Jumanne, 26 Desemba 2023

MAOMBI YA KUSHUGHULIKIA MATAMSHI

MAOMBI YA KUSHUGHULIKIA  MATAMSHI YA LAANA ULIYOWAHI KUTAMKIWA AU KUJITAMKIA.
πŸ—£πŸ—£πŸ—£πŸ—£πŸ—£πŸ—£
UFAFANUZI MFUPI:

Kuna Watu Wanateseka Leo Kupitia Matamshi mbalimbali waliowahi kutamkiwa na watu au kujitamkia wenyewe  Adui huweka kwako kama mtengo kipindi uwapo na ghadhabu au hasira unaweza kumtamkia mtu maneno mabaya yenye kumfuga naye kwakuwa hajui Kujifungua inakuja hiyo hali anaipitia kweli Leo hii Nataka ukajifungue mwenyewe kwa kuomba maombi haya.

Tafadhali haya maombi kama yanakulenga omba na uwe tayari simama umalize siku kumi wapo watu wanasoma tu kuomba haombi halafu  Anateseka kuomba huombi jifunze kuomba.

MAMBO YAZINGATIE KABLA YA KUOMBA. 

1.Hakikisha Upo tayari na Moyo wako upo tayari Kuomba.

2.Maombi haya Utayaomba Usiku tu muda wowote uliotulia kwako Utaomba Siku 10 Mfululizo 

3.Utaandaa Sadaka Yako Ya Kujitenga na Matamshi Mbalimbali Ambayo Utaituma Siku ya Kumaliza Maombi na Unanipigia Sadaka ni kiasi unachoona wewe cha faa Kumtolea Mungu Wako.

4.Ukijifungua Usijifunge tena au Kujitamkia laana mtu yeyote akikutamkia vibaya Sema kwangu haitakuwa.

5 UTAOMBA KWA KUFATA MUONGOZO NA MAELEKEZO HAPA CHINI NINAYOKUPA.


A:MAOMBI YA KUANZA NAYO OMBEA KINYWA CHAKO

SOMA; Kumb.Torati:32:1-10 Kabla hujaanza kuomba


MSTARI WA KUSIMAMIA;
Kumbukumbu la Torati 32:1
[1]Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitanena; 
Na nchi isikie maneno ya kinywa changu. 


1;Nakifungua Kinywa changu Kitoke Kwenye Kila Namna Ya Matamshi Yasiyompa Bwana Utukufu Kuanzia Leo Kwa Jina la Yesu.Amen
Rudia ×3

2:Bwana Kinywa changu kifundishe kiwe na nguvu ya kuangusha falme na Anga zote za maadui Wanaopitia Kinywa changu Kutaka Kunitesa au Kunitumikisha niwe natoa Lugha chafu maneno mabaya kwa watu Eeh Bwana nisaindie Kuniongoza katika maneno Safi katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia ×4


3;Endelea uombe ukatae kinywa chako kutumika kuwalaani wengine au kujilaani omba tu maneno yanayokuja Tumia Dakika 10.


.B.LANGO LA KINYWA LINALOPITISHA MANENO MACHAFU YATOKE KINYWANI MWAKO.

Kila neno unalotoa kinywani mwako inatengemea na lango hili limefungulia liwe lango la Kinywa cha Kumsifu shetani na kutoa maneno yake utakuta mtu ameokoka anatukana na anaongea maneno machafu kuwatamkia wengine 

Kama ukifungua lango la Mungu litawale kinywa chako utatoa maneno yaliyo mema yenye kumpa sifa Bwana.

OMBA HIVI KUFUNGA LANGO.

1 Nafunga Kila lango la Kinywa cha laana Nafunga kila nguvu za lango la kinywa cha maneno mabaya kuanzia Leo nafungua kinywa changu kiwe lango la Roho Mtakatifu Nikataoe maneno yenye kuponya nafsi za watoto wa Mungu nikakemee uovu nakukaripia kila kitu kinachoenda kinyume na Elimu ya Mungu Kwa Mamlaka Ya Jina la Yesu Amen

Omba hapa rudia ×7



C.MADHABAHU YA KINYWA CHAKO.

Hili katika ulimwengu wa kiroho ni mahusiano kati yawewe ulivyo na Yale maneno unayoyatoa huwezi ukatoa lugha chafu au maneno machafu ya kumlaani Mtu kama hayana uhusiano nawewe mtakaji.


OMBA HIVI.
.
1.Kila Madhabahu Ndani ya Kinywa changu iliyoweka maneno mabaya au matamshi ya kujifunga mwenyewe au kuwafunga wengine natamka ivunjike ivunjike ivunjike kwa kila eneo ilipojishikiza ndani yangu kuanzia Leo najitakasa kwa Damu Ya Yesu Katika Jina la Yesu.Amen 

Omba Rudia ×5

.
D.ULIZI WA KINYWA. 

Ulizi wa Kinywa katika ulimwengu wa roho namanishi ni kile mtu anapenda kukitumia kujihami nacho wapo watu mfano wachawi anakuambia tutaona kama kesho utaamka Salama Hautakuja kuolewa.

Ulizi ndiyo kifungo chenyewe Mfano Tutaona Au hutaolewa au hutapanda daraja au cheo lile neno la kwanza kwakuwa kukupinga ni ulizi tosha kila utakapotaka utoke lile neno linakurundisha nyuma tena hata akija kufa litaendelea kukutesa labda ufundishwe somo la vifungo ndio utafunguka.


OMBA HIVI.

1;Nakataa Kila Maneno ambayo yalitamkwa kufunga maisha yangu Kila Matamshi Nayachoma Moto Yaugue Yaugue nayachoma nayachoma yateketee kabisa kwa Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×2

2.Nashusha shoka likate kila ulizi wa matamshi ambayo nilitamkiwa au kijitamkia Kwa Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×2

3:Nafyeka Nafyeka kila ulizi uliouzunguka kinywa changu ulizi wa matamshi mabaya ndani ya kinywa nakitakasa kwa Damu ya Yesu Kitakasike nataka kinywa changu utoe maneno yenye kumtukuza Mungu siyo kunug unika au kujikatia tamaa maneno ya kushindwa hayatatoka kinywani Mwangu Kuanzia Leo Kila Nikitamka Nitoe maneno mema Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4

4.Omba endelea maneno Roho Anayokupa omba ndani dakika 10.


E.JITAMKIE USHINDI NA BARAKA

Ni vyema maishani mwako ujifunze kujitamkia ushindi kila eneo unaloona huwezi au kushindwa.

Watu wengi Shetani Anawaweza Kuwapiga Kwa Sababu huwa wanapoona Wanapita Kwenye Wakati mgumu wanaanza kulaani siku ya kuzaliwa Kwao Wanaona Kama hawana thamani bila kujua adui anapitia kinywa chao kuwaingia na Kuwatesa Zaidi ili wafikie hatua watende dhambi kabisa 

OMBA HIVI 

1.Mimi Pastor Richard Nimtumishi mkubwa nakataa kutumika katika mazingira ya viwango vya kawaida viwango vyangu vikawe vya Kimataifa Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4

2.Kuwa na Biashara ndogondogo mimi nakataa nataka niwe mfanyabiashara mkubwa kwa Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×3

3.Maisha ya Kuwa naomba omba ndugu zangu mimi sijawa omba omba Kuanzia Leo roho ya kuomba omba ninakuamuru ondokaaa ndani yangu mimi nimebarikiwa kuanzia Leo ndugu zangu ndio watakaoniomba nakuwasaindia Kwa Jina la Yesu.AMEEN 

Rudia ×3

4.Namka Nguvu ya Maombi kwangu haitashuka wala kupugua nitakuwa fayaa hatari na kinywa changu kitoe maombi yenye Nguvu ya Kuhamisha kila mateso kila hali ya mateso ndani yangu nasema kuanzia muda huu minyororo ianze kukatika katika kwa Jina la Yesu  maisha yangu yawe ushuhuda tosha kwa wegine Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×3

5.Pesa nakumiliki hautanimiliki Nakutumia na Kukupangia hutanipagia wewe namna ya kukutumia kuanzia Sasa utii na ufate amri zangu kwa Jina la Yesu.AMEEN 

Rudia × 2

6.Endelea kuomba kwa kufata muongozo niliokupa omba mpaka maneno yakate.

Kumbuka haya maombi yanaitaji uwe tayari na uelewe unajiondoa kwenye nguvu kubwa iliyoshika maisha yako Omba kwa kumanisha maombi haya .

BAADA YA KUMALIZA SIKU 10 OMBEA SADAKA YAKO. 

Kupitia hii Sadaka Bwana Umeona Moyo wangu nilivyojitoa nikikusihi kila eneo ambalo nilijitamkia unifungue nawewe umenifungua na hata matamshi ambayo nilitamkiwa umenifungua maombi yangu sikuja mikono tupu nimeabatanisha hii Sadaka hiki ndicho nilichojariwa natamani nikutolee zaidi naomba tu unifungue nakubariki uchumi wangu pokea Sadaka hii kwenye madhabahu yako ya mbiguni ipate kibali na utende naitoa kupitia madhabahu hii ya Moto Wa Yesu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4

KISHA TUMA KWA:

M-PESA +255759861768

TIGO PESA +255710889892

HALLO PESA +255628355985

CRDB BANK;0152361572400

KWA WALIOPO NJE YA NCHI. 
Moneygram,Worldremit, Western Union, Nara,

JINA: RICHARD JULIUS KUSHOKA 


Hakiki Jina na ukituma Sadaka nipigie unaniambia nimemaliza maombi fulani.

MAOMBI YA KUONDOA ROHO VIG,AG,ANIZI

MAOMBI YA KUSHUGHULIKA NA ROHO ZILIZOG,AG,ANIA KWENYE MAISHA YAKO.

Ufafanuzi mfupi;

Katika ulimwengu wa roho zipo roho ambazo zinamshikilia mtu hata akiomba hali inarudi tena akiomba hali inarudi hizi huitwa roho za kug,ag,ania kitu katika maisha yako kumbe unatakiwa uombe ujifungue kwenye minyororo hiyo.

Ingia maombi kushughulikia hiyo hali kama unajiona inakutesa hali kama hiyo.

MAMBO AMBAYO ZINGATIA.
.1.Omba ukiwa huna kazi umetulia.

2;Ukisikia Roho Mtakatifu anakupa maneno endelea kuomba maana utakapokuwa unaomba maneno yatakuja.

3.Lega Shabaha  Kuligana na Tatizo linalokushikilia.

4.Utakuwa na Sadaka Yako ya Maombi Ambayo utaituma unanipigia hakikisha utaiombea Roho atakavyokuongoza
Na utaomba Siku 3 Mfululizo  


MSTARI WA KUSIMAMIA;

Yohana 10:10
[10]Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. 

Soma rudia mara nne.


OMBA HIVI.

1.Kila roho ya kig,ag,anizi ndani yangu ninaiamuru iniachie maisha yangu damu yangu mifupa yangu kwa Jina la Yesu.Amen 
×3

2.Nguvu zote za ufalme wa ngiza zinazopitishwa kupitia lango la ndoto  kuanzia Leo ninafunga kwa mamlaka ya Jina la Yesu Mnazaret ndani yangu nguvu za Moto wa Yesu zinitawale katika Jina la Yesu.Amen 
×3


3.Napinga Kila Amri za mawazo ya kipepo ndani yangu kila imani za kukiri udhaifu nazipinga Kila hali yoyote inayotishia kufunga nguvu ya kuomba nisiweze kutamka Naifunga Kwa Jina la Yesu.Amen 
×5

4.Kila roho inayoendelea kunishikilia nikae kwenye maisha ya utumwa maisha ya mateso sura za mateso na mahagaiko nazivua mimi siyo wa mateso kila roho zilizoshikilia ziniachie sizitaki kwa Jina la Yesu Kwa Jina la Yesu Kwa Jina la Yesu 
Najitamkia Baraka zinifate tele uzima unifate tele katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia×7

5.Ombi la Tano omba unavyoongozwa kujifungua mwenyewe 


Kama hujui kuomba fanya mazoezi mara kwa mara kuomba utajua kuomba.



Ukimaliza Siku ya Tatu Ombea Sadaka yako Tuma kisha nipigie nikuombee hiyo roho isirudi tena.

M-Pesa 0759861768

Tigo Pesa 0710889892

Halo Pesa 0628355985
.
CRDB BANK 🏦 0152361572400

Jina Richard Julius Kushoka 


Omba maombi haya ya Vita tembea tembea natamka kwa mamlaka kaza kinywa unapoomba kukataa hali yoyote
 

Jumamosi, 23 Desemba 2023

SOMO: KUSUDI LA KUZALIWA YESU

KUSUDI LA KUZALIWA KWA YESUKUSUDI LA KUZALIWA KWA  YESU

 



(Mathayo 1:18-21)

Mambo utakayojifunza

1.Kusudi la kuzaliwa kwa Yesu

2.Namna tunavyopswa kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu

UTANGULIZI

Watu wengi wakristo na wasio wakristo wamekuwa wakifanya sherehe katika sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu maarufu kama krismasi (Christmass).

Watu wengi wakristo na wasio wakristo wamekuwa wakisherehekea vibaya sikukuu hii kutokana na kutofahamu hasa lengo la kuzaliwa kwa Yesu au lengo la Yesu kuja hapa ulimwenguni.

Watu wengi wamekuwa wakiweka nguvu nyingi katika manunuzi ya vitu mbalimbali kama mavazi na chakula  pamoja na kwenda kutalii sehemu mbalimbali, sio vibaya kufanya hayo yote nyakati za sherehe ila kabla ya kuwekeza nguvu nyingi katika mambo hayo ni vema uwe na ufahamu kuhusu sherehe hii kiini chake ni nini, ukifahamu lengo la Yesu kuja hapa duniani naamini hautasherehekea kimakosa.

N.B Tunaposherehekea kuzaliwa kwa Yesu tarehe 25 mwezi wa 12 kila mwaka haimaanishi kuwa Yesu alizaliwa tarehe hiyo ila tunaitumia siku hiyo kukumbuka au kama kumbukumbu ya upendo wa Mungu kwa wanadamu kwa kumtoa mwanawe wa pekee kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu.

KUSUDI LA KUZALIWA KWA YESU

(Mathayo 1:21)

“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.”

Kutokana na andiko hilo tunapata kufahamu kuwa kusudi la Yesu kuja hapa ulimwenguni ni ili “AWAOKOE WATU WAKE NA DHAMBI ZAO”

 

(Luka 10:19)

“Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”

Kutokana na fungu hilo tunapata kufahamu kuwa Yesu “ALIKUJA KUTAFUTA NA KUOKOA KILE KILICHOPOTEA”

 

Kwa kuwa Yesu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea ndio maana malaika wa Mungu wanasherehekea pale mwenye dhambi mmoja anapotubu au anapomwamini Yesu.

 

“Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.”

(Luka 15:7)

 

NAMNA TUNAVYPASWA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA KUZALIWA KWA YESU (CHRISTMASS)

1.     Tunapaswa kuwaambia wengine habari za Yesu ili waokoke (tunapaswa kuhubiri injili)

(Mathayo 28:19-20)

“19. Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; 20. na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.”

 

Kwa kuwa kusudi la kuzaliwa kwa Yesu ni kuwaokoa wanadamu, tunapaswa kusherehekea sikukuu hii kwa kuwashuhudia wengine au kuwaambia wengine habari za Yesu au kuhubiri injili.

 

2.     Tunapaswa kutoa fedha zetu au vifaa mbalimbali vitakavyosababisha injili iwafikie wale ambao hawajamwamini Yesu.

(Warumi 10:14-15)

“14. Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri? 15. Tena wahubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema!”

 

Sisi ambao tayari tumemwamini Yesu tunapaswa kutoa fedha zetu ili injili ihubiriwe, tunapaswa kununua vifaa vya kuhubiria injili na kuwapa wahubiri au kuvitoa makanisani ili injili izidi kuhubiriwa pia tunapaswa kuwasafirisha wahubiri wa injili ili waende kwenye umisheni.

 

Biblia imeweka wazi kuwa hakuna askari aendaye vitani kwa gharama zake mwenyewe, askari anahitaji kupelekwa.

“Ni askari gani aendaye vitani wakati wo wote kwa gharama zake mwenyewe?” (1 Wakoritho 9:7a)

 

3.     Tunapaswa kumpa Mungu vilivyo bora .

(Mathayo 2:11)

Mamajusi walipokuja kumtazama Yesu walimtolea Yesu tunu, uvumba, dhahabu na manemane.

Tunaposherehekea kuzaliwa kwa Yesu tunapswa kukumbuka kuwa Yesu alitolewa na Mungu kama zawadi ya Mungu kwa ulimwengu ili wanadamu waokolewe, kama Mungu alitoa kilicho bora 


Biblia Inasema Nini Kuhusu Krismasi?

Jibu la Biblia

 Biblia haitaji tarehe ambayo Yesu alizaliwa, wala haisemi kwamba tusherehekee siku yake ya kuzaliwa. Kama vile kitabu McClintock and Strong’s Cyclopedia kinavyosema: “Mwadhimisho wa Krismasi haukuagizwa na Mungu, wala hautokani na AG [Agano Jipya].”

 Kinyume cha hilo, historia ya Krismasi inafunua kwamba inatokana na sherehe za kipagani. Biblia inaonyesha kwamba tunamchukiza Mungu ikiwa tunamwabudu katika njia ambayo yeye hakubali.—Kutoka 32:5-7.

Historia ya desturi za Krismasi

  1.  Kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Yesu: “Wakristo wa karne ya kwanza hawakusherehekea siku ya kuzaliwa kwa [Yesu] kwa sababu waliiona sherehe ya kuzaliwa kwa mtu yeyote kuwa desturi ya wapagani.”—The World Book Encyclopedia.

  2.  Desemba 25: Hakuna uthibitisho wowote kwamba Yesu alizaliwa tarehe hiyo. Huenda viongozi wa Kanisa walichagua tarehe hiyo ili ipatane na sherehe za kipagani zilizofanywa wakati wa au karibu na majira ya baridi kali.

  3.  Kupeana zawadi, sherehe, karamu: Kitabu The Encyclopedia Americana kinasema: “Desturi nyingi za kujifurahisha zinazofuatwa wakati wa Krismasi zinatokana na Saturnalia, sherehe ya Waroma iliyofanywa katikati ya mwezi wa Desemba. Kwa mfano, karamu zenye madoido mengi, kupeana zawadi, na kuwasha mishumaa zilitokana na sherehe hii.” Kitabu EncyclopΓ¦dia Britannica kinasema kwamba “hakuna kazi wala biashara iliyofanywa” wakati wa Saturnalia.

  4.  Taa za Krismasi: Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema kwamba wazungu walirembesha nyumba zao kwa “taa na mimea ya kijani-kibichi ya kila aina” ili kusherehekea majira ya baridi kali na ili kuwazuia roho waovu.

  5.  Mlimbo, mholi: Kwa kawaida mimea hiyo hutumiwa kama mapambo wakati wa Krismasi. “Wadruidi (makasisi Waselti) walisema kwamba mlimbo ulikuwa na nguvu za kimuujiza. Mholi, mmea ambao haunyauki, uliabudiwa kama ahadi ya kurudi kwa jua.”—The Encyclopedia Americana.

  6.  Mti wa Krismasi: “Kuabudu miti lilikuwa jambo la kawaida kati ya wapagani wa Ulaya na waliendelea na zoea hilo baada ya kuwa Wakristo.” Kati ya mazoea yaliyobaki ya ibada hiyo ya miti ni desturi ya “kuweka mti wa Krismasi kwenye mwingilio au ndani ya nyumba wakati wa sikukuu zinazofanywa katikati ya majira ya baridi kali.”​—EncyclopΓ¦dia Britannica.


MAOMBI YA KUMKOMBOA MTOTO ALIYEZALIWA NJE YA NDOA

MAOMBI YA KUMKOMBOA MTOTO ALIYEZALIWA NJE YA NDOA.

Hii huwa ni roho ambayo mtoto mwenye changamoto hii asipokombolewa bado ataadamwa na maisha ya mikosi pia kuzalia au kuzalisha nje ya ndoa Atakuwa ni lango la kuigiza uharibifu na kutoa uharibifu. Shetani humtumia mtoto huyu kwa kuweza kuwaingiza hata waliozaliwa ndani ya ndoa kuingia kwenye uzinifu ni roho hatari Sana na watu wengi huwa hawaichukulii kwa uzito shida inakuja kuwapata watoto waliozaliwa.
Mfano Daudi kwenye biblia roho ya uzinifu ilikuwa ikimuendesha mpaka akalala na mke wa uria Kilichomkomboa  Alipoingia MAOMBI  YA UTAKASO: Zaburi.51 yote.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni Kanisa la Holy Spirit church Tanzania 


MAOMBI TUTAKAYOOMBA YA UTAKASO NA MSAMAHA (Zaburi;51 Soma yote)


Mambo Ya Kuzingatia Unapoomba. 

1.Moyo wako uwe tayari kumrudia Mungu kama hujaokoka nipigie uongozwe toba.

2.Nia na Dhamira yako ikusundie kutengeneza na Mungu.

3.Wale Tulio na Watoto Wadogo wasioweza kuomba Sisi wazazi tutasimama kwa niaba yao kuomba haya maombi.


4.Adaa Sadaka  yako 20000 nakuendelea kwa ajili ya ukombozi wa kumtenga na hizo roho.(Tafadhali kama Hujui Sadaka nguvu yake Usitoe Sababu ukitoa huku hujui haitafanya kazi.)Ukituma Sadaka hakikisha unanipingia Simu unieleze umemaliza maombi haya.

5.Maombi haya Utaomba Siku 5 ukiwa Umefunga na Ukisoma zaburi 51 nakutafakari Kila Siku usiku Saa 1:00 usiku-6;00Usiku

6.Rudia rudia maelekezo uelewe kabla hujaomba na Fata hatua za uombaji kama nilivyoelekeza.
Roho Mtakatifu akupe nguvu uombe ufikie mwisho wa maombi


MAOMBI YA TOBA.

Baba ninaomba unisamehe mimi ni mwana niliyeshindwa kusikia Maonyo yako nilisoma Neno lako la Mathayo.5:27 Lakini Bado nilichangua maisha kuzini nimekukosea Bwana Nimekosa Nimekosa Nirehemu nirudie mwanao naomba Baba Usingeuze Shingo ukatazama Pembeni nitazame Tena nalia kwa uchungu nalia kwa maumivu ya kukosana nawewe maisha haya ya kuzini siyataki naomba uniletee baba mke aliye wangu mume aliye wangu Baba wasamehe Wanangu niliowazaa Kwenye Dhambi ya Uzinifu Msamehe mwanangu Neema Msamehe mwanangu Goodluck Masamehe mwanangu Lucy Masamehe mwanangu Richard Baba nawaleta mikononi mwako kila laana niliyokuwa nimeibemba mimi mzazi wao na wao ikawafatilia naikata kabisa wawe huru Baba Nashukuru Sana Baba Kwa Kunisamehe Nashukuru Sana Pokea Sifa hizi zikufikie kwenye kiti chako Nazileta kwako Uniondale Uso wa mikosi univishe uso wa Baraka kila niendapo katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×8



MAOMBI YA UTAKASO

πŸ‘‡πŸ‘‡➖➖➖➖πŸ‘‡πŸ‘‡
1 Wathesalonike 4:7
[7]Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso. 

Tunapokuwa miili yetu tumeichafua tunamfanya Roho Mtakatifu aside ndani yetu na kuruhusu mawazo machafu nia za kufanya ya mchukizayo yanakuwa na nguvu maana kupia kuwaza vibaya shetani hupanda mbengu yake ya uovu. KARIBU MAOMBI HAYA YA UTAKASO UTAOMBA 

A.UMEPIGA MAGOTI AU

B.UMELALA KIFUNDIFUNDI UMENYOSHA MIGUU YAKO VIZURI CHUMBANI KWAKO TULIVU NA PASIWE NA KELELE.


OMBA HIVI TAMKA MANENO

1:Baba nakushukuru umekuwa mwema kwangu umenipa neema kujiona maovu yangu hata kuamua kukurudia Wewe Kikweli Bila Hii Neema nilikuwa nishapotea lakini nashukuru Mungu umenifanya nikujue wewe unanipenda na upendo wako kwangu leo umedhibitika baada ya kutakasa mawazo kutaka nia zangu kutakasa Maisha katika Jina La Yesu.Amen 
.Rudia ×4

2.Najitakasa nakusafisha mwili wa dhambi nauosha kwa Damu Ya Yesu  Nakataa Kubemba uchafu tena katika maisha yangu ya Wokovu Katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia ×3

3 .Uso wangu ukatakasike Akili yangu itakasike kinywa changu Kitakasike Moyo wangu utakasike Katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia ×1

4.Nipe moyo safi akili Safi mawazo safi nia safi mienendo Safi naitaji nikupendeze Bwana Karibu kwenye mifupa yangu Damu yangu uondoe kila hatia iliyonitenga nawewe Kwa Jina la Yesu.Amen 
Rudia ×7


5.Omba hili ombi Roho Mtakatifu atakupa maneno yatamke Jitakase kisha mshukuru Mungu kukuwezesha kumaliza Maombi siku ya kwanza...



MAOMBI YA SIKU YA 6 UTAOMBEA HIYO SADAKA 

Baba hii Sadaka naitoa kwako ipokee wewe ipate kibali cha ukombozi wa_______(weka majina kama ya wanao au lako)Watoke kwenye roho za uzinifu laana zilizofatilia maisha yao laana zilizofatilia maisha yangu Maisha yangu maisha ya Wanangu yakawe nuru nuru kweli kweli Katika Jina la Yesu.Amen 

Omba ×5 

TUMA KISHA UNIPINGIE.

M-PESA 0759861768

TIGO PESA 0710889892

HALO PESA 0628355985

Jina Richard Julius Kushoka 

Nakadhia Tena Kama hujui nguvu ya Sadaka Au Ujui unayemtolea na unaitoa hiyo sadaka kwanini katika maombi haya Tafadhali Acha Usitoe HAYA MAOMBI YACHUKUE KWA UZITO.

Wapo watu leo wanateseka chanzo ni hii dhambi ya uzinifu ambapo walizaliwa kwenye uzinifu sasa wanaadamwa na mikosi hawaolewi au kuowa wengine wanazalia nyumbani tu wengi wameamua wishing ndani ya laana hii na wamezaa . 


Tafadhali Fata maelekezo kila hatua Rudia rudia uelewe kisha omba.

Ijumaa, 22 Desemba 2023

Majina ya waliofunga

MAJINA YA WALIOFUNGA IJUMAA YA LEO Tar 26/01/2024

IJUMAA YA 3 Mwaka 2024 Mwaka Wa Kusitawi na Bwana  
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Hakiki Jina lako kama lipo haya ni majina ya waliofunga  nitakayoyaombea Leo 
Hata kama Huna Sadaka hakikisha unafunga na unanitumia mahitaji yako na majina kamili kabla ya Saa.2:30 

Sadaka ya Maombi ya Kufunga huwa hakuna kiwango unatoa hata kama unamia mbili 200/= Inakubalika lakini jifunze maombi ya kufunga uwe unakuwa na Sadaka Na Usijishushe katika Eneo la Sadaka.(Matendo:10;4)

Zaburi:20:3

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ‘‰HAJATOA SADAKA ✖

πŸ‘‰AMETOA SADAKA ✅


JiNA                        SADAKA 


1 Lipina David πŸ‘‰Sh.5000✅

2.Farida πŸ‘‰Sh.5000✅

3..Lindia YonaπŸ‘‰Sh.1000✅

4.Happnes EgideπŸ‘‰Sh.1000✅

5.Mery Kennedy πŸ‘‰Sh.✖

6.Vestina SeleatinπŸ‘‰Sh.✖

7.Fatuma HashimπŸ‘‰Sh.✖

8.Grace PetroπŸ‘‰Sh.✖

9.Raheli MarkoπŸ‘‰Sh.✖

10.

11.

12

13

14.

15.

16.

17.

18.

19

20.

21.

22.

23.

24.

25.

26.

27

28

29.

30.


KUMBUKUMBU.
IJUMAA YA KWANZA TAR.12/1/2024
TULIFUNGA watu 63

IJUMAA YA PILI Tar.19/1/2024 TULIFUNGA
Watu 70

IJUMAA YA TATU TAR.26/1/2024  Tulifunga watu 75

Ukituma Sadaka yako unatuma na mahitaji yako na muamala inbox yangu WhatsApp  mwisho saa mbili na nusu usiku.

Kama ni wakala tuma Jina lako na Jina la wakala na kiasi ulichotuma

Kwa wale ambao huna Sadaka unatuma Jina lako na mahitaji yako mapema kabisa

Namba za Kutoa Sadaka ya Maombi ya Kufunga 

M-PESA 0759861768

Tigo Pesa 0710889892

Halo Pesa 0628355985


Group nzima Kila Ijumaa Tunafunga  na Saa mbili na nusu napanda madhabahuni kuyaombea majina ya waliofunga.




Alhamisi, 21 Desemba 2023

Ijumaa ya kufunga

LEO IJUMAA YA MAOMBI YA KUFUNGA NA KUOMBA  MASAA 12.

✍🏾MAOMBI HAYA
YATAABATANA NA SADAKA Soma mpaka mwisho uelewe kama ndiyo mara yako ya kwanza

πŸ‘ˆπŸ‘‰KAMA HUTAKUWA NA SADAKA USIACHE KUFUNGA 

πŸ‘ˆπŸ‘‰KILA IJUMAA GROUP  LA MAOMBI LOTE TUNAFUNGA 


Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Nakukaribisha maombi haya kila ijumaa



TUTAOMBA  KWA MTIRIRIKO HUU.

✍🏾ASUBUHI  saa 12;00 Alfajir mpaka Saa 4:45 Asubuhi 

✍🏾Mchana utaomba Saa.6:00 mchana mpaka Saa.8:45 Mchana

 ✍🏾Jion Saa.10;00 mpaka Saa.12:45 

Omba hapa kabla hujafungulia  kisha itume Sadaka yako na mahitaji yako inbox WhatsApp. 


 MAOMBI  YA KUFUNGA NDIYO 

Nikuutisha mwili wako ukae bila kula au kunywa siku Zima ukae miguuni mwa Bwana.



■□□□□■Mistari Ya Biblia■ □□□□■


Mathayo 4:2 


Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.



Zab 119:105 Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.



FAIDA ZA KUFUNGA NA KUOMBA 



1:Maombi ya Kufunga Yana nguvu Sana Yakukuvusha Pale umekuwa ukishindwa kuvuka miaka na miaka.


Mstari huu Soma;


Mt 17:21 


[Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.



••••°°°°°OMBA HIVI••••°°°°°


●Kupitia kitabu cha Mathayo 17:21 Mungu Umesema Kuna Mambo hayawezi Kufunguka Kwangu mpaka nifunge Leo hii ninaamuru roho ya usingo roho ya utasa roho ya malipizi katika ulimwengu wa roho ninaupiga katika Jina la Yesu kila kilichoshindikana kwangu kupitia maombi haya yatafunguka pokea na Sadaka yangu nakutolea katika madhabahu hii ya moto wa Yesu: Amen


Rudia×8 



2;Maombi Ya Kufunga Yatakupa Kibali Kwa Watu na Kwa Mungu Yaani mpaka utashagaa


Utakavyokubarika 


Soma huu mstari;


1 SAMWELI 2:26 ”Na Yule mtoto, Samweli, akazidi kukua akapata kibali kwa BWANA, na kwa watu pia.”



••••°°°°°OMBA HIVI••••°°°°


●Bwana Naomba Unipe Kibali na Unitambulishe ofisini Kwangu na Kwa Bosi wangu kwa wateja wangu kwa watu wangu nataka wakiniona tu wakuone wewe ndani Yangu Unipe utambulisho Ambao mwanadamu hatauzima au Adui Yoyote Yule katika ulimwengu wa Roho sawasawa na kitabu cha 1samweli 2:26 Naabatanisha na Sadaka Yangu Ya Maombi Katika Jina la Yesu.Amen 


Rudia ×4



3:Maombi Ya Kufunga Yatakufumbua Macho yako Ya Rohoni uone uliyokuwa huyaoni uyaone na hata adui zako utawajua mengi utajua vyema.



Soma huu mstari:


Zaburi 119:18 Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako.



••••••°°°°°°OMBA HIVI ••••°°°°°°°


●Bwana Yesu Fumbua macho yangu niweze Kuwa naona katika roho nipe macho ya rohoni kama Zaburi 119:18 Umesema nitakapokuja mbele zako kwa kuomba na kufunga Utanifumbua macho yangu nifumbue sasa katika Jina La Yesu.Amen 


Rudia ×4



4:Maombi Ya Kufunga huwa yakuongeza kiwango cha imani na mpaka kupelekea ufanye miujiza mikubwa ya kuponya watu nakufungua watu.



Warumi:10;17


▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎


Soma mistari hii


Yohana 20:30 


Yesu alifanya miujiza mingine mingi mbele za wanafunzi wake, ambayo haikuandikwa katika kitabu hiki.


▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎


Matendo Ya Mitume 19:11


Wana Wa Skeva Wajaribu Kutoa PepoNa Mungu alifanya miujiza mingi ya ajabu kwa mkono wa Paulo



°°°°•••OMBA HIVI•••°°°



●Baba Yangu Naja mbele zako mimi mwanao Richard Ninaomba Ukanitumie kutenda miujiza mikubwa mikubwa unitendee miujiza Bwana Uniponye magonjwa Yangu Unitengeneze  Sawaswa na miujiza uliyotenda zamani naabatanisha na sadaka yangu hii ya Maombi Katika Jina la Yesu.Amen 


Rudia ×7



5:Maombi Ya Kufunga Utafungulia malango ya Baraka na Milango itafunguka kwa kasi ya Juu Sana.


▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎


Soma mstari huu


Kumb.Torati 28:3 


Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani



••••°°°OMBA HIVI°°°••


●.Baba Nashukuru Maana umenibariki Sasa kila kazi nayoifanya na kila Biashara ninayoifanya iwe mjini au iwe huko kijijini kwetu nilikotoka umeibariki na hayupo atakayezuia Baraka hizi Naabatanisha maombi Yangu Na Sadaka hii ya maombi ipokee katika madhabahu yako naomba nikiamini katika jina la Yesu.Amen 


Rudia ×5



6.Maombi Ya Kufunga yatakufanya uwe na ujazo wa Roho Mtakatifu uliofurumia masaa yote.



Mstari huu Soma


Matendo 11:24 


Maana alikuwa mtu mwema amejaa Roho Mtakatifu na imani; watu wengi wakaongezeka upande wa Bwana.



••••°°°OMBA HIVI °°°•••••


●Bwana Yesu Ansate Yesu Ansate Yesu Nashukuru kwa ajili ya kunijaza nguvu zako za Roho Mtakatifu ninaomba Bwana Uogeze kila siku ufurike kabisa niwe wa ujazo wa Roho Mtakatifu Naabatanisha na Sadaka yangu Bwana nakutolea wewe Katika Jina la Yesu.Amen


Rudia ×10



7:Maombi Ya Kufunga Huachilia Toba Ya Kweli  Yenye nguvu mbele za Bwana.


°°°°•••••~~~~


Mstari huu soma;



2 Nyakati 7:14 


ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.



°°°°••OMBA TOBA YA KUMANISHA°°°°°•••••



●Eeeh Bwana Yesu Naomba unisamehe mimi mwenye dhambi nimekukosea Sana Katika mawazo yangu fikira zangu nature nakuziugama dhambi zangu nifutie kila hatia unifute kwenye kitabu cha hukumu na mateso ukaniandike kwenye kitabu cha Uzima Katika Jina la Yesu.Amen 


Rudia ×3



8:Maombi Ya Kufunga Yakupa mume/mke sahihi na utafurahia ndoa yako.


-----=====


Soma hii mistari 


Mithali. 31:10-11


10. Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?Maana kima chake chapita kima cha marijani.



11. Moyo wa mumewe humwamini,Wala hatakosa kupata mapato.




••••°°°OMBA HIVI •••°°°°


●Bwana wewe ndiye unayemjua mume wangu/Mke wangu Katika akili zangu na mawazo yangu nimeshindwa kumjua naomba unikutanishe naye mwaka huu kabla kuisha niwe nimeolewa katika Jina la Yesu.Amen 


Rudia×3



9;Maombi Ya Kufunga hufanya kila kitu na kukupa matokeo ya haraka Sana.


=========~~~~~~~


Mstari huu Soma.


Marko 9:23 


Yesu akamwambia, “Kama ukiweza kuamini, yote yawezekana kwake yeye aaminiye



°°°°°••••OMBA HIVI °°°°••••


●Baba ninaamini hata hili nalopitia wewe Bwana Unaenda Kutenda na Kunijibu Katika Jina la Yesu.Amen 


Rudia ×4



10:OMBI LA KUMI ENDELEA KUOMBA SASA MAHITAJI MBALIMBALI NENDA HATA NUSU SAA.



Ni muda wowote Mwisho jioni Saa 12:00 Jioni unapofungulia



KISHA SADAKA YAKO UTAITUMA KABLA YA SAA MBILI USIKU SIJAPANDA MADHABAHUNI



M-PESA +255759861768


Tigo Pesa+255710889892

Halo Pesa +255628355985

CRDB BANK 🏦 0152361572400


KAMA UPO NJE YA NCHI TUMIA NJIA HIZI KUTUMA SADAKA 

Worldremit/Moneygram/Narra/west union 



Jina ;πŸ‘‰πŸ‘ˆRICHARD JULIUS KUSHOKA 

Jumanne, 19 Desemba 2023

SOMO:MAOMBI YA KUJITOA KWENYE UMATEKA

SOMO; MAOMBI YA KUJIONDOA KWENYE KAMBI    MBALIMBALI ZA MATESO. Na UMATEKA WA KUTUMIKISHWA.


Haya maombi ya fire fire usiombe ukiwa umejichokea utapingwa bure Omba ukiwa vizuri kwa mapambano ya kiroho.

πŸ”₯Moto wa Yesu Uwake zaidi ya JanaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯🀝🀝🀝🀝🀝🀝

Wapo watu kiroho wanaonekana tunatembea nao na kuishi nao kumbe siyo wao halisi ni vivuli tu vya watu hao Kwa Kuwa hatuna macho ya rohoni Tunateseka wapo watu waliotekwa Umateka wa ulevi wengine uzinifu wengine wametekwa na mawazo mabaya huyu mtu akitekwa Anakuwa chini ya hali ambayo Yeye haipendi lakini roho ndiyo zinamuendesha na kumtumikisha.


Ni vyema Ujiondoe kwa maombi Ninayeenda kukuongoza Kutoka kwenye umateka Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni 
Kanisa la Holy Spirit church Tanzania (h.s.c.t)

Maombi yameganyika sehemu mbili

A.Kujikomboa kwenye Umateka mwa adui
B.Kuzivunja Kambi za Adui

A.MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUOMBA MAOMBI HAYA

1.Elewa maombi haya Vita Kupigana kiroho unatakiwa uwe Jasiri na Shujaa usiyetishwa na hofu au hali yoyote.
Soma. 2Wakoritho. 10:3-6 kuelewa tunapiganaje kiroho Hakikisha fikira zako huwazi mabaya unapoomba.


2.Maombi haya yataambatana na Sadaka yako Kutokana na Uzito wa Umateka ulivyokuwa umekamatwa na nguvu roho atakushuhudia.
Soma. Zaburi.20:3

3.Tutaomba Kwa Muda Wa Siku Tano mfululizo Bila kukatisha kwa muda wa Saa.10: 00 Alfajiri mpaka 12:00 Alfajiri

4.Fata muongozo na maelekezo kila hatua kama nilivyoelekeza.

5 Hakikisha ukiomba ukimaliza Soma mistari niliyokuandikia

Soma Zaburi;119:105


MSTARI UTAKAO TUONGOZA SOMA.
1 Wakorintho 14:40
[40]Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu. 

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
A.TUTAANZA KUJIKOMBOA KWENYE UMATEKA 
:::::::"":"""" v::::::::"""""""",,,,,,,,,,,,,,,,"""""""""
1.OMBI LA KWANZA OMBA UJIKOMBOE KWENYE UFAHAMU NA MAWAZO YAKO YAPONYWE. UTAOMBA 

πŸ‘‡πŸ‘‡➖➖➖➖πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
DAKIKA. 30 

2.Wakoritho.10:5
Inaonyesha Adui au Shetani humuagusha mtu nakumuweka kuwa mateka wake pale anapofanikiwa ufahamu wake kuukamata na kuutawala.

Unapoomba Kamata Ufahamu wako ulipo kwenye moyo shika moyo wako ulipo

Anza kwa kushughulika na Kuagusha Elimu za Kipepo zilizoingia kwako Augusha elimu ya kushindwa au kukata tamaa.

Namna ya kuomba omba maneno unayoona yanakuja tamka usinyamaze omba Dakika 30


2.TUTAENDA KUOMBEA WATOTO WETU WAWE WATOTO WA KAKA AU DADA AU WANDOGO ZAKO UTAOMBA UWAOMBEE
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡➖➖➖πŸ‘‡πŸ‘‡
DAKIKA 15
.
Mstari huu soma 
Hesabu 14:31 πŸ‘‰ 2nyakati 30;9
[31]Lakini Watoto wenu, ambao mlisema watakuwa mateka, ndio nitakaowaleta na kuwatia ndani, nao wataijua nchi ninyi mliyoikataa. 

Ombea umateka wa tabia na roho zilizowashika ziwaachie 

Kataa Wanao Kuwa Mateka Wa Maisha ya Kidunia Maisha Yasiyo na Ushuhuda kwa Jamii na machoni Pa Bwana.

Utaombea kuligana na roho zilivyowakamata wanao



3 TUTAJIONDOA KWENYE UMATEKA WA DHAMBI ZETU MBALIMBALI. 
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Dakika 10   Omba maombi haya

Mstari wa kusoma.1wafalme;8;50-53
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Wapo watu wanaendeshwa na dhambi ambazo wao hawapendi wazifanye lakini namna yakujitoa huko wameshindwa 

Naomba watu kama hawa watanipigia unanielekeza umesoma ombi lipi nimeelekeza mtu mwenye dhambi anayetamani kuacha hawezi inamtumikisha.

Wegine Tutashugulika maeneo mbalimbali Shetani alipotuteka 

.4.TANGAZA USHINDI WEWE SIYO MATEKA TENA.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
                   Dakika 5

Zaburi;126;1 Zaburi 76:5 Zaburi 85:1

Hapa unapaswa uanze kutembea huku ukitamka mambo wewe mshindi wa maisha ya kiroho wewe mshindi wa maisha ya kawaida hutarudi tena kuendeshwa na magonjwa kuendwa na umateka furani Omba ..

Tamka Maneno Kwa Kukaza yatoke kwa msisitizo. 


5.OMBEA WATU WALIOCHUKULIWA WATUMIKISHWE UTUMWA UKATAE.

DAKIKA:15

Isaya:3:15 na 29 Soma.

Hapa Ombea Kuijitoa kwenye maisha ya kutumikishwa utumwa mbalimbali utumwa wa umasikini utumwa wa kazi Utumwa wa Ajira Utumwa Mbalimbali Shughulika. 

Tafsiri ya mtu kutumikishwa na kitu ni kukosa ufahamu juu ya hicho Sasa omba utoke kwenye kuteseka kisa kukosa ufahamu wa kukijua vizuri Muombe Mungu ujue kinachokutumikisha .



BAADA Y A MAOMBI HAYA.

Mshukuru Mungu Sema Ansate Bwana Ansate Bwana Mwambie huku ukipiga makofi Abudu au sifu kidogo Tena thingies Kubomoa Kambi zao



B.KUVUNJA KAMBI ZA KISHETANI.

πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Hii ni eneo anapowekwa mateka na kuwa chini ya uagalizi wa kuhakikisha yule mtu Havuki eneo hilo kama ni pombe inakushikilia huiachi kama ni madeni yanakushika hayakuachilii Kama ni Ugonjwa unakushikilia haukuachilii.

Tutakacho Kifanya ni kuvunja Kambi zao na tutawatoa waliowekwa mateka popote kambi zitavunjika.


Mstari wa kusoma.
Yeremia 37:11
[11]Hata ikawa, jeshi la Wakaldayo lilipokuwa limevunja kambi yao mbele ya Yerusalemu, kwa kuliogopa jeshi la Farao, 


OMBA HIVI UNAPOJIONDOA KWENYE KAMBI ZA KICHAWI. 
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†

➖Baba katika Jina la Yesu ninabomoa kambi zote za wachawi Ninavunja kila maagano ya kwenye kambi naikomboa nafsi yangu iliyowekwa kwenye kambi ya utumwa wa tabia ya magonjwa najikomboa kila magonjwa yaliyotesa mwili wangu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4  Kisha Soma. YEREMIA;1;10



➖Kila kuta za matatizo ya_____(Jaza Tatizo lako) Najua yupo anayelazimisha na kuzuia nisivuke namwambia kambi zake zimevunjwa kuta za vizuizi na kila mikono iliyoshikilia kunikalisha kwenye utumwa Kuanzia Leo hii najitangazia kuwa mimi nipo huru kutoka kwenye kambi za mateso.

Rudia ×4 Kisha Soma Yeremia:1:8


➖Hakuna Silaha wa Mbinu yeyote itakayoweza kunishika inirundishe kule nilikotoka kuanzia Leo  nitasonga mbele nikiulinda ushindi wangu katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×3 Soma kitabu cha Yeremia:1:19

➖Nitakuwa naamani sitapokea taarifa Mbaya tena wala adui yeyote hatathubutu kusimama ninafunga kabisa Katika jina la Yesu. AMEN

Rudia ×3 Soma 1 wafalme;5:4

➖Hakuna mtu mwenye ujuzi wa kupigana Vita akakomboa ndugu yake bila msaada wako Bwana na hakuna anayeweza kukulipa uliyotenda au kuyafanya kwetu sisi yaani mimi na ndugu zangu Bwana ninaomba Utusamehe mimi na ndugu zangu ninahitaji niutaje ukuu wako katika  kusanyiko nikusifie Bwana umetenda umetenda Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4 Soma Zaburi:49:7


OMBEA SADAKA YAKO.

Sadaka ni kitu chochote siyo mpaka Pesa chochote unaweza kujitoa

Mpaka mtu aanze kutumikishwa na roho au tatizo ujue linapata nguvu kupitia Sadaka. 

Wapo watu wanateseka maagano yao yaligusa Sadaka kubwa  ndio maana ni vyema isikia sauti ya Roho inavyokushuhudia utoe Sadaka ya nini kwa ajili ya Bwana usitoe Sadaka kwa kukalili mpa Pesa hapana.

Jifunze ufahamu wako ujue unayemtolea sadaka 
Soma Matendo:10:1-5


OMBA HIVI 

Sadaka hii ninaomba ipate kibali machoni Pa Mungu na siyo mwanadamu naitoa kwenye madhabahu yako ya mbiguni Jehova Nissan Njoo ushughulike uvunje minyororo na kunitangazia uhuru sawasawa na Isaya.61:2 Ipokee kupitia madhabahu yako ya Moto wa Yesu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia kuiombea ×6

Kisha itume Kwa 

πŸ‘‰M-PESA +255759861768

πŸ‘‰Tigo Pesa +255710889892

πŸ‘‰Halo Pesa  +255628355985

πŸ‘‰CRDB BANK AKAUNT:0152361572400

UKITUMA TU NIPINGIE NIKUOMBEE USIJE UKATEKWA TENA UKARUDI NYUMA.


MIMI NA WEWE TUNAPASWA TUOMBE NA TUWE MOTO ZAIDI YA JANA PIGA MAZOEZI KUOMBA MARA KWA MARA

SHIRIKISHA MAOMBI HAYA WATU WENGI ZAIDI





Jumatatu, 18 Desemba 2023

SOMO. MAOMBI YA USIKU WA MANANE

SOMO: MAOMBI  YA USIKU WA MANANE (SEHEMU YA 2 MAELEKEZO MAPYA)
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸŽΈπŸŽΈπŸŽΈπŸŽΈ

Karibuni Usiku wa Manane Maombi Ya Vita.
Vaa silaha za Kiroho: Waefeso:6:10-20 

Naitwa  Pastor Richard au Askofu mkuu Richard  Muasisi na Mwanzilishi wa Makanisa Ya Holy Spirit church Tanzania 
Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni K

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ‘‰Usiku wa manane falme za ngiza ndiyo zinamwijia mtu kwa ndoto zinatendeka kazi mbalimbali maovu mengi hufanywa usiku wa manane wewe kama Kamada Wa Kristo unapaswa uombe.

Acha kulala Usiku ndio Muda Wakuombea Mambo yako unayoyaona hayaendi. Muombee na Baba yako wa kiroho

Rejea MARKO;11:23-24


πŸ‘‰Usiku wa Manane ndio muda Tulivu ambao Mungu na Roho Mtakatifu husema wazi wazi na watu.

Rejea Marko:13;18


MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOOMBA 
πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰
1.Kwanza uwe mtu wa imani uliyeamua kila siku usiku saa Sita mpaka Tisa usiku uombe. 

2.Tutaomba kuanzia Saa Sita mpaka Saa kumi kamili. Masaa mawili usizidishe.

3.Utatembea tembea na kuonesha Ukakamavu unapoomba Usiombe umelala au umetulia Sehemu Moja

4.Kila Baada ya Siku ya Saba Utapumzika na kuaadaa Sadaka yako unaiombea nakuituma kwa ajili ya maombi hayo kisha utaanza Siku Ya Tisa ili Kumpa Muda Roho Mtakatifu Kusema nawe

5.Utaombea Imani yako Iwe na nguvu ya kuleta matokeo.

6.Utafata maelekezo Ninavyoongoza namna ya Kuomba.πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

MAOMBI YA USIKU UTAYAOMBA HIVI.
□□■■■●●●○○○○▪︎▪︎▪︎¤¤


☆HATUA YA 1;● Zaburi;86;5

1.UTAINGIA TOBA YENYE MACHOZI NAKUMANISHA.

HATUA YA 2;●Zaburi:64:

2.OMBA ULIZI  NA KATAA ROHO ZA MALIPIZI

Majeshi ya mbiguni nayaarika Damu ya Yesu inifunike nakataa roho za visasi katika Jina la Yesu.Amen 
Endelea Tamka Roho Mtakatifu anavyokuongoza

☆HATUA YA 3; ●HESABU:30:5-7

3:OMBEA KUJIFUNGUA VIFUNGO MBALIMBALI 

☆HATUA YA 4:●1Samweli:20:42

4:OMBEA UZAO WAKO FAMILIA YAKO.


☆HATUA YA 5: ● ISAYA.43:4

5.OMBEA KIBALI CHAKO NA UTHAMANI WAKO ULIOHARIBIWA NA DHAMBI 

☆HATUA YA:6;Isaya;43:4B

6:OMBEA WATU SAHIHI TU


☆HATUA YA 7: ●WARUMI:10:17

7.OMBEA MAISHA YAKO YA KIROHO UKUE


☆HATUA YA 8.●Mwazo:2:22

8:KAMA HUJAOLEWA AU HUJAOWA Omba mwambie Mungu muda wangu umeshafika simama na kitabu hicho Mwanzo;2;22

☆HATUA YA 9: Isaya:43:26

9: UTAOMBEA KILE UNACHOSUKUMWA KUMBUSHA MUNGU AKUTENDEE
Chukua dakika Kazaa Mkumbushe Mungu Nini unataka afanye.


☆HATUA YA 10:Matendo;10:4

10: OMBEA UAMINIFU KWA BWANA KATIKA FUNGU LA KUMI UWE MTOAJI MUOMBEE BABA WA KIROHO 

☆HATUA YA 11: Zaburi:92;1

11;TAMKA MANENO YA KUMSHUKURU MUNGU AMINI AMEKUTENDEA PIGA MAKOFI

Shukuru hivi;

Baba ninakushukuru maana nimekuona usiku wa leo live ukinijibu Bwana umetenda live live Ansate Bwana huku Ukipiga makofi mikono umeweka juu.

🌳🌳🌳πŸͺπŸͺπŸͺ🌳🌳🌳🌳🌳
WATAKATIFU WALIOFANYA
MAOMBI YA USIKU WA MANANE NA ALFAJIRI 



1.   YAKOBO-πŸ‘‰Yakobo hatimaye aliitwa Israeli kwa sababu alishindana na Mungu na watu na kuwa mshindi (Mwanzo 32:28). Hata hivyo ushindi wake ulianzia katika maombi ya alfajiri alipokuwa akiomba na kuweka nadhiri zake (Mwanzo 28:18-22).



2.   SAMWELI-πŸ‘‰Samweli aliomba na kumlilia Mungu usiku kucha yaani usiku na alfajiri (1 Samweli 15:10-11).



3.   BWANA YESUπŸ‘‰-Bwana Yesu mara nyingi aliomba usiku kucha yaani usiku na alfajiri (Luka 6:12; Mathayo 4:2; Marko 1:35).



4.   WAZAZI WA SAMWELIπŸ‘‰-Wazazi wa Samweli, waliweza kufanikiwa kumzaa mtoto Samweli aliyekuwa nabii wa kipekee, kutokana na wao kuzingatia maombi ya alfajiri (1 Samweli 1:19). Sisi nasi tukizingatia maombi ya alfajiri au uziku, tutaona mambo makuu katika maisha yetu.



5.   HEZEKIA:πŸ‘‰-Hezekia naye aliomba maombi ya alfajiri (2 Nyakati 29:20). Hezekia aliongezewa maisha alipokuwa katika kufa, na Mungu alimjua kama Hezekia alikuwa mwaminifu kwake kutokana na kujikana na kufanya maombi ya alfajiri. Maombi yake ya alfajiri yalimpa ushindi dhidi ya mkono wa mfalme wa Ashuru (2 Wafalme 20:1-6).



6.   DAUDI:-πŸ‘‰Daudi pia alifanya maombi ya alfajiri (Zaburi 57:8; 119:147). Ushindi mkubwa wa mfalme Daudi ulitokana na kuzingatia maombi ya alfajiri na usiku.



7.   PAULO:-Maombi ya usiku yalimfanya Paulo kutumiwa na Mungu kipekee kuliko mitume wengine. Siri kuu ni maomba ya usiku (2 Timotheo 1:3; 1 Wathesalonike 3:10).




MAOMBI YA KUOMBEA SADAKA YAKO SIKU  YA 7 UKIMALIZA 


SADAKA IOMBEE HIVI 

.Baba hii Sadaka naitoa ikasindikize maombi yangu niliyoyaomba Wiki nzima Bwana naomba ipokee ipate kibali machoni Pako Ikaongee na ilete matokeo na majibu naitoa katika madhabahu ya Moto Wa Yesu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia×7


UKITUMA UNANIPIGIA NA KUNIAMBIA SADAKA UMETUMA YA MAOMBI YA USIKU WA MANANE SEHEMU YA PILI 

TOA KUPIA➖➖➖

πŸ‘‰M-PESA 0759861768

πŸ‘‰TIGO PESA 0710889892

πŸ‘‰HALO PESA 0628355985
.
πŸ‘‰CRDB BANK WEKA No.0152361572400

JINA: RICHARD JULIUS KUSHOKA 

Hakiki Jina kabla hujaruhusu.
kumbuka Sadaka inatumwa siku ya saba hakikisha uwe umeomba kwa uaminifu kwa muda niliotajwa


Shirikisha wengine haya maombi

Jumapili, 17 Desemba 2023

SOMO. MAOMBI YA USIKU

 SOMO;MAOMBI YA USIKU

Kila Siku uendapo kulala Omba usiwe unalala bila maombi 
haya maombi nimeelekeza kukusaindia lakini huzuiliwi ukimaliza haya usiku unaendelea na maombi yako mengine Roho Mtakatifu anavyokuwa anakuongoza.
Karibu 
Naitwa Pastor Richard 
Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni 
Kanisa la Holy Spirit church Tanzania (H.S.C.T)

Mstari wa kusimama nao.
Mithali:3:24-26

MiSTARI YA KUTAFAKARI
Soma;Mithali:3:21-35
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ€πŸ€πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Mambo ya Kuzingatia Katika Haya Maombi ya Usiku.

1.Tembea Tembea au Simama au Piga magoti  mbele ya Kitanda.

2.Tamka maneno yaeleweke na yasikike.

3.Tumia Sauti ya kawaida lakini iwe yenye mkanzo na unyenyekevu .

4.Utaomba Kila Siku Kabla hujalala .

5.Utafata maelekezo ya kila ombi lilivyoobgozwa.


1.Baba Ninashukuru Umenilinda Kutoka Asubuhi mpaka Sasa Naenda Kupumzika Baada ya shughuli za Siku nzima Ninaomba Mkono wako ukanilinde zidi ya falme zote za ngiza nilalapo nione maono yako katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia×2

2.Bwana Kama Siyo wema wako kwangu Natambua nisigekuwa hai Wema wako unizunguke kila ubaya unaotumwa Usiku wa Leo Kwangu naomba upague Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia×2

3.Tumaini langu ni wewe Bwana Ulizi wangu ni wewe Bwana hata nathubutu Kusema Mwili wangu ni mali yako niuleta mikononi mwako usiku wa leo unlined Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4

4.Damu Ya Yesu Ikanifunike Na ikazigire eneo la nyuma yangu Na chumba changu chote Nafunika kwa Damu Ya Yesu Naomba Nikiamini Katika jina la Yesu.Amen

Rudia ×2

5.Ninavunja, ninabomoa kila nguvu za ndoto mbaya kila nguvu za kipepo kila nguvu za uchovu wa Maombi Ninazibomoa ishara zote za kipepo Natengeneza ishara zote za Ki Mungu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×1

6.Baba Yangu uliye mbinguni Jina lako litukuzwe mapenzi yako yafanyike usiku wa leo Unikinge kila mishale za yule muovu zisinipate Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×5

7 .Nafungua mlango wa Baraka Kwangu Katika Aridhi hii ya____(Taja ulipo) mfano. Aridhi ya mateteni Nikaimiliki kuanzia afya uchumi na hata kibali kupitia aridhi hii Nikuone ukinibariki Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×3


8.Bwana Yesu Nakupenda Kama ulivyonipenda ukafa kwa ajili yangu nautambua upendo wako kwangu nami ninaomba usichoke kunipenda na kunipigania kwa kila vita inayosimama katika ulimwengu wa roho ambao kwangu mimi siwezi kuuno wewe unaweza kuuona Usipumzike kwa ajili ya utetezi wa roho yangu maisha yangu huduma yangu Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×6


9.Ushukuriwe Mfalme wa Amani Kwa Kunitangazia Amani na furaha ndani yangu nilikuwa sina Amani wala Furaha kutokana na changamoto za Kidunia Lakini Leo Umezibemba Zote shida zangu magonjwa yangu uchumi wangu nk ndiyo maana Ninakushuru Sana tena Sana Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×4

10:Nayafunika mahitaji yangu maombi yangu kwa ulizi wa Damu Ya Yesu Mnazaret Yeye nimemkabidhi naye amepokea mahitaji yangu yakadhibitike nakutendeka kama nilivyoomba Katika Jina la Yesu.Amen 

Rudia ×1


@2023 Pastor Richard 

Share Maombi haya Kwa Magroup yako.