SOMO: KUKATALIWA NA BWANA
ππΏππΏππΏππΏππΏ
REJEA Vitabu;
1Samweli:15:25-26
Hosea:4:6
Kuna Watu Wamekataliwa Na Bwana Kama Sauli Pasipo Wao Kutambua Kama Bwana Amewakataa lakini ukisoma habari za Sauli mpaka anakataliwa alikuwa hapendi Neno la Bwana Hasikilizi Baba yake Wa Kiroho Samweli Alichokuwa Akimuangiza Akawa anajiona kwa cheo chake na Elimu yake Anaweza kufanya atakavyo. (1Samweli:15:)
Pia Mungu alimkataa Hosea Kwa Sababu ya kukataa kwenda Katika maarifa kuwa na Ufahamu Wa kujitambua mwenyewe mtoto Wa Mungu Inawezekana nawewe umekuwa na Tabia za Sauli au Hosea.
SABABU ZINAZOFANYA MUNGU AKUKATAE.
1;Kukosa Kutii na Kufata Baba yako Wa Kiroho anachokuambia kinachohusiana na maelekezo ya Bwana.
2:Kupuuza Neno la Bwana Kukataa Mafundisho nakutaka kuombewa tu kuombewa ombewa kujifunza Neno la Mungu hutaki.
3:Kuwa MTU Wa kudharau na kuenenda utakavyo kisa cheo chako.
TUFANYE NINI SASA.
*Tuwe Watoto Watiifu.
*Tuwe Watoto Tunaofata Maelekezo ya Baba Zetu Wa Kiroho.
*Tuwe Watoto Tunaopenda kujitambua kujua kwanini Tupo Duniani.
*Tujue Sababu ya Kuumbwa Kwetu.
.
Tambua Mungu Anawatu Wengi Na Huwa Hadekewi Simama Kwenye Zamu yako tii kiongozi Wa Kiroho yaana Baba yako uliyepewa Maana yeye ni kinywa cha Bwana Akitamka kitu kwako utapokea tu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni