IJUE BIBLIA - Sehemu ya I
UTANGULIZI
Biblia ni nini?
MGAWANYIKO WA BIBLIA
Utangulizi
- Katika Mathayo 5: 17, 18 alisema, “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaoondoka, hata yote yatimie.”
- Alipokuwa akitembea na wanafunzi wake kuelekea Emau baada ya kufufuka, Luka 24: 13-31 inasema “ ... Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii! Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake? Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe...
- Kisha baadaye jioni alipokuwa akizungumza na wanafunzi wake aliwaambia “... hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika Manabii na Zaburi. Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko. Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.”
- Katika Yohana 5:39 na 40, wakati Yesu anazungumza na Wayahudi alisema “Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndaniyake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia. Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima”
Agano la Kale
NO. | MGAWANYIKO WA AGANO LA KALE (A.K) | NO. | VITABU HUSIKA NDANI YA MGAWANYIKO WA A.K |
1. | Vitabu vya Sheria | 1. | Mwanzo |
2. | Kutoka | ||
3. | Mambo ya Walawi | ||
4. | Hesabu | ||
5. | Kumbukumbu la Torati | ||
2. | Vitabu vya Kihistoria | 1. | Joshua |
2. | Waamuzi | ||
3. | Ruthu | ||
4. | 1 Samweli | ||
5. | 2 Samweli | ||
6. | 1 Wafalme | ||
7. | 2 Wafalme | ||
8. | 1 Mambo ya Nyakati | ||
9. | 2 Mambo ya Nyakati | ||
10. | Ezra | ||
11. | Nehemia | ||
12. | Esta | ||
3. | Vitabu vya Kiushairi | 1. | Ayubu |
2. | Zaburi | ||
3. | Mithali | ||
4. | Muhubiri | ||
4. | Vitabu vya Manabii | ||
a) Vitabu vya Manabii Wakubwa | 1. | Isaya | |
2. | Yeremia | ||
3. | Ezekiel | ||
4. | Danieli | ||
b) Vitabu vya Manabii Wadogo | 1. | Hosea | |
2. | Yoeli | ||
3. | Amosi | ||
4. | Obadia | ||
5. | Yona | ||
6. | Mika | ||
7. | Nahumu | ||
8. | Habakuki | ||
9. | Zefania | ||
10. | Hagai | ||
11. | Zekaria | ||
12. | Malaki | ||
Agano la Jipya
NO. | MGAWANYIKO WA AGANO LA JIPYA (A.J) | NO. | VITABU HUSIKA NDANI YA MGAWANYIKO WA A.J |
1. | Vitabu vya Kihistoria | 1. | Mathayo |
2. | Marko | ||
3. | Luka | ||
4. | Yohana | ||
5. | Matendo Ya Mitume | ||
2. | Nyaraka za Mtume Paulo | 1. | Warumi |
2. | 1 Wakorintho | ||
3. | 2 Wakorintho | ||
4. | Wagalatia | ||
5. | Waefeso | ||
6. | Wafilipi | ||
7. | Wakolosai | ||
8. | 1 Wathesalonike | ||
9. | 2 Wathesalonike | ||
10. | 1 Timotheo | ||
11. | 2 Timotheo | ||
12. | Tito | ||
13. | Filemoni | ||
3. | Nyaraka za Jumla (kwa watu wote) | 1. | Waebrania |
2. | Yakobo | ||
3. | 1 Petro | ||
4. | 2 Petro | ||
5. | 1 Yohana | ||
6. | 2 Yohana | ||
7. | 3 Yohana | ||
8. | Yuda | ||
4. | Kitabu cha Unabii | 1. | Ufunuo wa Yohana |
Maoni