LEO IJUMAA YA MAOMBI YA KUFUNGA NA KUOMBA MASAA 12.
✍πΎMAOMBI HAYA
YATAABATANA NA SADAKA Soma mpaka mwisho uelewe kama ndiyo mara yako ya kwanza
ππKAMA HUTAKUWA NA SADAKA USIACHE KUFUNGA
ππKILA IJUMAA GROUP LA MAOMBI LOTE TUNAFUNGA
Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Nakukaribisha maombi haya kila ijumaa
TUTAOMBA KWA MTIRIRIKO HUU.
✍πΎASUBUHI saa 12;00 Alfajir mpaka Saa 4:45 Asubuhi
✍πΎMchana utaomba Saa.6:00 mchana mpaka Saa.8:45 Mchana
✍πΎJion Saa.10;00 mpaka Saa.12:45
Omba hapa kabla hujafungulia kisha itume Sadaka yako na mahitaji yako inbox WhatsApp.
MAOMBI YA KUFUNGA NDIYO
Nikuutisha mwili wako ukae bila kula au kunywa siku Zima ukae miguuni mwa Bwana.
■□□□□■Mistari Ya Biblia■ □□□□■
Mathayo 4:2
Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.
Zab 119:105 Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.
FAIDA ZA KUFUNGA NA KUOMBA
1:Maombi ya Kufunga Yana nguvu Sana Yakukuvusha Pale umekuwa ukishindwa kuvuka miaka na miaka.
Mstari huu Soma;
Mt 17:21
[Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.
••••°°°°°OMBA HIVI••••°°°°°
●Kupitia kitabu cha Mathayo 17:21 Mungu Umesema Kuna Mambo hayawezi Kufunguka Kwangu mpaka nifunge Leo hii ninaamuru roho ya usingo roho ya utasa roho ya malipizi katika ulimwengu wa roho ninaupiga katika Jina la Yesu kila kilichoshindikana kwangu kupitia maombi haya yatafunguka pokea na Sadaka yangu nakutolea katika madhabahu hii ya moto wa Yesu: Amen
Rudia×8
2;Maombi Ya Kufunga Yatakupa Kibali Kwa Watu na Kwa Mungu Yaani mpaka utashagaa
Utakavyokubarika
Soma huu mstari;
1 SAMWELI 2:26 ”Na Yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA, na kwa watu pia.”
••••°°°°°OMBA HIVI••••°°°°
●Bwana Naomba Unipe Kibali na Unitambulishe ofisini Kwangu na Kwa Bosi wangu kwa wateja wangu kwa watu wangu nataka wakiniona tu wakuone wewe ndani Yangu Unipe utambulisho Ambao mwanadamu hatauzima au Adui Yoyote Yule katika ulimwengu wa Roho sawasawa na kitabu cha 1samweli 2:26 Naabatanisha na Sadaka Yangu Ya Maombi Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×4
3:Maombi Ya Kufunga Yatakufumbua Macho yako Ya Rohoni uone uliyokuwa huyaoni uyaone na hata adui zako utawajua mengi utajua vyema.
Soma huu mstari:
Zaburi 119:18 Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako.
••••••°°°°°°OMBA HIVI ••••°°°°°°°
●Bwana Yesu Fumbua macho yangu niweze Kuwa naona katika roho nipe macho ya rohoni kama Zaburi 119:18 Umesema nitakapokuja mbele zako kwa kuomba na kufunga Utanifumbua macho yangu nifumbue sasa katika Jina La Yesu.Amen
Rudia ×4
4:Maombi Ya Kufunga huwa yakuongeza kiwango cha imani na mpaka kupelekea ufanye miujiza mikubwa ya kuponya watu nakufungua watu.
Warumi:10;17
▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎
Soma mistari hii
Yohana 20:30
Yesu alifanya miujiza mingine mingi mbele za wanafunzi wake, ambayo haikuandikwa katika kitabu hiki.
▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎
Matendo Ya Mitume 19:11
Wana Wa Skeva Wajaribu Kutoa PepoNa Mungu alifanya miujiza mingi ya ajabu kwa mkono wa Paulo
°°°°•••OMBA HIVI•••°°°
●Baba Yangu Naja mbele zako mimi mwanao Richard Ninaomba Ukanitumie kutenda miujiza mikubwa mikubwa unitendee miujiza Bwana Uniponye magonjwa Yangu Unitengeneze Sawaswa na miujiza uliyotenda zamani naabatanisha na sadaka yangu hii ya Maombi Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×7
5:Maombi Ya Kufunga Utafungulia malango ya Baraka na Milango itafunguka kwa kasi ya Juu Sana.
▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎
Soma mstari huu
Kumb.Torati 28:3
Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani
••••°°°OMBA HIVI°°°••
●.Baba Nashukuru Maana umenibariki Sasa kila kazi nayoifanya na kila Biashara ninayoifanya iwe mjini au iwe huko kijijini kwetu nilikotoka umeibariki na hayupo atakayezuia Baraka hizi Naabatanisha maombi Yangu Na Sadaka hii ya maombi ipokee katika madhabahu yako naomba nikiamini katika jina la Yesu.Amen
Rudia ×5
6.Maombi Ya Kufunga yatakufanya uwe na ujazo wa Roho Mtakatifu uliofurumia masaa yote.
Mstari huu Soma
Matendo 11:24
Maana alikuwa mtu mwema amejaa Roho Mtakatifu na imani; watu wengi wakaongezeka upande wa Bwana.
••••°°°OMBA HIVI °°°•••••
●Bwana Yesu Ansate Yesu Ansate Yesu Nashukuru kwa ajili ya kunijaza nguvu zako za Roho Mtakatifu ninaomba Bwana Uogeze kila siku ufurike kabisa niwe wa ujazo wa Roho Mtakatifu Naabatanisha na Sadaka yangu Bwana nakutolea wewe Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×10
7:Maombi Ya Kufunga Huachilia Toba Ya Kweli Yenye nguvu mbele za Bwana.
°°°°•••••~~~~
Mstari huu soma;
2 Nyakati 7:14
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
°°°°••OMBA TOBA YA KUMANISHA°°°°°•••••
●Eeeh Bwana Yesu Naomba unisamehe mimi mwenye dhambi nimekukosea Sana Katika mawazo yangu fikira zangu nature nakuziugama dhambi zangu nifutie kila hatia unifute kwenye kitabu cha hukumu na mateso ukaniandike kwenye kitabu cha Uzima Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×3
8:Maombi Ya Kufunga Yakupa mume/mke sahihi na utafurahia ndoa yako.
-----=====
Soma hii mistari
Mithali. 31:10-11
10. Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?Maana kima chake chapita kima cha marijani.
11. Moyo wa mumewe humwamini,Wala hatakosa kupata mapato.
••••°°°OMBA HIVI •••°°°°
●Bwana wewe ndiye unayemjua mume wangu/Mke wangu Katika akili zangu na mawazo yangu nimeshindwa kumjua naomba unikutanishe naye mwaka huu kabla kuisha niwe nimeolewa katika Jina la Yesu.Amen
Rudia×3
9;Maombi Ya Kufunga hufanya kila kitu na kukupa matokeo ya haraka Sana.
=========~~~~~~~
Mstari huu Soma.
Marko 9:23
Yesu akamwambia, “Kama ukiweza kuamini, yote yawezekana kwake yeye aaminiye
°°°°°••••OMBA HIVI °°°°••••
●Baba ninaamini hata hili nalopitia wewe Bwana Unaenda Kutenda na Kunijibu Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×4
10:OMBI LA KUMI ENDELEA KUOMBA SASA MAHITAJI MBALIMBALI NENDA HATA NUSU SAA.
Ni muda wowote Mwisho jioni Saa 12:00 Jioni unapofungulia
KISHA SADAKA YAKO UTAITUMA KABLA YA SAA MBILI USIKU SIJAPANDA MADHABAHUNI
M-PESA +255759861768
Tigo Pesa+255710889892
Halo Pesa +255628355985
CRDB BANK π¦ 0152361572400
KAMA UPO NJE YA NCHI TUMIA NJIA HIZI KUTUMA SADAKA
Worldremit/Moneygram/Narra/west union
Jina ;ππRICHARD JULIUS KUSHOKA