SOMO; MAMBO MATATU YAFANYE KWENYE NDOA YAKO
1;HAKIKISHA UNAKUWA MSAFI
Katika mavazi katika nyumba yako katika chumba chako nakitanda chako katika mwili wako Usafi ni eneo linalomfanya mwanaume akupende hakikisha nguo za Wanao unasafisha na kuiweka vizuro nyumba yako.
2;KUWA MWANAMKE MWENYE KAULI NZURI NA MWENYE KUMUOMBEA MUMEO
Hakikisha mumeo unakuwa makini na msikivu anapoongea Usimkatishe Katikati ya mazungumzo pia hakikisha kama Amezungumza kauli imekukwanza shuka chini baadae Sasa unaweza kumweleza kwa utaratibu alipokosea.
3:UWE NA UPENDO.
Ipende familia yako mpende mumeo wapende watoto wako ipende nyumba yako hakikisha unakuwa pamoja na mumeo katika magumu ay vipindi vigumu.
HAYA NI YA MSINGI UYAJUE NDANI YA NDOA.
@Pastor Richard
2024
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni