Jumatatu, 19 Februari 2024

RATIBA YA ZIARA YA KOMBOA NYUMBA NA ENEO ULIPO

RATIBA YA ZIARA YA PASTOR RICHARD YA KUWAFIKIA WATOTO WA MUNGU MIKOANI KWENYE NYUMBA ZAO  TAR.4/3/2024 
Zoezi linaanza Soma ukiwa naye miongoni mfate inbox Pastor umwambie

🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳
Habari Watoto Wa Mungu 
Nilisema mwaka huu nitawafikia majumbani Kwenu na kuwafungua Kupitia Kuwafundisha na kuwaombea Soma mpaka mwisho ujue ratiba yako ipange sitopenda nifike kwa mtu aliyenitumia nauli awe bize halafu wafunguliwe wengine Nikifika Kwako nitaitaji hizo siku tatu uzitumie vizuri.

Tar.4-3-2024 mpaka Tar. 4-4-2024  Nitakuwa nikiwafikia kila mkoa watoto wa Mungu Nikizunguka mikoani kwa Watoto Wote mlipo popote mpaka nyumbani kwako nyayo hizi zikikanyaga kwako Amini utapokea Kufunguliwa Live.


UTARA TIBU UTAKAVYOKUWA KWA ANAYEFIKIWA NA PASTOR RICHARD 

Kutoka:23:20-23

1.Utagharamia kumsafirisha PASTOR RICHARD  Na Kumrudisha 

2.Atahudumia Siku 3 tu Haitahesabika Siku aliyofikia itaanza kuhesabika siku za masomo Kuanza Kwako 

3.UTARATIBU UTAKAVYOKUWA UKIFIKIWA NA PASTOR RICHARD 

MUDA WA DARASA TUTAKUWA TUKIANZA
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Saa.8:30 Mpaka Saa:6:00 Mchana ni Darasa na mafundisho Utazingatia Muda.

   πŸ‡MAOMBI NA MAOMBEZI KWA WENYE MATATIZO TUTAANZA SAA.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 Saa.10:00 Jion mpaka 12:00 Ni Maombi PASTOR RICHARD atawaombea nakuwafungua waliofungwa .

Muda wa Pastor Richard Kukaa ni Siku 3 Siku ya 4 ataenda Kwingine Kwa Kufata Risit za Watoto Wanaofikiwa.


PASTOR RICHARD ATAWAFIKIA WATU WOTE WATAKAO KUWA TAYARI  WAMEKAMILISHA KUTUMA NAULI ZAO NA HAKIKISHA UNAZINGATIA MUDA WA DARASA NA WA MAOMBI NI VYEMA UTOE TAARIFA KWANZA MIMI NITAKUWA NIKIKUJULISHA NIKIKUAMBIA TUMA NAULI UWE TAYARI UJUE NAFATA KWAKO KUKUFIKIA.


WALENGWA 

1.Wanafamilia wote 
2.Rafiki Zako
3.Waliofungwa na nguvu za giza
4.Wenye mahitaji mbalimbali 

UNATAKIWA KWENYE DARASA 

1.Uwe na Biblia na Notbook na Pen

Usikose hivi vitatu ili ufunguliwe kupitia mafundisho.

Kama Hujaelewa Mfate Inbox umuulize



 JIPANGE NAULI NA UNIPE TAARIFA  MAPEMA INBOX YANGU KAMA NAWEWE UNATAKA PASTOR RICHARD AKUFIKIE HAPO KWAKO ULIPO.

Tarehe moja mwisho wa Kupokea Taarifa Ukinieleza Nje ya hizo Tarehe nitakuwa nishafuga Kupokea Taarifa na Nitakao wafikia ni wale watakaonitumia Taarifa na hakikisha upo tayari kufunguliwa.








MAJINA NITAKAOWAFIKIA.

1.Agness BugeπŸ‘‰ Tanga Korongwe

2.EstherπŸ‘‰ Bangamoyo

3.Esther πŸ‘ˆπŸ‘‰Mwanza Ilemela

4.Mary kisesa mwanza

5.Naomi πŸ‘‰musoma

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni