Jumamosi, 7 Septemba 2024

SOMO;MADHARA YA KUZALIWA NJE YA NDOA.

     👊DARASA LA NENO LA MUNGU👊

SOMO;MADHARA MATATU MAKUBWA KWA MTOTO ALIYEZALIWA NJE YA NDOA.


Ninakukaribisha tujifunze madhara ya mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa asipokombolewa huwa ni yapi hili ni darasa litatusaindia sisi tuliozaa nje ya ndoa na Tunaofikiria tuzae nje ya ndoa ili ibaki uchanguzi kwako mimi ninakupa ufahamu tu mwenye kufanya maamuzi ni wewe na inawezekana nawewe ni mtoto wa uzinifu uliyepatikana kwa dhambi ya uzinifu utajifunza kitu.
Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni. 


MAMBO YAFATAYO NI MADHARA YANAYOMPATA MTOTO ALIYEZALIWA KWENYE UZINIFU. 


1.ATAKUWA NA HATIA YA KUADAMWA Roho Za Matukio Yenye mikosi.

👇👇👇👇👇
Zaburi 51:5
[5]Tazama, mimi naliumbwa katika hali ya uovu; 
Mama yangu alinichukua mimba hatiani. 

Kuna mikosi unayoipitia kwa sababu ya tumbo lilokuzaa au upatikanaji wako haukuwa wa Kimungu kwa hiyo ulijisajiri kwenye roho za maovu toka tumboni mwa mama yako na ule uovu unakutesa mpaka sasa.


2.UTAKUWA NA ROHO YA KUZINI NDANI YA DAMU YAKO UTAJITAIDI KUACHA HUWEZI.

SOMA 👉Zaburi;38;3 Mithali.6;29
Hii dhambi hukaa kwenye damu na mtu inakuwa kwake kama kawaida lakini inamtenga na Mungu kabisa.

3.UKIJA KUKUA UTAKUWA HUOLEWI AU HUOWI ZAIDI UTAENDESHWA NA Roho ya Kuzalisha/Kuzaa nje ya ndoa.

Soma.Ezekiel.23 hii hadithi ya mabint wa wawili mtu na dada yake walikuwa wakibadilisha wanaume tu toka wakiwa na miaka 17 walianza kuzini mpaka kuwa wakubwa walitembea mpaka na mawazili wabuge nk.

Ila ukija kutazama utaona walizaliwa kwenye uzinifu.


Nataka Nikuambie Unapaswa ujikomboe na umkomboe mtoto uliyemzaa kwenye dhambi ya uzinifu 
.
KARIBU KWENYE  GROUP LA MAOMBI NA MAFUNDISHO MBALIMBALI MFATE WhatsApp PastorRichard+255759861768 Muombe Akuunge.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni