSA BARAKA ZA USHIRIKI WA UJENZI WA NYUMBA YA KUABUDIA.