.๐๐๐๐๐๐๐๐➖➖➖๐๐๐
Fedha huwa inamasikio ya kumsikia Aliyeishika Pia Inayo mamlaka na nguvu ya kumtumikisha na Kumtawala Aliyeishika.
Mfano; Umelenga Mwaka Huu Ukipata ukodi shamba ulime ile hela ukija kuishika inakuambia mkeo Anaumwa na Unapigiwa Simu utaahirisha unaipeleka kwa Mgonjwa.
Pesa Usipokuwa na nguvu ya Kuitawala na Kuiendesha Yenyewe itakuendesha Karibu Katika Maombi haya
Naitwa Pastor Richard
๐ณMAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUOMBA๐ณ
1.Unatakiwa uombe uwe na Imani Kama Huna Imani Usiombe.
2.Utaomba Siku Moja Au Roho Mtakatifu Atakavyokushuhudia Uombe Siku ngapi.
3. Utaishika Fedha Yoyote uliyonayo ndiyo iwakilishe uchumi wako .
4.Hiyo Fedha utakayoiombea Iwe Sadaka Utaitoa Kupitia maelekezo chini utakayopewa.
MISTARI TUNAYOSIMAMIA
๐๐๐๐๐๐๐๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐๐
1 Wakorintho 10:26
[26]maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Zaburi 24:1
[1]Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA,
Dunia na wote wakaao ndani yake.
๐๐๐๐๐
Mwanzo 13:2
[2]Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.
๐๐๐๐๐๐๐๐
Mhubiri 7:12
[12]Kwa maana hekima ni ulinzi, kama vile fedha ilivyo ulinzi; na ubora wa maarifa ni ya kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.
MAOMBI OMBA HIVI.
Shika hiyo Fedha uliyonayo kwa Mkono wa Kulia Ukiwa Na Imani
MAOMBI YA KIMAMLAKA WAOMBE WATU WENYE IMANI TU
๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Itazame Iambie Wewe Fedha Unamasikio Unanisikia Nakuamuru Kuanzia Leo Utanisikiliza Mimi na Kufata ninavyokuamuru Sitaki Uniletee Dharau au ubishi Nikikuita ukimbie uje mkononi mwangu nikikupanga ukae kwenye Halmashauri yangu ya ubongo nikianza kukutumia Utulie nikutumie mimi nilivyopangilia Unanisikia Si Nakusemesha Umesikia Kuanzia Leo Utakuwa chini ya Pastor Richard utatii maelekezo ya Pastor Richard Hutafanya Tena Ulivyozoea Kuniendesha Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×8 Ukiwa umeshika Fedha mkononi.
OMBA HIVI HIYO FEDHA iWE SADAKA KWA BWANA USIENDE KUITUMIA.
Bwana Hii Fedha Nimetoka Kuiombea nakuiamuru nimesimama na (Zaburi 24:1
[1]Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA, )hii ni mali yako na mimi ni mwanao Umeniamuru nje Fedha hii niitawale siyo initawale naitoa katika madhabahu yako ya mbiguni ipokee kupitia Madhabahu hii Ya Moto wa Yesu ipate Kibali machoni Pako Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×2
KISHA TOA
M-PESA 0759861768
TIGO PESA 0710889892
HALLO PESA 0628355985
CRDB BANK 0152361572400
JINA; RICHARD JULIUS KUSHOKA
Shirikisha na wengine waombee Fedha wanayoishika. Wakomboe fedha yao.