Kuna Watu Katika Ulimwengu Wa Roho Walishauganishiwa mitengo ya Kuwa Wana nasa kupitia Wanawake wa maofisini au Wanaume Ambao hawa Wanakuwa Wanawashawishi Kuingia Katika Dhambi Nao Kwa Kuwa Ufahamu wao Umefungwa Wanaingia Kwenye mtengo wakishazoeana inawapelekea Wapoteze Kazi Inawapelekea Wawe watumwa wa kutumikia dhambi kulinda kazi au nafasi zao. Hii kama wewe ni miongoni mwao haya maombi yaombi unayeishi kazini kwa utumwa wa dhambi Omba haya maombi.
MISTARI YA KUSIMAMIA
ππππππππππππ
Mithali 1:10
[10]Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi,
Wewe usikubali.
πππππππ
Mithali 7:21
[21]Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi,
Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.
πππππππ
Matendo ya Mitume 6:11
[11]Hata wakashawishi watu waliosema, Tumemsikia mtu huyu akinena maneno ya kumtukana Musa na Mungu.
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUOMBA HAYA MAOMBI
1: Unatakiwa uwe unaipitia hali ya Vishawishi na Makwazo Kazini
2:Utaandaa Sadaka Yako Kiasi chochote Ukimaliza Maombi utaituma unanipigia.
3: Utaomba Siku moja tu. Muda Wowore Utao utenga.
JINSI YA KUOMBA OMBA HIVI
πππππππππππππ
1:Nakama Anga la Kazini hapa Kila Kishawishi Ninachokutana nacho hapa kazini ninakataa na Sikubali kuwa nakutana na Watu Wanaonidharau Katika ofisi yangu kila atakayeniona Aniheshimu na Asinishirikishe Dhambi au Kupewa maneno yanayonitenga na Mungu wangu Katika Jina la Yesu.Amen
2;Shika kwenye Paji la Uso Omba hivi
Ninaomba Bwana Unipe Kibali na Nguvu ya kuitawala ofisi yote kuanzia uongozi wa chini mpaka juu kila idara ninatawala Katika Jina la Yesu.Amen
3.Mimi Sitaki vita au Kufokewa fokewa na kutumwa tumwa kazini nataka niheshimike na kuanzia Leo Sitafatwa kutongozwa au kutongoza Watu Wa hapa kazini kwangu naiweka heshima ya majukumu yangu ya kazi kila roho inayotaka Ichukue heshima ya kazi yangu kupitia Katika Jina la Yesu.Amen
4: Endelea Kuomba haya Maombi Kadiri
Roho Mtakatifu Anavyokuongoza kuombea eneo la kazini kwako
SADAKA YAKO IOMBEE.
Kupitia hii Sadaka ikaongeaa kwa habari ya ukombozi eneo la kazi yangu kila Kishawishi sitaki kunaswa na dhambi zinazotumwa na Adui kupitia kazi niliyonayo naitoa katika madhabahu ya Moto Wa Yesu kwa Jina la Yesu.Amen
TOA KWA
M-PESA 0759861768
TIGO PESA 0710889892
HALO PESA 0628355985
CRDB BANK 0152361572400
JINA; RICHARD JULIUS KUSHOKA
Kisha unipigie uniambie umeomba haya maombi