Maombi haya yataanza mwezi wa 2 Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa 2 Kila Kiongozi ataanza na rafiki yake wawili nakuendelea waliotayari Kila Ijumaa watakutana Saa 10 jioni mpaka 12 jioni Utaratibu WA Ibada hii ya Maombi Tayari upo. Ukiwa unasikia msukumo Kuomba Pamoja na wezako utengeneze kikundi uwe kiongozi wa eneo hilo Andika
👇👇👇👇👇👇👇👇
Mfano huu nitumie inbox
Jina kamili;Felix Patrick Mbena
Nchi ulipo;Tanzania
Mkoa/Wilaya;Morogoro/Kilosa
Eneo /Mtaa /Kijiji Utakapokuwepo;Mateteni
UKIRI;
Nipo tayari kuanzisha kikundi cha maombi na kuomba pamoja na wegine kwa kufata Utaratibu ulivyoelekezwa Yesu niongoze
Naomba viongozi vikundi hivi hurusiwi ulete mafunuo ya maji, chumvi, mafuta Kama ikitokea Roho Mtakatifu amekushuhudia ufanye hivyo utanipigia kwanza unanieleza kisha nitaongea na Baba kudhibitisha ni Roho Wake au hapana.
MSINGI WETU;👇👇
Msingi wetu: Watu Wafundishwe Neno la Mungu na Maombi ili iwasaindie kujisimamia Wao
Mathayo;28;19-20
FUNDISHA WATU NA UWAFANYE WAWE WANAFUNZI WA KRISTO NAO WAKAWAFUNDISHE WEGINE.
MAJINA YA VIONGOZI WALIOTAYARI
👇👇👇
1:JINA; Lafsa Msemwa
Nchi ; Tanzania
Mkoa; Arusha
Eneo: Usariva
Simu:0767464057
2:Jina: Kiza Riziki
Nchi: South Africa
Eneo, Cape Town
Simu, 27621022728
3.Jina; Happy Laurent
Nch: Tanzania
Mkoa: Songwe(Tunduma)
Eneo; chwapwa
Simu;0746048761
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
Nakaribisha Waliotayari Tuma Taarifa kwa kuandika Jina nchi ulipo mkoa na eneo Kisha ukiri wako nitumie inbox nizidi kuyaombea hayo majina Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa pili tutaanza Kukutana na itakuwa endelevu
Namna ya kuanza tafuta rafiki zako waliotayari muanze kwa kufata muongozo nilioutoa namna ya kuendesha.
Imetolewa;
Askofu mkuu Richard Julius Kushoka
Kanisa la Holy Spirit church Tanzania
Makao Makuu Morogoro Wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni