Ijumaa, 23 Agosti 2024

SOMO; MAOMBI YA KUJIACHANISHA

SOMO: MAOMBI YA KUJIACHANISHA.

Kuna vitu vingine ili upone jiachanishe navyo 
Katika Maisha ya ulimwengu wa roho huabatana na maisha yetu ya Damu na Nyama Kwa hiyo huwa Tunapitia hali magonjwa madhaifu madeni na Mikosi mbalimbali ambayo ipo kiroho imeshikama nasi au kuabatana nasi.
Mfano: Unaumwa ugonjwa upo ndani ya Damu umeshikamana na Damu yako mfano Unateswa na madeni madeni yapo kwenye nafsi yako yaani kiu ya kukopa imeshikamana nawewe.

KWA UFUPI NATAKA NIMANISHE KWAMBA UNATAKIWA UJIACHANISHE NA KILA HALI INAYOKUTESA;

  MISTARI YA KUSIMAMIA 
  =====================
Ayubu 9:27 Nikisema, Mimi nitasahau kuugua kwangu, Nitaacha kununa uso nikachangamke moyo;

"Maana yake huyu Ayubu alikuwa Akiumwa Akaamua Ajitenge na magonjwa yaliyomtesa.

Wagalatia 1:15 Lakini Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu, akaniita kwa neema yake

Mungu ndiye Mwazilishi wa Kuviachanisha au Kuvitenga Vitu na Vigine. Mfano kama kichanga kinavyotenganishwa na Tumbo la Mama.


Mwanzo 1:4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.,

Maana Yake Mungu alikiachanisha ngiza na Nuru Ikawa nuru pekee yake na ngiza pekee yake kabla ya hapo vilikuwa vimeungana.


MAMBO AMBAYO UNAPASWA UELEWE KATIKA  MAOMBI HAYA 

1:Zingatia Kujua Nini kinakutesa Kimechukua muda ngani kikusumbua 

2:Unapaswa Uwe Na Imani na Uelewe Uwezo Wa Mungu Unayemuomba.

3:Tamka Maneno Najiachanisha Au Kujitenganisha Ni maneno mawili Tu ndiyo Tunayatumia.

4:Fata Pastor Richard Alivyoelekeza

5:Haya Maombi ya Usiku Kuanzia Saa Tano mpaka Saa Tisa Usiku Katikati ya haya masaa.


MFANO WA UOMBAJI.

KUJIACHANISHA NA MAGONJWA 

1:Ee Bwana Yesu Najiachanisha na magonjwa mwilini mwangu Najiachanisha kwenye Damu yangu Kwenye mifupa yangu ngozi yangu Naiachanisha na Magonjwa Katika Jina la Yesu.Amen 


KUJIACHANISHA NA MADENI

2; Mimi Pastor Richard Nafsi yangu Naiachanisha na Madeni roho na kiu ya kukopa Niitenganisha ndani yangu initoke Kwa Jina la Yesu.AMEN 

KUJIACHANISHA NA TUMBO LISiLOZAA.

3.Tumbo langu Naliachanisha na Tumbo lisilozaa Mayai yasiyozaa Homoni na uharibifu wa Tumbo la Adui ndani yangu Tumbo langu linazaa Tumbo langu lieberman watoto wa kike na Wakiume najitenganisha na Vifungo vyao Vyote Walivyofunga Kwenye Tumbo langu Katika Jina la Yesu.Amen 

    KUJIACHANISHA NA MIKOSI

4;Mikono yangu Naiachanisha na Mikosi roho ya chuma ulete roho ya mahagaiko najitenga nayo najiachanisha nayo kwa Jina la Yesu Ameen 


     KUJIACHANISHA NA VIFUNGO. 

5.Nafsi yangu ufahamu wangu moyo wangu kinywa changu mikono yangu macho yangu Tumbo langu Mwili Wangu Wote Najiachanisha na kila Kifungo kila utumwa ndani yangu unitoke unitoke   Katika Jina la Yesu.Amen 


HII NIMEKUPA MUONGOZO AMBAVYO UOMBE TAMKA KUJIANISHA NA USINGO  JIACHANISHE NA ROHO KUTOKUAJIRIWA.



KAMA UTAKUWA NA SWALI NIULIZE INBOX ILI UOMBE VYEMA NA USIKOSEE KAMA UNASADAKA UNAUNGANISHA KAMA HUNA BASI MAOMBI UTAOMBA KADIRI ROHO MTAKATIFU ANAVYOKUTUMA SIKU GAPI UOMBE.


NAITWA PASTOR RICHARD 
WHATSAPP +255759861768
NIPO MOROGORO VETA DAKAWA 

KANISA LA HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA 

Alhamisi, 8 Agosti 2024

MAJINA YA WALIOFUNGA IJUMAA

MAJINA YA WALIOFUNGA IJUMAA YA LEO

TAR.9/8/2024


HII NI LIST YA MAJINA NILIYOYAPATA INBOX WHATSAPP WALIOFUNGA WAKIWA WAMEABATANISHA SADAKA ZAO NA WALIOKOSA SADAKA WAMENIJULISHA HAWANA NIMEWAJAZA .

NDIYO MAJINA NITAKAYOYAOMBEA
Hakiki Jina lako Mapema 

MATENDO;10;4 Inasema maombi na Sadaka huenda pamoja nakuyafanya maombi yamfikie Mungu haraka kuliko maombi yasiyo na Sadaka. 


Zaburi:20:3 Inasema Sadaka huweka Alama kwa Mungu nakukufanya kukujibu kadiri ya unavyoitaji.

Jifunze maombi yako kuwa unaabatanisha Sadaka. 


PIA USIACHE KUFUNGA HATA KAMA HAUNA SADAKA WEWE NIJULISHE INBOX UNAPOTUMA MAHITAJI YAKO.


✅INAONESHA WALIOTOA SADAKA YA MAOMBI 


✖ INAONESHA WALIOKOSA SADAKA.



MAJINA:                                SADAKA;



1.Veronica Allan👉Sh. 10000✅


2:Agnes Buge 👉Sh.5000✅


3: Patricia Ntadu 👉Sh.5000 ✅


4:Neema  Samweli👉Sh.5000✅


5;Husina Rashid👉Sh.5000✅


6;Dorothea Malisa👉Sh.3000✅


7:Monica Mafulu 👉Sh.2000✅


8:Suzana Robson 👉Sh.2000✅


9.Jane Kiswaga 👉Sh.1500✅


10.Elisia Mbotwa👉🏿Sh.2000✅

11; Anna Jamikas👉🏿Sh.2000✅

12:Happy Wilson 👉sh.2000✅

13:Regina Joseph👉Sh.1000✅

14:Elizabeth Nasary 👉Sh.2000✅

15:Juliet  Ngoty👉Sh.5000✅

16: Anneth Gabriel 👉Sh.9000✅

17;Samsoni Samweli 👉Sh.1500✅

18:Shadrack Juma👉Sh.2000✅

19;Magreth Ashery 👉Sh.✖

20;Elizabeth Msaki👉Sh.2000✅

21:Irene Lenganya👉Sh.1000✅

22:Jackiline Sewa 👉Sh.2000✅

23:Teresia Dickinson 👉Sh.2000✅

24:Blandina Emanuel 👉Sh.2000✅

25:Happy Richard 👉Sh✖

26:Anna Anatory 👉Sh.2000✅

27:Anna Chilogani 👉Sh.✖

28:Felista Emanuel 👉sh.✖

29:Atuganile Ngodo 👉Sh.1500✅

30:Maria Marco👉Sh.500✅

31;Jenifa Shija👉Sh.2000✅

32:Sarafina Ngonyani👉Sh.2000✅

33:Suzana Robson 👉Sh.2000✅

34:Sakina Mwanga👉Sh.5000✅

35:Grace Sanare👉Sh.1000✅

36:Grace Mlangi👉Sh.5000✅

37:Mary Mafwili 👉✖

38;Ivona Frolian 👉Sh.

39;Emma Wilson 👉Sh.7000✅

40:Mary 👉Sh.2000✅

41;Anna Jackson👉Sh.5000✅

42;Asifiwe Jonathan 👉Sh.

43:Hombe Mziray 👉Sh.3000✅

44;Debora Laurent👉Sh.3000✅

45;Irene Noel👉Sh.

46:Rehema Eliundi👉Sh.2000✅

47:Neema Megani👉Sh.3500✅

48: Elizabeth James 👉Sh 1000✅

49;Diana Bishanga👉Sh.

50:Sophia Stanley 👉Sh.1400✅

HAKIKI  JINA LAKO KAMA UMENITUMIA INBOX WhatsApp NA SADAKA Uliyotoa KAMA Vipo Sawa hakikisha unaandika Sadaka yako utakayotuma pia Mahitaji yako na Majina yako Kabla ya Saa.2:30 Usiku.



HATA KAMA UTACHELEWA AU HAUTAONA JINA KWENYE LISTI AMINI NAKUWA JINA LAKO INBOX NIMELIONA ILA MUDA WA KUANDIKA UMEISHA NAKUWA NAINGIA KUWAOMBEA.

NAMBA ZA KUTOA SADAKA YA MAOMBI 
TUMA KWA

.M-PESA +255759861768

TIGO PESA +255710889892

HALO PESA +255628355985

CRDB BANK WEKA: AKAUNT. 0152361572400

JINA; RICHARD JULIUS KUSHOKA 

.🤛Tunasema 2024 Hatutembei Kinyoge 🤛