Jumanne, 25 Juni 2024

SOMO: NDOA

SOMO; NDOA

Maana Ya Ndoa;
Ni Muuganiko wa watu wawili jinsia ya kike na ya kiume Wanaokubaliana Pamoja Kwenda Kuanza maisha yao nakutengenenza familia zao.

TUKIO LINALOKAMILISHA NDOA huitwa harusi hili huwa tukio linaloheshimiwa na kukusanya watu wengi katika Jamii.

UCHUMBA:Hiki ni kipindi wanachokipitia Wanandoa Kujuana Vizuri Tabia Zao Mienendo Yao.

Ambayo huweza kuchukua mwezi  miezi na mwaka mmoja Inatosha hawa kujuana Vizuri

Uchumba ukikaa muda mrefu hupelekea hawa wawili kuanguka dhambini.

Waebrania 13:4
[4]Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu. 



NDOA IMEGAWANYIKA MARA TATU
==============================

1:MAISHA NDANI YA NDOA.

2:VIPINDI VYA NDOA

3:CHANGAMOTO ZA NDOA.

4:MAFANIKIO NDANI YA NDOA

Haya ni Muhimu Kabla Hujaingia Kwenye Ndoa Uyatambue Karibu Ujifunze Kitu.

Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa 


  MAISHA YA NDOA.
===================
Kuingia Kwenye ndoa ni wewe Kujifunga uanze Kuishi Maisha ya ndoa na kufata Kanuni Sita Za Namna Ya Kuishi ndani Ya Ndoa

TUNAISHI NDANI YA NDOA KWA KUFATA HAYA 
πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡


1;TUNAISHI KWA HEKIMA; (Mithali;14;1)



Ili ndoa Zetu Ziwe Salama Tunaitaji Mungu atujalie hekima ya hali ya juu sana Ndoa Siyo uchumba ndoa siyo kitu rahisi kama huna Hekima Nikushauri tu ni bora usiowe au kuolewa sababu utaumia sana ukiingia ndani ya ndoa huna hekima.


TUSOME ANDIKO..


Mithali 14:1

[1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; 

Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. 



Lishike hili Angizo la Kwanza liwe kwenye ndoa yako.



2.TUNAISHI  KWA AKILI SANA; (1Petro:3:7)


Wanandoa Pekee Wanaitaji wawe na Akili ya kujuana haraka kumjua mwezako mapungufu yake kujuana tabia zenu ukiwa ndani ya ndoa harafu mwezako humjui au Akili zako mpaka zishutuliwe ndiyo ujielewe upo ndani ya ndoa ufahamu wa kujiongeza mwenyewe huna uwezo wa kufanya vitu huna Upo upo tu Ndoa hii kwa vyovyote itakuwa na shida.


Ukiingia ndani ya ndoa sababisha kuleta utofauti wa maisha yako kabla hujaowa na baada ya kuowa.


TUSOME ANDIKO:


1 Petro 3:7

[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu



3.TUNAISHI KWA KUTII (Waefeso;5;22)


Utii huwa unanguvu Sana Mwanamke Mtii mumeo na kumsikiliza unapoingia ndani ya ndoa ukianza kiburi na jeuri Mtaanza Kupisha na kugombana Kumbe neno utii mumeliondoa Ndani Ya Ndoa. Mumeo akisema hapendi matumizi mabaya ya Pesa uelewe kuna vitu unavinunua hivina maana kwa wakati huo basi msikilize uache mara moja.



TUSOME ANDIKO:


Waefeso 5:22

[22]Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. 



4;TUNAISHI KWA TENDO LA NDOA;
(1 Wakoritho; 7:3)


Mwanamke ukiwa ndani ya ndoa ni wajibu wako kumpa tendo la ndoa mumeo muda wowote ule anapoitaji hali kadhalika na Mwanaume mkeo akiitaji tendo la ndoa ni wajibu wako Kumpa tendo la ndoa mkeo Asiwepo kati yenu Anayemzuia mwezake katika haki yake ya ndoa Na hii itawafanya Ndoa Yenu I imagine Zaidi.


TUSOME ANDIKO:


1 Wakorintho 7:3

[3]Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. 


.

5.TUNAISHI KWA UPENDO MWINGI (Waefeso:5;25-29)



Ni wajibu wa mke na mume upendo kwao kupendana katika viwango vikubwa chochoeni Upendo ndani ya ndoa Msiupuguze Upendo fanyeni vitu mnavyojua vinawapa upendo zaidi na Kukaa ndani ya upendo.


TUSOME ANDIKO 


Waefeso 5:25

[25]Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; 



6:TUNAISHI KWA KUSHAURIANA NA KUONYANA KUHESHIMIANA(1Wathesalonike.5:12-22)



Ndoa huhitaji kushauriana kabla hujafanya kitu sharing na mwezako Pia Kama Amekosea muonye kwa Kukaa naye nakumuelekeza kwa sauti nzuri usimfokee au Kumgomba mwezako pia mheshimiane nyinyi  kwa nyinyi ndani ya ndoa Yenu.



TUSOME ANDIKO;


1 Wathesalonike 5:14

[14]Ndugu, twawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote. 




         TUFANYE NINI SASA;


Tunatakiwa kuzitengeneza ndoa zetu sasa katika vile biblia inavyotuangiza kama tulivyojifunza 


2:VIPINDI VYA NDOA.
🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝
Ndani Ya ndoa huwa Kuna Vipindi Vitatu
Ni Lazima mtavipitia ni vyema kuvijua ili mmoja wenu akikianzisha unamponya mwezako.

1;KIPINDI CHA UTOTO WA NDOA YENU.
==================================
                     Marko:10:20

Hiki huwa ni kipindi Ambacho mnakuwa hamjuani Vizuri Tabia Zenu na Kila mmoja Anahamu na Mwezake Mengi mnafichana Na ni kipindi pekee mtaitana majina mazuri mtalishana hadi chakula mtaongozana hata kupika mtapika pamoja.

Hiki kipindi kitakufanya ufurahie ndoa yako.


2;KIPINDI CHA UJANA WA NDOA YENU.
                 1Timotheo:4:12

Hiki ni Kipindi Pekee cha nyinyi Wanandoa Kila mtu Anataka Afanye maamuzi yake Mmeshajuana Tabia Zenu kila mmoja anaanza Kufanya Visa Kutoka nje Kujibu ovyo na Kulalamika yaani najuta kukuowa wewe atakuwa mtu mwenye kiburi mwenye kujivuna tabia mbalimbali huibuka hiki kipindi usipokijua ndoa nyingi huvunjika kipindi hiki.

Inakupasa uwe makini ukimuona mwezako anaenda ujana wewe mwambie nenda peke yako mimi nabaki kwenye utoto.



3:KIPINDI CHA UZEE.
✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍
            Mwanzo 15:15
[15]Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema. 

Hiki Kipindi cha Kuvumiliana imladi mlee watoto wenu kila mmoja Anaamua Apuuzie Tabia za mwezake Yaani utafanya vituko vyako hakuna anayejishughulisha nawewe.


3:CHANGAMOTO ZA NDOA 
==========/////=/=//////=====

   
===============================

SOMO: VILIMA VITATU NDANI YA NDOA VYA KUVUKA.


Nimeamua Somo hili nilipe kichwa cha Somo kinachosema Vilima ndani ya ndoa ambavyo kila mwanandoa aliyemo huwa lazima Avishinde hivi ili kuifanya ndoa yake izidi Kuwa na Furaha na Amani


Mwanandoa na Unayetarajia muingie kwenye ndoa Fatana na Mimi Katika Darasa hili.


Mwaadaaji ni Mimi Mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa 



         VILIMA NI NINI?

Ni vitu vya kuvuka ili ufike hatua nyigine ndani ya ndoa


VITU HIVI HAKIKISHA UNAVIVUKA  NDANI YA NDOA.


      MLIMA WA KWANZA;

      =====$$$=====$$$$

1;MJUE VIZURI MWEZAKO 


Mkeo au Mmeo Unatakiwa umjue na ujue Madhaifu yake na Mapungufu alimonyo Uelewe Namna utakavyomchukulia na kuyabembelea madhaifu na siri zake.


1 Wakorintho 11:3

[3]Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. 


MAMBO MATATU YAWE SILAHA YA KUVUKA.


1:Mpende Sana Na Udhaifu wake alionao.


2:Usimuumize au Kumdharau kwa alivyo.


3:Vumilia Hatua Zake Usitoke nje hata kama yeye anatabia hiyo usiinge.


Wewe Mshukuru Mungu Kwa Zawadi hiyo.

Mfanye Awe mtu anayempenda Mungu na Aliyekaribu na Mungu.


  MFUNDISHE HAYA

=================

1;Utoaji: mweleze Baraka na Umhimu wa kutoa zaka na kuwa waaminifu wa Fungu la kumi.


2:Ibada: Mfundishe Na Kuweka Utaratibu wa Kufanya ibaada kabla hamjalala.


3:Ushirikiano; Mfundishe Awe Mwenye kufanya mambo kwa umoja na umuondolee ubinafsi wa vitu mbalimbali alivyo navyo.


4:Tengenezeni Mipango Mikakati maisha yenu ya kiroho na Ya Kimwili yawe yenye mafanikio.


               3 Yohana 1:2

[2]Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako 



   .MLIMA WA PILI .

  ================


2;TENDO LA NDOA:


Tendo la ndoa ni kitendo cha kukutana kwa jinsia mbili ya kike na kiume Hii ndiyo huleta muuganiko wa ndoa na Tafsiri ya Mwili mmoja.


1 Wakorintho 7:3-4
[3]Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. 


[4]Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe. 




STAYLE ZA UFANISI WA TENDO LA NDOA.


Kuna stayle nyingi Sana Katika Tendo la Ndoa na Kila stayle ina Eneo lake la kutumika ndani ya ndoa uwapo na mwezi wako.


1:Stayle Za Kufanya Tendo la ndoa ukiwa unaitaji mtoto


●.hapa unatakiwa ufanye Tendo la ndoa katika Mikao Inayomfanya mkeo au wote wawili kutoshelezana na Kufikia kileleni haraka kwa mkeo.

●Fanya Tendo la ndoa Mkiwa hamjagombana kila mmoja afurahie tendo la ndoa 


●Usifate Kalenda Mimba huweza kuingia hata bila Kalenda.





          MLIMA WA TATU


3:LINDA PATANO LA KIAPO CHENU CHA NDOA

Mwanzo 9:9
[9]Mimi, tazama, nalithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu; 


Hiki ni kipengele mhimu simamia na kulinda makubaliano Yenu.


Wanandoa Wengi Wanapopita katika vile vipindi vitatu ndani ya ndoa utaona wanaanza kugombana hasa wanapokuja kufanikiwa 


Mwanamke au mwanaume simamia Patano la ndoa Yenu.



Ndoa hujengwa na nyinyi wawili msipende kutoa siri zenu za ndani hakikisheni usalama wa ndoa Yenu.



4: MAFANIKIO NDANI YA NDOA 
=======///====///====///====

Mafanikio Ndani Ya Ndoa hutengemea misingi mitatu utakayoinjega kwenye ndoa Yenu.

Pembe hizo ni

1:MUNGU; 

Kwenye ndoa Yenu muwekeni Mungu mbele kuliko Akili zenu.

Palipo na Mungu
Pana hofu ya Mungu.
Pana Uvumilivu wa juu.
Pana Upendo Wa Dhati.
Pana Amani 
Pana Kuthamini
Pana Maombi
Pana Utoaji
Nk

2;MKE MMOJA;

Palipo na nanafasi ya mke mmoja Hapatakuwa na Usaliti Au Kuumizana tena.

Kwa kuwa umeowa futa namba za wapenzi wako wa Zamani Tulia na mkeo utembee ndani ya Agano la Mke mmoja.

3:MME MMOJA;
Palipo na Mume Mmoja Hakuna Usaliti tena au Maumivu tena 

Mwanamke hakikisha unaweka Agano na mme mmoja waliokuwa wanakusumbua uwaambie kabisa nimeolewa Sasa. Sitaki Usumbufu.


5:MAMBO AMBAYO HUPASWI UFANYE.UKIWA NDANI YA NDOA 

1;Kufanya vitu Bila Kushauriana na Mwezako.

2:Kueleza Siri au udhaifu unaouona kwa mwezi wako.

3;Kumsaliti au Kuvunja Agano lenu la ndoa

4;Kutokutoa Zaka au ibada na Mungu.
Wapo watu wakiingia kwenye ndoa wanaacha kutoa fungu la kumi.

5;Mkigombana Malizeni Utofauti wenu nyinyi msianze kuwapigia wazazi mtavunja ndoa Yenu.


MISTARI YA KUSIMAMIA KWENYE NDOA
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Methali 18:22: “Anayepata mke mwema amepata kitu chema.”

Maana: Biblia inaonyesha kwamba kufunga ndoa ni jambo jema.

Malaki 2:15: “Usimtendee kwa hila mke wa ujana wako.”

Maana: Mungu anawataka waume na wake wawe waaminifu na kutendeana kwa heshima, hata baada ya kuishi katika ndoa kwa miaka mingi.

Marko 10:9: “Kile ambacho Mungu ameunganisha, mtu yeyote asikitenganishe.”

Maana: Mungu alikusudia ndoa iwe muungano wa kudumu.

Waebrania 13:4: “Ndoa na iheshimiwe kati ya wote.”

Maana: Wenzi wa ndoa wanapaswa kuthamini sana ndoa yao na kutia jitihada ili kuilinda.

1 Wakorintho 7:28: “Wale [wanaofunga ndoa] watakuwa na dhiki katika mwili wao.”

Maana: Hakuna ndoa kamilifu; wenzi wa ndoa wanahitaji kushirikiana ili kushinda changamoto zinazojitokeza



HITIMISHO 
Ni vyema kujua haya kabla ya ndoa kuanza kuishi

Wito
Shirikisha wengine Somo hili.



Alhamisi, 20 Juni 2024

SOMO; VILIMA VITATU NDANI NDOA VYA KUVUKA

SOMO: VILIMA VITATU NDANI YA NDOA VYA KUVUKA.

Nimeamua Somo hili nilipe kichwa cha Somo kinachosema Vilima ndani ya ndoa ambavyo kila mwanandoa aliyemo huwa lazima Avishinde hivi ili kuifanya ndoa yake izidi Kuwa na Furaha na Amani

Mwanandoa na Unayetarajia muingie kwenye ndoa Fatana na Mimi Katika Darasa hili.

Mwaadaaji ni Mimi Mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa 


         VILIMA NI NINI?
Ni vitu vya kuvuka ili ufike hatua nyigine ndani ya ndoa

VITU HIVI HAKIKISHA UNAVIVUKA  NDANI YA NDOA.

      MLIMA WA KWANZA;
      =====$$$=====$$$$
1;MJUE VIZURI MWEZAKO 

Mkeo au Mmeo Unatakiwa umjue na ujue Madhaifu yake na Mapungufu alimonyo Uelewe Namna utakavyomchukulia na kuyabembelea madhaifu na siri zake.

1 Wakorintho 11:3
[3]Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. 

MAMBO MATATU YAWE SILAHA YA KUVUKA.

1:Mpende Sana Na Udhaifu wake alionao.

2:Usimuumize au Kumdharau kwa alivyo.

3:Vumilia Hatua Zake Usitoke nje hata kama yeye anatabia hiyo usiinge.

Wewe Mshukuru Mungu Kwa Zawadi hiyo.
Mfanye Awe mtu anayempenda Mungu na Aliyekaribu na Mungu.

  MFUNDISHE HAYA
=================
1;Utoaji: mweleze Baraka na Umhimu wa kutoa zaka na kuwa waaminifu wa Fungu la kumi.

2:Ibada: Mfundishe Na Kuweka Utaratibu wa Kufanya ibaada kabla hamjalala.

3:Ushirikiano; Mfundishe Awe Mwenye kufanya mambo kwa umoja na umuondolee ubinafsi wa vitu mbalimbali alivyo navyo.

4:Tengenezeni Mipango Mikakati maisha yenu ya kiroho na Ya Kimwili yawe yenye mafanikio.

               3 Yohana 1:2
[2]Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo. 


TENGENEZENI PEMBE TATU KATIKA MAFANIKIO YENU NDANI YA NDOA

●Pembe ya Kwanza Muwekeni Mungu.

1:MUNGU: mtu yeyote mwenye Mungu ndani yake atakuwa mwaminifu mwenye upendo mwenye kujielewa atailea ndoa yake

●Pembe ya Pili Muweke Mkeo

2:MKE: Muweke mkeo usiweke wapenzi wa zamani au wazazi 

Mke wako ndiye mjenzi wako wa ndoa yenu.

●Pembe ya Tatu Muweke Mmeo.

3:MUME: Muweke mmeo sababu ndiye kiongozi na dereva wako ndani ya ndoa 


Mafanikio yatakuja ukipangilia hivi nilivyokuwekea.


   .MLIMA WA PILI .
  ================

2;TENDO LA NDOA:

Tendo la ndoa ni kitendo cha kukutana kwa jinsia mbili ya kike na kiume Hii ndiyo huleta muuganiko wa ndoa na Tafsiri ya Mwili mmoja.

Mwanzo 2:23
[23]Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. 

Mwanandoa ni Haki Yake Kupata Tendo la ndoa Bila Kuwekewa mpaka au kunyimana.

Japo ndoa nyingi Huingia kufanya tendo la ndoa pasipo na uzoefu au kufanya maandalizi ;

Tendo la ndoa Linaitaji Utulivu wa akili na Usifanye Tendo la ndoa kwa kulazimisha.

Andiko;

1 Wakorintho 7:5
[5]Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu. 


STAYLE ZA UFANISI WA TENDO LA NDOA.

Kuna stayle nyingi Sana Katika Tendo la Ndoa na Kila stayle ina Eneo lake la kutumika ndani ya ndoa uwapo na mwezi wako.

1:Stayle Za Kufanya Tendo la ndoa ukiwa unaitaji mtoto

●.hapa unatakiwa ufanye Tendo la ndoa katika Mikao Inayomfanya mkeo au wote wawili kutoshelezana na Kufikia kileleni haraka kwa mkeo.
●Fanya Tendo la ndoa Mkiwa hamjagombana kila mmoja afurahie tendo la ndoa 

●Usifate Kalenda Mimba huweza kuingia hata bila Kalenda.


2 STAYLE YA KUJENGA AKILI NA KINGA YA MWILI.

Hii unatakiwa ufanye Tendo la ndoa Akili inapoelemewa  na vitu au kuzidiwa inafanya akili ijitengeneze katika uharaka tena wa kutatua vitu.

●Hii huwa Ni mtindo wa stayle Ambayo mkeo au mumeo itamchelewesha kufika kileleni  yaitaji ufanye mara kwa mara ili kuziimarisha Akili zako.


FAIDA YA TENDO 

1:Utapata watoto

2;Utafungulia Baraka mbalimbali 

3;Huondoa magonjwa mbalimbali 

4;Huongeza muonekano na mvuto kwa mwanamke.
Nk

     HISIA ZINATOFAUTIANA
.
●Mwanamke mnene hisia zao zinatofautiana na wengine

Nao Wanaitaji Uweze Kupata Uzoefu Umjue Vizuri na hata ushikaji mimba kwake hutofautiana na wengine.



●Mwanamke Mwembamba hisia zake kwenye Mwili wake ni tofauti na mnene.

Ni vyema mwanaume Aliye naye kumwelewa ili usifanye tendo la ndoa kwa kulazimisha naye.

●Mwanamke WA Kati hisia zake tofauti na za wengine hata kushika kwake mimba tofauti na wengine.


Nimegusia haya ili mwanandoa Ajue wanawake wameumbiwa Hisia Tofauti katika Tendo la ndoa Tofauti na mwanaume.

Kuzichochea hisia Zitatengemea na Mwanamke uliye naye ndani ya ndoa 

MAMBO YA KUZINGATIA 

1:Fanya usafi kila baada ya Kutoshelezana.

2:Fanyeni maandalizi ya kihisia kuvutana katika tukio hilo.

3:Ombeeni Tendo la ndoa 


Ndoa nyingi zimevunjika kupitia Tendo la ndoa kulifanya bila maandalizi ya kihisia au kutokumjua mkeo hisia zake ukajua wanawake wote wako na hisia zinafanana kumbe hapana.

Jifunze kila siku kwenye Tendo la ndoa ili uwe bora na mwepesi katika eneo hili.


          MLIMA WA TATU

3:LINDA PATANO LA KIAPO CHENU CHA NDOA

Hiki ni kipengele mhimu simamia na kulinda makubaliano Yenu.

Wanandoa Wengi Wanapopita katika vile vipindi vitatu ndani ya ndoa utaona wanaanza kugombana hasa wanapokuja kufanikiwa 

Mwanamke au mwanaume simamia Patano la ndoa Yenu.


Ndoa hujengwa na nyinyi wawili msipende kutoa siri zenu za ndani hakikisheni usalama wa ndoa Yenu.


TUFANYE NINI SASA 

Tunapaswa Tuvuke Milima hii Ili kufikia Ushindi ndani ya ndoa zetu.

WITO
Shirikisha jumbe huu na watu wengine

Jumanne, 18 Juni 2024

SOMO:NDOA KUGOMBANA NDANI YA NDOA

      "DARASA LA WANANDOA "
 $$$===================$$$

SOMO: NDOA KUGOMBANA NDANI CHANZO BIBLIA INASEMA:

Ndoa nyigi zinapitia changamoto hii ndani ya ndoa eidha ndoa nyigi zilifungishwa bila mafunzo au Wanandoa kutoka nje msingi unaowapasa kuishi Kama Wanandoa wa Kikristo.

Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa ndiye ninayekuandalia Somo hili nzuri  kwa msaada wa Roho Mtakatifu. 


Ndoa Zilizo nyingi husababishwa na wao wenyewe Wanandoa kugombana.

HAYA NDIYO HUSABABISHA UGOMVI NDANI MKAKOSANA:


1:MWANAUME ASIYEISHI KWA AKILI NA MKEWE.

Andiko 1Petro;3;7

1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe. 


Mwanaume Anaweza Kusababisha Magomvi ndani ya ndoa  na Kuifanya ndoa yake ikayumba au kukosa mwelekeo watoto wakatawanyika na kuigawa  familia yake kwa kukosa Akili ya kuishi na mkewe ndani ya ndoa

Mwanaume unatakiwa Uishi kwa Akili Sana na mkeo na ufahamu wako uwe juu kuliko mkeo ili kumuongoza vyema katika njia sahihi yenye kumpendeza Bwana.

Ndoa nyigi zilizovunjika mwanaume alichangia kwa kukosa akili yake kuituliza.



2:MWANAMKE MGOMVI MWENYE KUONGEA SANA KUGOMBA SANA.

Andiko Mithali;21:9


Mithali 21:9
[9]Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, 
Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi. 

Ukikosea Kuowa ukaowa mwanamke anayependa maugomvi Kukuza jambo huyu ndani ya ndoa ukimkosea Jambo atalifanya kubwa  Mwanamke Mwenye magomvi huvunja ndoa yake.

Ndoa nyingi zilizovunjika ugomvi ulichangia uliosababishwa na mwanamke akavunja ndoa.

Cha ajabu mwanamke wa hivyo Akiachwa Anaanza kumbuka mume wake na kuanza kuhagaika kwenye maombi.

Elimu ya ndoa hana halafu anatafuta kuombewa akiamini uchawi kumbe Unatakiwa yatafute mafundisho tu ya ndoa na Neno la Mungu yakuponye siyo kuombewa.


     NISHAURI WANANDOA 
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Ninachota kusema Biblia ndiyo msingi wetu wa kila kitu 

Imesema Mwanamke Ijenge ndoa kwa hekima ukitumia mikono yako kazi zako kuleta mabadiliko ndani ya ndoa wewe unaenda kujenga kwenu baadala ya kwenye ndoa.


Mwanaume Biblia imekuambia Tumia Akili ipasavyo unapofanya jambo kwa mkeo au kuishi naye wewe unataka uligane naye akili yako ilale haijishughulishi kutengeneza ndoa yako unaenda kutengeneza kwenu.


Tembea katika misingi ya Biblia ndoa yako itapona.


Kama Hujaungwa Kwenye Group la Maombi na Mafundisho Muombe Pastor Richard Akuunge +255759861768



Jumatatu, 17 Juni 2024

SOMO; MAJIRA YA UTENDAJI WA BWANA

SOMO:MAJiRA YA BWANA 

Ni kipindi Ambacho Bwana Amekusundia Jambo ukipishana na hiki kitu Anaenda Kutenda Kwa Mwingine.

Andiko;
Mwanzo 17:21
[21]Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao. 


Kumbe Sara alikuwa anaitaji Azae kwa wakati Ambao Bwana Hajataka Azae hakuzaa.
Hata Wewe unataka Kuzaa Kwani Mungu ndiye Ametaka uzae au ni tamaa zako. Hapo utakuwa unapishana nae.


Andiko;

.Zaburi 102:13
[13]Wewe mwenyewe utasimama, 
Na kuirehemu Sayuni, 
Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, 
Naam, majira yaliyoamriwa yamewadia. 


Kumbe unaweza ukawa unasimama kufanya jambo linafeli kumbe bado wakati wake Usikate tamaa endelea kulifanya.


Pishana na vyote na Siyo majira Mungu

Mungu wetu hutembea nasisi kwa majira ukikuta upo ndani ya Mungu na unapitia mapito ujue ni majira ambayo yatapita tu.

2024 Mungu wetu Anatembea Na Sisi Kibambe Siyo Kinyoge Ukianza Kulia Lia au kulalamika Mungu Anaondoa Mkono wake kwako maana wewe umeonesha hali ya unyoge katika kipindi ambacho hutakiwi uoneshe unyoge. 

Alhamisi, 13 Juni 2024

SEMINA YA NDOA

SEMINA ZA NDOA


                                  SEMINA ZA NDOA
            JE NI  NINI HATIMA  YA  NDOA   YAKO?

Utangulizi: PANGA KUMALIZA  VIZURI
Andiko:         Mhubiri  7:7-8
Heri  Mwisho wa neno   kuliko mwanzo wake.
Ndoa   chanzo chake  ni Rohoni.Muasisi  wake ni mungu .Yoh.4:24 Mungu  ni Roho

Tunaishi katika  ndoa  (a)Kwa  Hekima    Mith.14:1
                                     (b)Kwa  Akili        1Pet 3:7
                                     (c)Kwa    Kutii      Efe .5:22-24
                                     (d)Kwa Upendo    Efe .5:25 -29
                                     (e)Kwa  kuheshimiana  Ebr.13:4;1Pet. 3:7b;Efe.5:33b  Staha.

Tena tukumbuke –Mpango halisi  wa mungu kuhusu wanandoa ni  huu:-
            (i) Mke  awe  msaada kwa  mumewe.        Mwa 2 ;18
            (ii)Mume amfurahie mke wa ujana siku zote.Ndoa iwe ni mahali pa furaha  Mhu.9:9  
(iiiMapendo  yawe  ni ya siku zote.Kusiwepo na  kuchukizana –chuki Mith 5:18-19

Ndoa  zetu  tujitaidi ziwe  na
(i)Sifa  njema      Mhu .7:1;2  Kor.6:3-4;Tujipatie sifa njema
(ii)Ndoa    zetu ziwe  mfano mzuri /kielelezo chema kwa
(a)Watoto wetu
(b)Waaminio
(c)Wayahudi  1kor 10;32 1tim .4:12.katika usemi,mwenendo ,imani ,upendo,na usafi .
(d) Wayunani
(e)Maisha  yatu  ya  ndoa kumpa mungu utukufu.1kor.10:31

Tunaweza  kuiga mfano mzuri  wa ndoa  za wazee wetu  kama  adamu, Ibrahimu, Isaka, Nuhu, Ayubu n.k. Ebr.13:7. Walimaliza  vizuri tunaona jamopa na magumu mengi, lakini walikuwa na mwisho mzuri.  Tuiige imani yao.
02. NDOA INA VITATU VYA AWALI.  Ambavyo kila mwanandoa     akivishinda__aandelea mbele kwa ushindi na ndoa hiyo inakua na kumaliza vyema.

KITUTA CHA KWANZA

Kumfahamu mwenzi wako wa ndoa.

Katika KITUTA hiki kunapatikana darasa la kuchukuliana na kuelekezana.

Jambo kubwa katika darasa hili ni wanandoa wote kuwa:-

(a)   Wa kweli kila mtu kwa mwenziwe.


(b)  Wa wazi bila kufichana kitu.

(c)   Wanyenyekevu kila mmoja kwa mwenzake.

Kwenye Eneo hili, mke atumie HEKIMA yake aliyopewa na Mungu Mith. 14:1 na BUSARA Mith. 19 :14.

Kusiwepo na kukosoana wala kudharauliana ama kulaumiana bali uvumilivu na kuelimisha kuwe na nafasi ya kwanza haswa katika HAKI  za mtu katika TENDO la NDOA.  IKor.7:2-5,

Mara nyingi wanaondoa  wachanga  si wastadi   wa TENDO la NDOA maana hawana ujuzi wala uzoefu ; wala hawajui kujizuia au kungojana ili wapate kufikia shibe  ya raha  yao kwa pamoja .


Vile vile hawajui hata namna (style)mbalimbali  za tendo la ndoa ambazo ziko kama 9na 4 maalum ambapo mke ni mjamzito (mgo –solo –mago –ina –wima –kichu –juu –mapa –kuge ,kistu )INAHITAJI  MOYO  WA   UNYENYEKEVU :ili wanandoa hawa wapate kujifnza  na kupata  uzoefu (experience) .Inahitaji  kocha  nao watajipa  uzoefu wao kwa kungojana  na kuchukuliana hadi  waufikie  ujuzi  wa TENDO  la NDOA katika  hali ya kutoshelezana.


Inawezekana mtu kufanya  tendo la  ndoa kwa dakika 5,au 10 au 20au 30 kwa ustadi akamtosheleza mwenzake – lakini inatofautiana mtu na mtu – pia inatofautiana katika maumbile, kwa mfano:-

-       Wanawake wanene wana namna yao na kiwango chao mpaka wafikie kutosheka

-       Wanawake wembamba nao wana namna yao hadi kufikia kilele

-       Na wale wa umbo la kati wana jinsi yao ili kufikia kilele



Link za magroup KWa Utaratibu mpya.

Naitwa Pastor Richard Nachukua Nafasi hii kukaribisha katika group la MAOMBI NA MAFUNDISHO NO;1️⃣

Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania 

Lipo Morogoro Wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni 

 

       •°UTARATIBU WETU NDANI YA GROUP °

=====================÷÷÷===

1.KILA IJUMAA GROUP NZIMA TUNAFUNGA MASAA 12 Au 6 KAMA UNAMATATIZO
NA KILA SIKU USIKU WA MANANE TUNAAMKA MAOMBI AMBAYO HUANZA SAA:7:00 Usiku mpaka 10:00
ALFAJIRI 


2.KILA SIKU KUNA MAOMBI NA MAFUNDISHO MBALIMBALI HUPOSITIWA UNATAKIWA UYAOMBE KILA MAOMBI YANAYOKULENGA YASAVE UNAYAOMBA KWA MUDA WAKO.

3.KILA MWISHO WA MWEZI UWE MWAMINIFU WA KUTUMA FUNGU LA KUMI NA UKITUMA UNANIPIGIA NAKUOMBEA .
Hakikisha huachi Kama umejiunga ukijua hii ndiyo Madhabahu yako.


        2024 Ni Mwaka wa Kusitawi

                      Mwanzo;26;13

Ukiyashika maelekezo haya utafunguliwa 

     πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Bonyeza hapaπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

https://chat.whatsapp.com/FJj9rcj75YTGeP6ZZMYJTy


πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰πŸ‰


NAITWA PASTOR RICHARD NI Askofu na mwanzilishi wa makanisa Ya Holy Spirit church Tanzania
( Moto wa Yesu)


Karibu GROUP LA MAOMBI NA MAFUNDISHO NO:2️⃣

Nipo Morogoro Wiliya ya Kilosa Kata Ya mbigiri Kijiji cha mateteni (Dumila)


•°UTARATIBU NDANI•°
=====================÷÷÷===
1.KILA IJUMAA GROUP NZIMA TUNAFUNGA MASAA 12 Au 6 KAMA UNAMATATIZO
NA KILA SIKU USIKU WA MANANE TUNAAMKA MAOMBI AMBAYO HUANZA SAA:7:00 Usiku mpaka 10:00
ALFAJIRI 


2.KILA SIKU KUNA MAOMBI NA MAFUNDISHO MBALIMBALI HUPOSITIWA UNATAKIWA UYAOMBE KILA MAOMBI YANAYOKULENGA YASAVE UNAYAOMBA KWA MUDA WAKO.

3.KILA MWISHO WA MWEZI UWE MWAMINIFU WA KUTUMA FUNGU LA KUMI NA UKITUMA UNANIPIGIA NAKUOMBEA .
Hakikisha huachi kila mwezi Kama umejiunga ukijua hii madhabahu yako.


2024 Kauli mbiu 


2024 Ni Mwaka Wa Kusitawi 

Mwanzo:26;13

Na Hatutembei Kinyoge Tunatembea Kifalme


Watumie link rafiki zako na ndugu kila unapoona mtu ameleft


πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Bonyeza hapaπŸ‘‡πŸ‘‡


https://chat.whatsapp.com/KGQn5aH8CiwKNuGI8NgFgq

➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿➿




GROUP NAMBA TATU ⬅️3️⃣

NAKUKARIBISHA GROUP LA MAOMBI NA MAFUNDISHO NO:3️⃣
IKIWA GROUP NAMBA 1 na 2 YAMEJAA WATU 1025 TUKAFUNGUA LA TATU.

Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Ni Askofu Mkuu na Muasisi Wa Kanisa la Holy Spirit church Tanzania Moto wa Yesu 

Nipo Morogoro Wiliya ya Kilosa Kata Ya mbigiri Kijiji cha mateteni (Dumila)


•°UTARATIBU NDANI YA GROUP 
=====================÷÷÷===
1.KILA IJUMAA GROUP NZIMA TUNAFUNGA MASAA 12 Au 6 KAMA UNAMATATIZO
NA KILA SIKU USIKU WA MANANE TUNAAMKA MAOMBI AMBAYO HUANZA SAA:7:00 Usiku mpaka 10:00
ALFAJIRI 


2.KILA SIKU KUNA MAOMBI NA MAFUNDISHO MBALIMBALI HUPOSITIWA UNATAKIWA UYAOMBE KILA MAOMBI YANAYOKULENGA YASAVE UNAYAOMBA KWA MUDA WAKO.

3.KILA MWISHO WA MWEZI UWE MWAMINIFU WA KUTUMA FUNGU LA KUMI NA UKITUMA UNANIPIGIA NAKUOMBEA .
Hakikisha Kila Mwezi huachi Fungu la Kumi Kama Unajua hii madhabahu yako.

2024 Hatutembei Kinyoge 

2024 Ni Mwaka Wa Kusitawi 

Mwanzo;26:13


Bonyeza Hapa chiniπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Ujiunge

https://chat.whatsapp.com/L4PQijdjZqQ2P1sYKYYPqe




Jumatano, 12 Juni 2024

SOMO: UTOAJI

SOMO: UTOAJI

Nakukaribisha Katika Somo la Utoaji wapo watu mpaka Leo hawajui Tafsiri ya Neno Utoaji kwa Mungu wala hawajuia mwanzilishi ni nani wa utoaji Somo hili litaenda kukupa Ufahamu katika Eneo la Kuwa unatoa Sadaka Kwa Mungu. 
Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa  

Mithali;11:25 Luka;6;38

MAANA YA UTOAJI..?

UTOAJI Ni Kitendo cha Kupunguza ulicho nacho au kuondoa thamani ya vitu kati ya vingi ulivyo navyo.

Mfano; Una nyumba 5 Unatoa nyumba 2 Kwa Bwana unabaki na nyumba 3 Ambazo ndiyo zitakuwa zako.
5-2=3

Mfano;2 Unaelfu 10000 Unatoa 5000 kwenye hiyo hela unabaki na 5000
10000-5000=5000.

Hii ndiyo Tafsiri ya Utoaji kwa Mungu.

Mfano wa ;UTOAJI;πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Mtu akiwa ameshika boksi lenye zawadi

Jumatatu, 3 Juni 2024

Ushuhuda wa Lucy mike

Naitwa Lucy Mike Nipo Nzega Tabora Ninaumri Miaka 35 Ninamshukuru Huyu Mungu Kupitia Group hili la Maombi na kutafuta Muongozo ya kuomba Pastor Richard Anayokuwa Anatupa Kwenye Group nimepata Majibu yangu nilikuwa nikiomba maombi ya usiku wa manane nikitoa Fungu la Kumi nakufuΓ±ga ijumaa Kama Baba Yetu Anavyotufundisha Kikweli Nimemuona Mungu nilikuwa nimejikatia tamaa ya kupata mtoto kutokana na madaktari kunivunja moyo. Mungu azidi kumlinda Baba yetu wa Kiroho ili Azidi kutufungua kupitia mafundisho.