Jumanne, 1 Oktoba 2024

MAOMBI YA KUITA MWILI WAKO ORIGINALLY USIO NA MATESO NA KUONDOA MWILI

SOMO; MAOMBI YA KUITA MWILI WAKO ORIGINALLY USIO NA MATESO NA KUONDOA MWILI  FAKE UNAOTESEKA.

🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Ndugu Yangu Katika Ulimwengu Wa roho hauwezi kuutesa mwili au kuufunga mwili original wanachokifanya Adui Zako Wanachukua Nafsi yako na Mwili Wako Wanaleta Mwili Fake Katika Muonekano wa roho lakini Katika Damu na nyama utaona ule ule kumbe siyo.

Mfano: Mtu Anaendeshwa na madeni magonjwa mwilini Pake Hayaishi mapepo hayaishagi Ameombewa Sana Kumbe Sababu Unaombea Fake original Anakuwa yupo kuzimu.


TAFADHALI SOMA KWA UMAKINI MANENO HAYA TAFAKARI.

          "1 Timotheo 5:6  
Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.

Kumbe Unaweza ukaona Umekufa kumbe upo hai unaona unamagonjwa kumbe originally haumwi.


            Yohana 11:14, 39-43
14 Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.

39 Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne.

40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?

41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.

42 Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

HII MISTARI TUNAJIFUNZA KITU YESU ALIVYOMFUFUA LAZARO.


Maombi Ya Bwana Yesu Kuuita Mwili Alitaja mambo matatu.

1;Jina la Aliyekufa

2:Akatumia Neno "NJOO"

3:Uchungu na Kuugua Moyo Kuona Mzingo.

Yesu Aliona Mzingo ndiyo Maana Alimwita kwa Uchungu.


MAOMBI HAYA TUNAVYOPASA KUYAOMBA.

Soma hii mistari ya Ushindi Kabla Hujaomba
.
        Zaburi 118:17 
 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.
"""""::::::"""""......""""""......."""""".......
       Zaburi 118:19-20
19 Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru Bwana.

20 Lango hili ni la Bwana, Wenye haki ndio watakaoliingia.
👇👇👇👇👇👇👇👇
Zaburi 35:1-6
1 Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami.

2 Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie.

3 Uutoe na mkuki uwapinge wanaonifuatia, Uiambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako.

4 Waaibishwe, wafedheheshwe, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya.

5 Wawe kama makapi mbele ya upepo, Malaika wa Bwana akiwaangusha chini.

6 Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa Bwana akiwafuatia.


UTAOMBA HIVI 

Ita Mwili original kataa mwili wa magonjwa mateso nk

1●ITA MWILI WAKO ORIGINALLY 
Utatamka maneno haya.
Naita Mwili wangu original njooo fake Ondoka kwenye maisha yangu

Mwili wangu hauna magonjwa mwili wangu hauna Vifungo Mwili Wangu Upo huru Nina Afya Nina Amani Ondoka Mwili Fake Kwa Jina La Yesu Mwili wangu usio na madeni mawazo yangu moyo wangu Narundisha kila kitu kilichofake kiondoke katika Jina la Yesu

Rudia mara nyingi zaidi uwezavyo.pia Kila hali ya maisha hiyo ni fake kataa lete original.

.2:●KIRI KUMKATAA FAKE NA MWILI WAKE.

Nakiri kuukataa huu mwili Siyo wangu ninachojua mwili wangu original hauna magonjwa mwili wangu original hauna vifungo Ninautaka mwili huo kwa Jina la Yesu Sitaki Sitaki Sitaki mwili wenu katika Jina la Yesu.Amen. 


Nakiri Kwamba hofu hii siyo yangu mawazo haya ya kukubaliana mateso yenu au vifungo siyo mimi nimekataa original ninakataa kuteswa mliponifungia mniachie.


3:●ORIGINALLY AJITAMKIE USHINDI.

Mimi mwili Original Ninatambua Nipo huru na Kila Kifungo chenu roho ya kunifunga nisiolewe au nisiowe nasema nitaowa au kuolewa kila Eneo langu mlilorithisha kuzimu nasema kwamba hamtaweza mimi mwili original 
Nina Imani ninavuka nakuvusha wengine Sina hofu wala siongopi Sina magonjwa Sina vifungo 

Endelea Kukiri Kukataa Yale Unayapitia Sababu wewe ni Original. 

Tembea Tembea ndani kwako 

4●FUNGA WALIZI WALIOLINDA MWILI ORIGINALLY ASIJE KWENYE MWILI WAKE.

Natamka Kuanzia Leo mwili Original Hautaondoshwa Tena Umerundi mifupa yangu imerundi mawazo yangu yamerundi Katika Jina la Yesu.Amen 



5●MSHUKURU MUNGU 

Nyosha mikono Juu Piga makofi Kiri mwili uliofunguliwa usio na vifungo MSHUKURU  Mungu Kwa Ajili ya Pastor Richard Kumfunulia haya Maombi Mshukuru Mungu Kwa Ajili Ya Kukutenga Na mwili Fake kuurundisha mwili wako.
Piga makofi ukimtukuza Bwana


HITIMISHO 

Haya ni mambo ya rohoni Sana ni ngumu kujua Kama Bila Roho huwezi kujua unaweza kug,ag,ania kuomba Kumbe unashughulika na mwili fake.


Wito
Chochea Kuomba fanya mazoezi ya kuomba mara kwa mara

WhatsApp Pastor Richard +255759861768

Share



MAOMBI YA USIKU WA MANANE MWEZI OCTOBER '------DECEMBER 2024

SOMO: MAOMBI YA USIKU WA MANANE OCTOBER____DECEMBER 2024

Karibu Katika Msimu WA  Mwisho WA Maombi Ya Usiku Wa Manane Kwa Mwaka 2024 Ambao Ni Mwaka Wa Kusitawi 
Mwanzo 26;13

TUMEONA SHUHUDA WATU WENYE MIAKA 52 WANAOLEWA KUPITIA MAOMBI YA USIKU WA MANANE 

TUMEONA WASIO NAKAZI WANAPATA KAZI

TUMEONA WATU WENYE MIAKA 48 WANAZAA

TUMEONA WENYE VIFUNGO MBALIMBALI WANAFUNGULIWA KATIKA MSIMU ULIOPITA.


MAOMBI YA USIKU WA MANANE PEKEE YANAWEZA KUKUFUNGUA VIFUNGO VYAKO

AMKA SAA SABA USIKU OMBA MPAKA SAA TISA PUMZIKA


NAMNA TUTAKAVYOOMBA.

Soma Mistari 

👇👇👇👇👇👇

1:●ANZA NA TOBA.

Zaburi;86:5  2Nyakati:7:14-16

Piga magoti mbele ya kitanda

"Baba Nakuja mbele Zako mimi mwanao Richard Nimekukosea mengi kuanzia January mpaka Sasa nimezini kimawazo nimeimba kimawazo nimeshindwa kutii maangizo ya Baba yangu wa Kiroho nimekuwa ni mwizi Na ninajiona Kabisa mambo hayaendi lakini nakuja kugundua ni sababu ya wizi wa zaka Malaki;3;8-9 Nisamehe  Nisamehe Bwana Nisamehe Bwana ninatubu maovu yangu na Dhambi Zangu Katika Jina la Yesu.Amen 🤲🤲


2;●KUKIRI USHINDI KWA KUTUMIA NENO 
.mfano huu kama ninavyoonesha.

Kuna Wakati Kiri Ushindi Siyo Kukiri mapepo au kusikiliza Sauti Za Mapepo roho za kushindwa.

1;Sitaki kutumikia Vifungo au Magonjwa mimi "Nataka Nimtumikie Bwana" Kutoka:23;25


2;Sitaki Kuitwa Tasa mimi au Kuharibu mimba "Nataka Nizae watoto siyo mtoto".
Kutoka:23:26

3;Sitaongopa Adui Zangu" Kuanzia Leo nitakuwa na Utisho Mkubwa Kila Adui yangu Ataniongopa" Kutoka;23:27

4:Sitaongopa kwa kuwa "Bwana ni ngome yangu atawarundishia mabaya yao"
Zaburi;94:22-23

5:Sitaacha Kutoa zaka" Nitakuwa mwaminifu kwa Bwana ili Anibariki umasikini siutaki"
Kumb.Torati:28:1

6:Sitaumwa Tena Maana "Mungu Amenirundishia Afya Yangu"
Yeremia:30:17

7:Sitaki Kuwa mnyonge tena "Nakata Unyonge Ndani Yangu Kuanzia Leo"
Wafilipi:3:21 Zaburi:136:23


HAKIKISHA UNASOMA HIYO MISTARI YA BIBLIA NA KUITAFAKARI.


3●JITABIRIE BARAKA MWENYEWE.

1;Mwezi huu Mimi nitaolewa na nitatolewa mahali au mwezi huu mimi nitaowa na nitafunga ndoa kabisa.



2;Maombi ya kazi niliyotuma naenda kupata kazi majina yakirundi na langu lipo 


3:Mkuu Wangu Atanipandisha cheo na mshahara wangu utapanda juu niweze kutia Zaka nzuri.

4;Nitajenga mwezi huu nitashusha tofali kwenye kiwanja changu au nitanunua kiwanja mwezi huu.

5;Mimi na Mchumba wangu Tutaowana mwaka huu


Endelea kujitabiria MWENYEWE kama mfano huu nilivyokuanzishia



4●SHUKURU MUNGU AMEJIBU.

Nyosha mikono juu Inuka simama piga makofi mara nyingi Sema Nashukuru Mungu kwa Kujibu ombi langu Nashukuru Nashukuru Nashukuru Mungu Sana Pokea Sifa na Utukufu wako Katika Jina la Yesu.Amen 

5:●FUNIKA MAOMBI YAKO KWA DAMU YA YESU

Nayafunika maombi Yangu Kwa Damu Ya Yesu Nakuomba Bwana Uyazungukie kwa ulizi wako Katika Jina la Yesu Ameen 


BAADA YA KUMALIZA FUNGUA AUDIO  YA MAOMBI NILIYOTUMA UGANISHA NA RADIO SAFIRI NAMI KATIKA MAOMBI 

Huu Utaratibu Tunaenda nao Mpaka December Tutaanza Kujiandaa nauli ya kutufikisha Morogoro Veta Dakawa Kuja kufunga mwaka Pamoja Tar 30 Tunaingia Makao makuu kuja kufunga mwaka huu wa kustawi 2024 Nakuingia Mwaka tutakaopewa Jina. Uje na Sadaka yako ya kufunga mwaka Tunakuwanga na Maombi moto moto Sana Usikose.

Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa 

Askofu mkuu wa makanisa ya Holy Spirit church Tanzania 

Simu +255759861768