Jumapili, 1 Februari 2026

RATIBA YA CHUONI NA SHERIA

RATIBA YA VIPINDI  CHUONI  NA SHERIA ZA CHUONI 2026

  Holy Spirit Bible College🎓
Tunaripot Chuo Tunatakiwa Wanafunzi Tufike chuoni Tar.2/2/2026

Tupo Morogoro Veta Dakawa

Natunaanza Kupokea na Kusajili Wanafunzi Wanna 2/2/2026 Mpaka 3/3/2026

Ikumbukwe Chuo ni Bure Hosteli Zipo Umeme upo maji yapo vyote buree MASOMO buree cheti buree Isipokuwa Kula unajigharamia. 

VITU VYA KUJA NAVYO.. 
1;Rimu 1
2;Counter 4
3:Pen
4:Biblia

VIPINDI DARASANI. 

1:Saa 11:40 Alfajiri Mpaka Saa:12:00 Asubuhi Maombi Wanafunzi Wote Tu naingia Kanisani Naongoza Mwenyewe Maombi haya. 

2:Saa 12;00 Alfajiri Mpaka 7;00 Asubuhi  Ni Usafi Wa Mazingira Ya Chuo Ambao napo Kuna Max Kwenye Mtihani wako utapata Wanafunzi wataajibika Kuligana Na Walivyopagiwa. 

3:Saa:2:00 Asubuhi Mpaka Saa:6;00 mchana  DARASA KIPINDI CHA KWANZA. 


4;Saa:10:00 Jioni Mpaka 12:00 Jioni 
DARASA KIPINDI CHA PILI

5:Tutakuwa na MASOMO ya DARASANI NA VITENDO HAPA HAPA CHUONI. 

6:Kila Somo Tutalifanyia Mtihani na Alama Zitajazwa kwenye Cheti chako ukihitimu. 



SHERIA ZA CHUONI

1:Hurusiwi Kutoka nje ya chuo bila ruhusa Wa Viongozi Wa Chuo. 

2:Hurusiwi Kuchat au Kuongea Na Simu Ukiwa Darasani.

3:Hurusiwi Uchelewe Ibada Yoyote Uwe umepangwa kuhudumu au hujapangwa. 

4;Hurusiwi Uchelewe Darasani Mwalimu umkute Darasani

5:Hurusiwi Kutoleana Lugha chafu au Kugombana na Mwanafunzi mwezako ukipatikana na Kosa Hili Tunakufuta uanachuo unarudi nyumbani Mara moja wote wawili Hatutasikiliza Kesi Ya Kugombana CHUONI. 

6;Tutaishi Kama ndugu na Tutapendana. 

7;Kula Utajigharamia Mwenyewe chuo hakihusiki kukulisha. 

8;Kama Unaenda Kutumika nje ya Kanisa letu la Holy Spirit Church Tanzania Cheti Utachangia 50000 Tu. 

9;Tutaitaji Kuwajua Wazazi wako au walezi wako Wa Kiroho na Tutaongea nao kabla hatujakusajili 

10:Ukisajiliwa ndio unatambulika kuwa  Mwanafunzi Wa Chuo cha Holy Spirit Bible College

11;Utafata miongozo yote ya kichuo utakayokuwa unapewa na Viongozi wako. 


     FAIDA TUTAKAZO PATA

1:Kukuza Huduma Zetu 

2;Kuheshimika na Kupata Mialiko ya kuhudumu Sehemu mbalimbali

3;Kwenda Kuidhinishwa Na Kuwekewa Nikon kuwa Wachungaji Tunaotambulika.

4;Ajira ya Kudumu na Tutafanya kazi Tunayoijua Vizuri

5;Kubadili Hali za Maisha Yetu Kiroho na Kimwili. 

6;Kuwa Daraja la Kuwavusha Wengine Na Kuwa Faida Katika Taifa letu. 

7;Kuishi na Kutumikia Kusundi la Mungu. 

8;Tutakupagia Kituo na Kukuwezesha Kuanza Kazi Ya Mungu uliyoitiwa. 

9;Tutailea Na Kuitambulisha Kwa Watu Huduma uliyopewa Na Mungu.

10;Tutakuwa Wazazi Wako Wa Kiroho na Tutakusimamia Kujua uliyofundishwa Darasani ndio unayaishi


WASILIANA NA SISI CHUO UONGOZI. 

MKURUNGEZI WA CHUO;0759861768
                                   
KATIBU WA CHUO:0785450965


WhatsApp Ya Mkurungezi Wa Chuo:
0710889892


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni