π³DARASA LA UCHUMBA π³
SOMO; OGOPA MAMBO 5 KWENYE UCHUMBA.
Katika mahusiano au uchumba ukiona hizi Tabia Kwa Mwezi Wako Ujue Unaenda Kulizwa au Kuumizwa
1:Ogopa mchumba wako Akiwa Hajui Thamani Yako.
Kama mwezako hatambui thamani yako lazima atakutumia kwa tamaa za mwili tu hatakuowa au hutamuowa bora ukiona hii tabia Stop.
.
Soma ; Ayubu;28;13
2;OGOPA MCHUMBA ANAYEKUAMBIA KUZINI KABLA HAJAKUWEKA KUWA MKE AU MME
ππΎMathayo:5:27ππΏ
Kama Mkiwa Kwenye uchumba mtu anaanza kukuambia uzini naye au umzalie Kabla Hajakufanya kuwa mkewe au mmewe elewa hapo unaenda kulizwa .
3:OGOPA KUMPENDA MTU ASIYE NA MALENGO YA KUISHI NAWEWE.
Waefeso:5:10
Kama Moyo wako unampenda mtu Ambaye yeye yupo kwako kwa Sababu ya kitu fulani au yeye akawa hana malengo ya kuishi naye wewe unamalengo uishi naye. Utakuwa unataka Kulizwa na Kujuta Ogopa.
4:OGOPA MTU MWENYE WATOTO KILA KONA.
1 Wakorintho 7;32
Kama mchumba wako anawatoto kila mtoto Baba yake kuanzia watoto watatu nakuendelea ukijichanganya unaowa bado hii roho ya kuzini itamtumikisha Ogopa kuwa na Tabia hii.
5:OGOPA MCHUMBA ASIYE NA HOFU YA MUNGU
Kumb.Torati:6:5
Kama Utakuwa na mchumba asiye na hofu na Mungu chochote afanyacho sawa haongopi dhambi.
Hii hatari kwako ni rahisi kufanya dhambi na kukutesa bila hofu.
HITIMISHO
Ni jambo nzuri kuwa na Tafadhali ya haya Tuliojifunza LEO
Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa