Jumapili, 1 Februari 2026

Group namba 3 Link yake

JIUNGE.GROUP LA MAOMBI NA MAFUNDISHO

KARIBU GROUP NAMBA3️⃣
Kinachopostiwa huku nikimoja na NAMBA 1️⃣Na2️⃣
Soma utaratibu ukiwa tayari joini kama haupo tayari puuza usijoin

UTARATIBU WA GROUP LETU 2026
MWAKA WA MAMLAKA. Luka;9:1

KANISA LA HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA
TUPO Morogoro ✍🏾Veta Dakawa Tunawakaribisha

#UTANG:
Tafadhali Soma Utaratibu na Uwe Tayari Kufata ili Ufunguliwe kupitia Masomo tu ukiwa msomaji mzuri na msikilizaji Wa audio kwanza lazima Ufunguliwe na lazima Imani Yako ikue na kuongezeka. Hatuamini maji chumvi sukari vitambaa Imani yetu nikukufundisha mwenyewe ukajisimamia mwenyewe. Sisi Ni Holy Spirit Church Tanzania Makao Makuu Tupo Morogoro VETA DAKAWA.
KARIBUNI 2026

ADMIN: Ni Mmoja Tu Ambaye Ni Bishop Richard Tz Namba yake Itakayokuwa inawasiliana nawewe ni moja Tu nayo ni 0710889892

EPUKA MATAPELI WA MTANDAONI. 
Watakaokufata inbox kwa Namba nyigine au kuomba Pesa au Kukuchangisha Kitu chochote cha kutilia mashaka nifate inbox WhatsApp Ukiwa ndani ya Group . 

MATUMIZI YA NDANI YA GROUP LETU. 

Group litapost Masomo Mbalimbali ,Audio na Maombi ya Kuandika Mbalimbali na Shuhuda Mbalimbali. 

MAMBO AMBAYO MWANAGROUP UYAFANYE ILI UFUNGULIWE. HAYA

1:Uwe Mtoto Wa Pastor Richard na Mwenye Msimamo na Madhabahu hii Moja Kufata Masomo na Maombi kujifunza nakuuliza maswali inbox Kama hujaelewa somo. Usihame hame Madhabahu hata ukitendewa. 

2:Uwe Mwaminifu Wa Fungu la Kumi Na Kutuma Kwa Uaminifu Kupitia maelekezo Tunayotoaga Kwenye Group Hatutakutambua kuwa Mtoto Wa Pastor Richard Kama hutoagi Fungu la Kumi na ukituma unipigie nikuombee Kataa Maisha ya Wizi Malaki:3:8-11

3:Uwe Mwaminifu Kujifunza Kujisimamia mwenyewe Siyo kulia Lia kuombewa ombewa Kataa Maisha ya unyonge Wa kumtengemea mchungaji akuombee Jifunze Mwenyewe. 

4;Kama Unakuwa na Matatizo au Unataka ushauri Wa Kiroho Huduma ya Kiroho Kuongea nami utanifata inbox
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Bonyeza  hii link ujiunge

https://chat.whatsapp.com/L4PQijdjZqQ2P1sYKYYPqe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni