USHUHUDA WA MARTINA ALIVYOFUNGULIWA KUPITIA MASOMO.
====......... =======....... =====........
Habari Mtumishi Wa Mungu Pastor Richard..? Pole na Hongera Kwa Kazi Ya Kutuombea na Kutufundisha Neno LA Mungu na Ndoa .
Mimi Ni Mwanao Wa Kiroho Martina Kiando Nipo Kwa Sasa Mtwara Mjini Ninayofuraha Kubwa Kumshukuru Huyu Mungu Kutusaindia Na Kufanikisha Harusi Yetu Salama Kabisa Nashukuru kwa Mafundisho Yako Na Masomo Yako Nimemuona Mungu Akinipigania nimeziona nguvu zake Na Leo Nipo Hapa Kumtukuza Bwana Yesu Kupitia Madhabahu hii ya Moto Wa Yesu Nimefunga ndoa Nimetimiza Agizo LA Mungu Katika Uumbaji wake.
Lipo Group LA WhatsApp LA Baba Yetu Wa Kiroho Pastor Richard linalenga Maombi na Mafundisho Mimi toka nijiunge limenivusha mengi kupitia Masomo Tu. Ndiyo limenisaindia kufikia Hapa kupitia Maombi ya kuweka Alama Yamenipa Matokeo Makubwa Sana.
Mtumie Ujumbe WhatsApp Usitume kawaida hataona Tuma kwa WhatsApp hii 0710889892 Muombe Akuunge nawewe ufate unachoelekezwa na kufundishwa utafunguliwa kiufahamu pakubwa mwambie nimepewa namba na Martina Ali kuwa akishuhudia Mahusiano yake yalivyopona mpaka akaolewa kupitia Masomo Yako.
Pastor Richard Wa Morogoro pia ni Askofu MKUU Wa Makanisa ya Holy Spirit Church Tanzania
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni