Naitwa Lucy Mike Nipo Nzega Tabora Ninaumri Miaka 35 Ninamshukuru Huyu Mungu Kupitia Group hili la Maombi na kutafuta Muongozo ya kuomba Pastor Richard Anayokuwa Anatupa Kwenye Group nimepata Majibu yangu nilikuwa nikiomba maombi ya usiku wa manane nikitoa Fungu la Kumi nakufuñga ijumaa Kama Baba Yetu Anavyotufundisha Kikweli Nimemuona Mungu nilikuwa nimejikatia tamaa ya kupata mtoto kutokana na madaktari kunivunja moyo. Mungu azidi kumlinda Baba yetu wa Kiroho ili Azidi kutufungua kupitia mafundisho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni