Jumanne, 30 Januari 2024

Majina ya viongozi wa Maombi na Maombi ya mikoani

MAOMBI YA MIKOANI KESHO TUNAANZA.
IJUMAA YA KWANZA Tar.9/2/2024

Ni vyema hapo ulipo ukatafuta mtu ukawa mnaomba pamoja siyo lazima awe wa kwenye group mtu yeyote anayependa maombi maana maombi ya kushirikiana Yananguvu kuliko ya Peke Yako
Karibuni ikiwa ni mara kwanza Tunaanza..

MAMBO YA KUZINGATIA MAOMBI HAYA.

1.Utatafuta rafiki yako Anayependa maombi aliyekaribu na eneo mlipo mtaomba pamoja nakuombeana

Mathayo;20:25 Amosi:3:3


2;Kila Ijumaa Saa 10;00 Jioni mpaka 12;00Jioni Tutaomba
Tutakuwa Tunaomba Ijumaa Tu

3.Eneo Tutakapokutana ni kwa kiongozi wa maombi wa eneo hilo Alipo.
Kisha tukiwa watano nakuendelea Tutazungukiana...


4.Maombi ya Kesho Tar 9/2/2024 UTARATIBU UTAKUWA HIVI.

Soma ; 1WAKORITHO;14;40

Mambo Yote Yafanyike kwa Utaratibu 

Tutafungua Kwa Maombi mafupi 

Kisha Tutaimba nyimbo za sifa na kuabudu

Tutasoma Neno Kuligana na mlivyoadaa hapo mlipo 

Hubiri Dakika 15 tu

Kisha Tuingie Maombi.

OMBI LA KWANZA TUTASHUGHULIKA NA ANGA LA HAPO KIONGOZI WA MAOMBI ALIPO.

Mwanzo;1;6-7 
Anga ni mpaka au Kile kinachokutenga na Kitu kigine  Ambayo Anga lako inaweza kuwa dhambi ya uzinifu  au Kuomba huwezi ukianza unapiga miayo Au Kuolewa Au biashara nk

Chochote ukiona unataka ukifanye kinakuwa na ugumu shida ni Anga omba ufungue Anga la Eneo ulipo.

BAADHI YA MIKOA ILIYOSHIKWA NA ANGA

MKOA                     ANGA

1.Dar    limeshikwa na Anga la Uzinzi
Mtu akienda kukaa dar akiweza kuishinda hii roho ya kuzini Amefanya kazi kweli kweli.

2.Dodoma Limeshikwa na Anga la Kuomba omba Ukienda kuishi dodoma Lazima roho ya kuomba omba pesa kwa ndugu watu wa karibu itakufatilia hata ukiwa na  Kazi.

3.TANGA Limeshikwa na Uvivu Sana ukienda kuishi Tanga roho ya kutokufanya kazi na kuridhika inakufatilia Sana mpaka ujue.


4.MOROGORO Limeshikwa na Utumwa ukienda kukaa Morogoro usipokuwa vizuri utatumikishwa tu.

5.KILIMANJARO Limeshikwa na Mirungi na Pombe Usipokuwa makini utakunywa pombe .

6.ARUSHA Limeshikwa na Ubahili Na Ubishi Ukienda Kukaa Arusha roho hizi zinaweza kukutumikisha sababu upo katika Anga limeshikwa hivyo.

7.Mbeya na Songwe  Limeshikwa na mikataba ya mababu na mabibi Sana Usipokuwa makini mikataba ya kichawi kichifu inaweza kukutumikisha Sababu mtawala wa eneo hilo.

8.SHINYANGA NA TABORA ,KATAVI,RUKWA ,Limeshikwa na Uchawi  ukienda huko utatumikishwa usipokuwa vizuri

Nk

Kila Mkoa Kuna Anga la Eneo hilo 

Shughulikia omba hivi kuligana na ulipo wewe Kiongozi wa Maombi haya

Tunaitaji Kushughulikia Anga 

Roho Mtakatifu atakuongoza.

Mfano 
Ninafungua Anga la Morogoro Hapa mateteni Anga lake la utumwa achia eneo hili Achia Mateteni Yangu Achia Baraka zangu zilizokusundiwa katika hili eneo nilipo katika Jina la Yesu.Amen 

Usipoomba kushughulika Na Anga ndiyo limezuia Ushuhuda wako

Mume wako  au mke wako omba kwa mzingo 


Ombea Baraka zako zilizokusundiwa ukazipokee kupitia hilo eneo

Kataa kuishi kama wenyeji wa hilo eneo ulipo
Omba endelea kutamka tamka usinyamaze endelea kuomba mpaka maneno yakate.


OMBI LA PILI;

Tutaombea Ardhi MWANZO;2;5-20

Ardhi hii ndiyo Imebemba Baraka zetu Hata maadui zetu  imebeba Laana Zetu Hata matokeo mazuri na matokeo mabaya yetu

Kabla mwanadamu hajatenda dhambi ardhi ilikuwa ikimtolea kila Aina ya Baraka lakini dhambi ikatufanya Sasa Tunateseka Tunalima hatuvuni 

Sasa Ombea Ardhi ilete Baraka mashabani kwako ilete kazi yako ilete mume wako ilete kila unachota 

Omba hivi.

Shika Ardhi iambie Wewe Ardhi Nakuamuru ulete ndoa yangu mume wangu mke wangu ninachoamini mke wangu amekukanyaga nachoamini mume wangu Amekukanya ninamvuta umulete hapa mbele Yangu katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia mara 5


Kila ugonjwa uliotumwa kwangu Kupitia wewe ardhi eidha nilikanyaga au kuruka ninasema nawewe ardhi ondoa ugonjwa ndani ondoa mapoonza ndani Yangu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia mara 4

Ardhi najua Umeshika Kazi Yangu mimi nateseka sina kazi huyo bosi mwenyewe aliyekusundiwa nikafanye kazi kwenye ofisi yake ninaamuru ardhi nenda ukamfanye atume nafasi 5 za kazi ambapo na Jina langu la Richard Julius Kushoka  Liwemo kwenye nafasi za kazi katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia mara 4

Mume wangu au mke wangu alipokimbilia baada ya kutengana Naya Ardhi nakuamuru ukatukutanishe naturudiane Tulee watoto wetu Katika Jina la Yesu.Amen 
.Rudia mara 1

Endelea Kuomba nakushughulika kila eneo Roho Mtakatifu Anavyokuongoza Piga piga charaza fimbo ingia fire fireee



MAJINA YA.  VIONGOZI WA MAOMBI MIKOANI. 

2024 Hatutembei Kinyoge au Kizembe Sisi ni watoto wa Kifalme 
;"""":"""""'........~~~~°°°°°
1:Jina:Vedasto john,

Nchi: Tanzania 

Mkoa -: Geita,

Wilaya:-chato

Eneo; Mkungo

Simu:- 0682 529 488

""":::::....."""""",,,,,,,,""""""'...

2:JINA; Lafsa Msemwa


Nchi ; Tanzania


Mkoa; Arusha 


Eneo: Usariva 


Simu:0767464057

""""""";;;;;;""""",,,,,,,,,,'''''"""""


3:Jina: Kiza Riziki


Nchi: South Africa


Eneo, Cape Town


Simu, +27621022728

::::"""""""........""""""""

4;Jina; Happy Laurent


Nch: Tanzania 


Mkoa: Songwe(Tunduma)


Eneo; chwapwa


Simu; 0746048761

::::::""""""".......""::::"""""

5.Jina; Liberatha Isdory

Nchi; Tanzania

Mkoa; Mwanza

Wilaya;Nyamagana

Eneo : Buhongwa  nyakagwe) 

Simu; 0764074226

"""";;;;;......""""""........."""""

6. Jina; Nyota Jalala

  Nchi: Tanzania

Mkoa; Kigoma

Eneo; Nyarungusu kambini.

Simu:0745565702

"""""......."""""".......

7.Jina;-Jenifa Godwin 

Nchi; Tanzania 

Mkoa; Arusha

Wilaya: Arusha DC

Eneo; Kijenge

Simu;+255762514437

"""""......"""""""......

8.Jina; Isack Ayubu

Nchi: Tanzania 

Mkoa; Ruvuma

Eneo: Mji Mwema

Simu:0710575787


9.Jina ;Agness Kitundu.

Nchi; Tanzania 

Mkoa: Dar es salaam 

Wilaya; Kinondoni

Eneo; Mbezi Beach (Tangi Bovu)

Simu; 0672692233


Soma Sifa hizi Kwa unayetaka kuwa kiongozi wa maombi ya mkoani hapo ulipo Kisha nitumie Taarifa inbox 


Sifa za Kiongozi wa Maombi

1.Awe mtu mwenye msimamo katika imani ya Kristo. 

2.Awe mtoto wa Kiroho wa Pastor Richard 

3.Awe ndani ya Group la maombi

4.Awe tayari kutafuta watu hata wawili wawe wanaomba pamoja kila Ijumaa  saa.10 jion mpaka 12 jioni

Ndani mwaka kama unashuhudiwa Tuma majina 


Andika
 Jina ; Richard Kushoka

Nchi ulipo;Tanzania 

Mkoa;Morogoro 

Wilaya;Kilosa

Eneo utakapokuwepo;Mateteni 

Simu +255759861768


Ukiri: Nipo tayari kuwa kiongozi wa maombi na kutafuta watu wa kuomba nao


Nitakuwa napost mara kwa mara najina ya viongozi mkoani

TUMESHAANZA KUWASHA MOTO MIKOANI

.jina la Kikundi Wanamaombi Moto wa Yesu(W.M)
..
MSTARI WA KUSIMAMIA

2Wakoritho 10.3-5


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni